makutano

Makutano Junction is a Kenyan soap opera that premiered in 2006. It captures different themes that affect the normal African society. The main contemporary issues that are mostly stressed in the drama are, corruption, education, early marriages, Female Genital Mutilation and pregnancies, HIV/AIDS, human rights, social justice, values, and perceptions, conflict resolution. The story is set on a fictional village named Makutano and has an ensemble cast.

View More On Wikipedia.org
  1. BARD AI

    Trafiki wa makutano ya Mwenge ni kero na hatari kwa uchumi

    Hivi katika hali ya kawaida tu unawezaje kusimamisha Magari kwa zaidi ya nusu saa upande mmoja eneo linaingiza magari na kuyatoa mjini? Wale Trafiki ni ushamba au ujinga wanafanya pale? Hakuna sababu yoyote ya kufanya vile. Trafiki wajue kuna Wagonjwa wakati mwingine wanawahishwa Mahospitali...
  2. Mi bishoo tu

    DOKEZO Butimbaru ya ghorofani makutano ya majambazi Bunda kuna danguro linalotumia mwamvuli kama Baa

    OCD bunda kuna danguro linalotumia mwamvuli kama Baa maeneo ya uswahilini Bunda,hapa ndipo waporaji wa maeneo mbalimbali ya mkoa wa mara wanapokutana na kuratibu mipango yao yote ya jinsi ya kufanya uovu wao wote. OCD tuma Timu ya wapelelezi kwenye hiyo nyumba na wasiwe maaskari wapenda rushwa...
  3. Roving Journalist

    Dar: Barabara ya Nyerere makutano ya Shaurimoyo kufungwa kwa miezi minne kupisha ujenzi wa daraja

    Uamuzi huo umetangazwa na Wakala wa Barabara (TANROADS) Dar es Salaam lengo likiwa ni kupisha ujenzi wa Daraja la Reli ya Kisasa ya SGR ambapo barabara hiyo itafungwa kuanzia Mei 28, 2023 hadi Septemba 30, 2023 baada ya ujenzi husika kukamilika. Imeelezwa katika kipindi hicho vyombo vyote vya...
  4. Msanii

    Kisutu: Ajali ya Mwendokasi makutano ya Jamhuri na Morogoro Road

    Basi la Mwendokasi likiwa linatoka Kivukoni limeacha njia na kuparamia maduka na miundombinu mingine pembezoni mwa barabara ya Morogoro kwenye makutano ya Jamhuri St. Eneo hilo ni viambaza vya maduka, njia ya waenda kwa miguu na limekuwa linatumika na watu wasio na makazi kulala Ukiangalia...
  5. Sildenafil Citrate

    Ajali ya Precision Air: Ripoti yabaini hakuna Control Tower, Boti za Uokozi zilichelewa, Mhudumu na Abiria ndio waliofungua mlango

    Imefahamika kuwa licha ya Jeshi la Wanamaji kujulishwa tukio la ajali, Boti rasmi ya uokoaji ya Kitengo cha Wanamaji ilichelewa kufika eneo la ajali na sababu ni kwamba haikuwepo katika Bandari ya Bukoba - Pia, pamoja na Askari wa Kitengo cha Wanamaji kuchelewa kufika, hawakuweza kufanikisha...
  6. Jidu La Mabambasi

    Ajali za treni duniani. SGR, tumejitayarishakuelimisha matumizi ya makutano ?

    Tunategemea kuwa reli yetu inayojengwa , SGR, itakuwa ya kisasa na yenye spidi kali. Spidi zinazotazamiwa ni hadi 160km/hr. Hii ni spidi kali sana kwa mwendo wa ardhini. Kwa vile kutakuwa na makutano(Railway crossings) nyingi sana kati ya njia za treni hiyo na barabara, tumejitayarisha kivipi...
  7. B

    Kontena linapangishwa mabibo

    Kontena la ft 20 linapangishwa....lipo kando ya barabara ya lami( inaangaliana na barabara) mabibo Makutano. Kodi 90000 kwa mwezi. Linafaa kwa matumizi ya biashara mbalimbali mf duka, stationery,mgahawa n.k Mazungumzo yapo. Hakuna dalali mmiliki ni mimi mwenyewe. 0685510781
  8. D

    TANROADS na TRC wekeni matuta kwenye makutano ya barabara na njia za treni; Alama na ishara hazitoshi maeneo hayo

    Ile kanuni ya treni kwamba huwa haigongi bali hugongwa haikuwa na maana hii kama inavyoelezwa na wengi! Kama ni sheria au kanuni Basi waliopitisha hawakufikilia vizuri! Treni haigongi porini lakini linapokuja suala la muingiliano wa njia za treni na barabara treni inaweza kugonga! Kwasababu...
  9. Nchi Kavu

    Wapi viota vizuri kwa makutano?

    Hope mu wazima. Kwa sie wakongwe ni wapi viota vizuri vya kubarizi? Wakati mwingine katika umri huu kuanzia miaka 35 na kuendelea bila kubagua jinsia tunahitaji tena kurichaji mbongo zetu tunapokutana na watu wapya ili kuyajenga pia. Maeneo mazuri ya burudani ni wapi?
  10. bahati93

    Kesi ya Sabaya na Mbowe ni makutano

    Habari watanzania, watanzania wapenda amani. Leo Jtatu nimeona nisiwache wanyonge hivi ni bora nitie neno kidogo kwenye hili Sakata la Mbowe sambamba na Sabaya. Maneno yapo mengi ya kusema lakini maneno bora nayoyaona ni haya “ HISTORY REPEAT ITSELF UNTIL LEARNED”. Msingi wa kuchukua msemo huo...
  11. Tabutupu

    Muundo mpya wa makutano ya Mbezi Mwisho. Hongera sana Tanroad kwa usikivu

    K2a hissani ya lethy mleta mchoro ni kwamba hatimaye mbezi mwisho haitakua na mataa kama design ya mwanzo. Design mpya inaonyesha morogoro road itapandishwa juu na goba-malamba mawili kinyerezi itakua underpass. Kama ni hivi kwa niaba ya wapenda maendeleo wote naomba niwapongeze tanroad kwa...
Back
Top Bottom