Serikali: Watumiaji wa Daraja la Tanzanite, Barabara ya haraka Kibaha - Morogoro, Igawa - Songwe -Tunduma kuanza kulipia ushuru

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,427
108,532
SERIKALI imesema magari yataanza kulipia fedha yanapopita kwenye Daraja la Tanzanite na katika barabara nyingine mbili za haraka ya Kibaha - Mlandizi - Chalinze - Morogoro (Expressway) na ile ya Igawa - Songwe -Tunduma (Expressway) kwa kuwa zote zina sifa za kutozwa fedha.

Kwa jinsi Pesa inavyotafutwa kwa Nguvu na Kuwaumiza 'Wanyonge' ipo Siku hata'Vichochoro' tupitavyo tutaambiwa tuvilipie Tozo.

Ninawaombeni na hii nayo tuishangilie kama tulivyoshangilia Kufutwa kwa Ada kwa Wanafunzi wa Kidato cha 5 na 6.

======

1655455058004.png
SERIKALI imesema magari yataanza kulipia fedha yanapopita kwenye Daraja la Tanzanite na katika barabara nyingine mbili za haraka ya Kibaha - Mlandizi - Chalinze - Morogoro (Expressway) na ile ya Igawa - Songwe -Tunduma (Expressway) kwa kuwa zote zina sifa za kutozwa fedha.

Katika hotuba ya Bajeti ya Serikali iliyowasilishwa siku chache zilizopita bungeni Dodoma na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba, alisema serikali inaendelea kuboresha sekta ya uchukuzi nchini kwa kuendeleza utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa barabara ili kufungua fursa za kiuchumi.

Alisema katika kutekeleza miradi hiyo ya ujenzi wa barabara kama sehemu ya kufungua fursa na kuiunganisha nchi na mataifa jirani, serikali itamalizia ujenzi wa barabara zinazounganisha mikoa na kwamba wakandarasi wapo kazini. Alisema katika ujenzi huo, Daraja la Tanzanite lililopo maeneo ya Salender Dar es Salaam lenye urefu wa kilometa 1.03 lililojengwa baharini jirani na ufukwe wa Coco litawekewa malipo ya fedha kwa sababu lina sifa za kufanya hivyo.

Daraja hilo lina njia nne za magari na njia mbili za watembea kwa miguu, limejengwa pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa kilomita 5.2 na linaunganisha Hospitali ya Aga Khan na barabara za Obama, Kenyatta na Toures mkoani humo na kubadilisha mandhari yake.

Dk Mwigulu alitaja barabara nyingine zitakazowekwa tozo ya barabara kwa sababu zina sifa za kufanywa hivyo ni ile ya Kibaha - Mlandizi - Chalinze - Morogoro ambayo ujenzi wake ukikamilika utakuwa na urefu wa kilometa 158 na Barabara ya Igawa - Songwe -Tunduma ambayo ikikamilika ujenzi wake itakuwa na urefu wa kilometa 218. Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha na Mipango, Ben Mwaipaja akizungumzia hilo alisema serikali inapowasilisha bajeti kuu ina maana kila kinachowasilishwa kiko kwenye mpango wa kutekelezwa katika mwaka wa fedha unaohusika.

“Bajeti na mambo yanayosomwa kwenye bajeti kuu yakiwasilishwa bungeni ina maana yako kwenye mpango wa utekelezaji kwa bajeti husika na hiyo hufanyika baada ya bunge kuridhia,” alisema Mwaipaja. Hivi karibuni Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) ilisema inatarajia kuanza kufanya kazi ya usanifu wa ujenzi wa barabara ya njia nne kutoka KibahaChalinze-Morogoro.

Ofisa Mwandamizi wa Jamii kutoka Tanroads, Gibson Mwaya alibainisha hayo katika taarifa yake mbele ya kikao maalumu kilichofanyika katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge. Mwaya alisema kazi hiyo ilitarajiwa kuanza siku chache baadaye na itafanywa kwa miezi miwili na baadaye ripoti ya awali itakabidhiwa kwa Mtendaji Mkuu na baada ya hapo kazi ya usanifu huo ripoti hiyo itaeleza namna ambavyo kazi inapaswa kufanyika pamoja na gharama halisi za ujenzi wa barabara hiyo.

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Aboubakar Kunenge akizungumza katika kikao hicho alisema barabara hiyo itajengwa njia mbili kwenda na njia mbili kurudi mpaka kufika mkoani Morogoro ikiwa sawa na kilomita 158 na kusema njia hizo zinaitwa njia za haraka. “Kazi hiyo itakuwa na athari chanya katika nchi yetu, nchi za SADC na hata Afrika Mashariki,” alisema Kunenge.


Chanzo: Habarileo
 
Tuseme tu ukweli Dr. Madelu ni kiumbe mwenye roho mbaya sana. Tangu ateuliwe kuwa Waziri wa Fedha, amekuja na kodi lukuki za kuwaumiza tu watu wa chini na wale wa kati!

Wale matajiri wenzake amegoma kabisa kuwagusa. Yaani ana tofauti kubwa sana ya utendaji kwenye hiyo Wizara, na mtangulizi wake Dr. Phillipo Mpango.


Cha kushangaza na Bi Mkubwa anamkubali kweli! Muhimu tu asije kumtafuta mchawi pale jahazi lake litakapo zama 2025! Maana siamini kama kuna mtu atakubali kumchagua kupitia sanduku la kura, eti kwa sababu tu amejenga madarasa kupitia mkopo kutoka IMF.
 
SERIKALI imesema magari yataanza kulipia fedha yanapopita kwenye Daraja la Tanzanite na katika barabara nyingine mbili za haraka ya Kibaha - Mlandizi - Chalinze - Morogoro (Expressway) na ile ya Igawa - Songwe -Tunduma (Expressway) kwa kuwa zote zina sifa za kutozwa fedha.

====

SERIKALI imesema magari yataanza kulipia fedha yanapopita kwenye Daraja la Tanzanite na katika barabara nyingine mbili za haraka ya Kibaha - Mlandizi - Chalinze - Morogoro (Expressway) na ile ya Igawa - Songwe -Tunduma (Expressway) kwa kuwa zote zina sifa za kutozwa fedha.

Katika hotuba ya Bajeti ya Serikali iliyowasilishwa siku chache zilizopita bungeni Dodoma na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba, alisema serikali inaendelea kuboresha sekta ya uchukuzi nchini kwa kuendeleza utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa barabara ili kufungua fursa za kiuchumi.

Alisema katika kutekeleza miradi hiyo ya ujenzi wa barabara kama sehemu ya kufungua fursa na kuiunganisha nchi na mataifa jirani, serikali itamalizia ujenzi wa barabara zinazounganisha mikoa na kwamba wakandarasi wapo kazini. Alisema katika ujenzi huo, Daraja la Tanzanite lililopo maeneo ya Salender Dar es Salaam lenye urefu wa kilometa 1.03 lililojengwa baharini jirani na ufukwe wa Coco litawekewa malipo ya fedha kwa sababu lina sifa za kufanya hivyo.

Daraja hilo lina njia nne za magari na njia mbili za watembea kwa miguu, limejengwa pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa kilomita 5.2 na linaunganisha Hospitali ya Aga Khan na barabara za Obama, Kenyatta na Toures mkoani humo na kubadilisha mandhari yake.

Dk Mwigulu alitaja barabara nyingine zitakazowekwa tozo ya barabara kwa sababu zina sifa za kufanywa hivyo ni ile ya Kibaha - Mlandizi - Chalinze - Morogoro ambayo ujenzi wake ukikamilika utakuwa na urefu wa kilometa 158 na Barabara ya Igawa - Songwe -Tunduma ambayo ikikamilika ujenzi wake itakuwa na urefu wa kilometa 218. Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha na Mipango, Ben Mwaipaja akizungumzia hilo alisema serikali inapowasilisha bajeti kuu ina maana kila kinachowasilishwa kiko kwenye mpango wa kutekelezwa katika mwaka wa fedha unaohusika.

“Bajeti na mambo yanayosomwa kwenye bajeti kuu yakiwasilishwa bungeni ina maana yako kwenye mpango wa utekelezaji kwa bajeti husika na hiyo hufanyika baada ya bunge kuridhia,” alisema Mwaipaja. Hivi karibuni Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) ilisema inatarajia kuanza kufanya kazi ya usanifu wa ujenzi wa barabara ya njia nne kutoka KibahaChalinze-Morogoro.

Ofisa Mwandamizi wa Jamii kutoka Tanroads, Gibson Mwaya alibainisha hayo katika taarifa yake mbele ya kikao maalumu kilichofanyika katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge. Mwaya alisema kazi hiyo ilitarajiwa kuanza siku chache baadaye na itafanywa kwa miezi miwili na baadaye ripoti ya awali itakabidhiwa kwa Mtendaji Mkuu na baada ya hapo kazi ya usanifu huo ripoti hiyo itaeleza namna ambavyo kazi inapaswa kufanyika pamoja na gharama halisi za ujenzi wa barabara hiyo.

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Aboubakar Kunenge akizungumza katika kikao hicho alisema barabara hiyo itajengwa njia mbili kwenda na njia mbili kurudi mpaka kufika mkoani Morogoro ikiwa sawa na kilomita 158 na kusema njia hizo zinaitwa njia za haraka. “Kazi hiyo itakuwa na athari chanya katika nchi yetu, nchi za SADC na hata Afrika Mashariki,” alisema Kunenge.

Chsnzo: Habari Leo
 
SERIKALI imesema magari yataanza kulipia fedha yanapopita kwenye Daraja la Tanzanite na katika barabara nyingine mbili za haraka ya Kibaha - Mlandizi - Chalinze - Morogoro (Expressway) na ile ya Igawa - Songwe -Tunduma (Expressway) kwa kuwa zote zina sifa za kutozwa fedha.- Kitenge Tv
Naona viongozi wanazidi kuchanganyikiwa...
Gone too soon JPM.
Ila yote ni mipango ya Mungu...
Mwigulu anasema daraja la Tanzanite lina sifa...anaweza kutuambia serikali imechangia shilingi ngapi kwenye ujenzi?..huyu jamaa anachekesha sana...
Rais Samia anazidi kupotea kwenye ramani kama utani duh.....

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Hii ya Kibaha-Mlandizi-Morogoro express way ni ipi? Au ndio watajenga?
SERIKALI imesema magari yataanza kulipia fedha yanapopita kwenye Daraja la Tanzanite na katika barabara nyingine mbili za haraka ya Kibaha - Mlandizi - Chalinze - Morogoro (Expressway) na ile ya Igawa - Songwe -Tunduma (Expressway) kwa kuwa zote zina sifa za kutozwa fedha.- Kitenge Tv
 
SERIKALI imesema magari yataanza kulipia fedha yanapopita kwenye Daraja la Tanzanite na katika barabara nyingine mbili za haraka ya Kibaha - Mlandizi - Chalinze - Morogoro (Expressway) na ile ya Igawa - Songwe -Tunduma (Expressway) kwa kuwa zote zina sifa za kutozwa fedha.

====

SERIKALI imesema magari yataanza kulipia fedha yanapopita kwenye Daraja la Tanzanite na katika barabara nyingine mbili za haraka ya Kibaha - Mlandizi - Chalinze - Morogoro (Expressway) na ile ya Igawa - Songwe -Tunduma (Expressway) kwa kuwa zote zina sifa za kutozwa fedha.

Katika hotuba ya Bajeti ya Serikali iliyowasilishwa siku chache zilizopita bungeni Dodoma na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba, alisema serikali inaendelea kuboresha sekta ya uchukuzi nchini kwa kuendeleza utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa barabara ili kufungua fursa za kiuchumi.

Alisema katika kutekeleza miradi hiyo ya ujenzi wa barabara kama sehemu ya kufungua fursa na kuiunganisha nchi na mataifa jirani, serikali itamalizia ujenzi wa barabara zinazounganisha mikoa na kwamba wakandarasi wapo kazini. Alisema katika ujenzi huo, Daraja la Tanzanite lililopo maeneo ya Salender Dar es Salaam lenye urefu wa kilometa 1.03 lililojengwa baharini jirani na ufukwe wa Coco litawekewa malipo ya fedha kwa sababu lina sifa za kufanya hivyo.

Daraja hilo lina njia nne za magari na njia mbili za watembea kwa miguu, limejengwa pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa kilomita 5.2 na linaunganisha Hospitali ya Aga Khan na barabara za Obama, Kenyatta na Toures mkoani humo na kubadilisha mandhari yake.

Dk Mwigulu alitaja barabara nyingine zitakazowekwa tozo ya barabara kwa sababu zina sifa za kufanywa hivyo ni ile ya Kibaha - Mlandizi - Chalinze - Morogoro ambayo ujenzi wake ukikamilika utakuwa na urefu wa kilometa 158 na Barabara ya Igawa - Songwe -Tunduma ambayo ikikamilika ujenzi wake itakuwa na urefu wa kilometa 218. Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha na Mipango, Ben Mwaipaja akizungumzia hilo alisema serikali inapowasilisha bajeti kuu ina maana kila kinachowasilishwa kiko kwenye mpango wa kutekelezwa katika mwaka wa fedha unaohusika.

“Bajeti na mambo yanayosomwa kwenye bajeti kuu yakiwasilishwa bungeni ina maana yako kwenye mpango wa utekelezaji kwa bajeti husika na hiyo hufanyika baada ya bunge kuridhia,” alisema Mwaipaja. Hivi karibuni Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) ilisema inatarajia kuanza kufanya kazi ya usanifu wa ujenzi wa barabara ya njia nne kutoka KibahaChalinze-Morogoro.

Ofisa Mwandamizi wa Jamii kutoka Tanroads, Gibson Mwaya alibainisha hayo katika taarifa yake mbele ya kikao maalumu kilichofanyika katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge. Mwaya alisema kazi hiyo ilitarajiwa kuanza siku chache baadaye na itafanywa kwa miezi miwili na baadaye ripoti ya awali itakabidhiwa kwa Mtendaji Mkuu na baada ya hapo kazi ya usanifu huo ripoti hiyo itaeleza namna ambavyo kazi inapaswa kufanyika pamoja na gharama halisi za ujenzi wa barabara hiyo.

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Aboubakar Kunenge akizungumza katika kikao hicho alisema barabara hiyo itajengwa njia mbili kwenda na njia mbili kurudi mpaka kufika mkoani Morogoro ikiwa sawa na kilomita 158 na kusema njia hizo zinaitwa njia za haraka. “Kazi hiyo itakuwa na athari chanya katika nchi yetu, nchi za SADC na hata Afrika Mashariki,” alisema Kunenge.

Chsnzo: Habari Leo
Kwa aina hizi za tozo, hapo kama ni kwenye soka ni serikali inakaba mpaka penalti
 
Hilo halina shida na wala sio jambo geni kwa sababu hata daraja Nyerere kigamboni magari yanayo pita pale yanalipia.

Ila kwa barabara ya Dar~kibaha~mlandizi~chalinze, ikijengwa barabara yenye hadhi pia hakuna shida watu watalipia tu, Serikali itakusanya mapato ya kutosha.

Nchi haiwezi kujengwa kwa maneno bila kukusanya kodi/tozo,
fedha zetu na za wawekezaji ndio zitakazo lijenga Taifa letu.

tusidanganyike ni misaada, tusipende vya buree tutalemaaa .
 
SERIKALI imesema magari yataanza kulipia fedha yanapopita kwenye Daraja la Tanzanite na katika barabara nyingine mbili za haraka ya Kibaha - Mlandizi - Chalinze - Morogoro (Expressway) na ile ya Igawa - Songwe -Tunduma (Expressway) kwa kuwa zote zina sifa za kutozwa fedha.

====

SERIKALI imesema magari yataanza kulipia fedha yanapopita kwenye Daraja la Tanzanite na katika barabara nyingine mbili za haraka ya Kibaha - Mlandizi - Chalinze - Morogoro (Expressway) na ile ya Igawa - Songwe -Tunduma (Expressway) kwa kuwa zote zina sifa za kutozwa fedha.

Katika hotuba ya Bajeti ya Serikali iliyowasilishwa siku chache zilizopita bungeni Dodoma na Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba, alisema serikali inaendelea kuboresha sekta ya uchukuzi nchini kwa kuendeleza utekelezaji wa miradi ya ujenzi wa barabara ili kufungua fursa za kiuchumi.

Alisema katika kutekeleza miradi hiyo ya ujenzi wa barabara kama sehemu ya kufungua fursa na kuiunganisha nchi na mataifa jirani, serikali itamalizia ujenzi wa barabara zinazounganisha mikoa na kwamba wakandarasi wapo kazini. Alisema katika ujenzi huo, Daraja la Tanzanite lililopo maeneo ya Salender Dar es Salaam lenye urefu wa kilometa 1.03 lililojengwa baharini jirani na ufukwe wa Coco litawekewa malipo ya fedha kwa sababu lina sifa za kufanya hivyo.

Daraja hilo lina njia nne za magari na njia mbili za watembea kwa miguu, limejengwa pamoja na barabara unganishi zenye urefu wa kilomita 5.2 na linaunganisha Hospitali ya Aga Khan na barabara za Obama, Kenyatta na Toures mkoani humo na kubadilisha mandhari yake.

Dk Mwigulu alitaja barabara nyingine zitakazowekwa tozo ya barabara kwa sababu zina sifa za kufanywa hivyo ni ile ya Kibaha - Mlandizi - Chalinze - Morogoro ambayo ujenzi wake ukikamilika utakuwa na urefu wa kilometa 158 na Barabara ya Igawa - Songwe -Tunduma ambayo ikikamilika ujenzi wake itakuwa na urefu wa kilometa 218. Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha na Mipango, Ben Mwaipaja akizungumzia hilo alisema serikali inapowasilisha bajeti kuu ina maana kila kinachowasilishwa kiko kwenye mpango wa kutekelezwa katika mwaka wa fedha unaohusika.

“Bajeti na mambo yanayosomwa kwenye bajeti kuu yakiwasilishwa bungeni ina maana yako kwenye mpango wa utekelezaji kwa bajeti husika na hiyo hufanyika baada ya bunge kuridhia,” alisema Mwaipaja. Hivi karibuni Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) ilisema inatarajia kuanza kufanya kazi ya usanifu wa ujenzi wa barabara ya njia nne kutoka KibahaChalinze-Morogoro.

Ofisa Mwandamizi wa Jamii kutoka Tanroads, Gibson Mwaya alibainisha hayo katika taarifa yake mbele ya kikao maalumu kilichofanyika katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge. Mwaya alisema kazi hiyo ilitarajiwa kuanza siku chache baadaye na itafanywa kwa miezi miwili na baadaye ripoti ya awali itakabidhiwa kwa Mtendaji Mkuu na baada ya hapo kazi ya usanifu huo ripoti hiyo itaeleza namna ambavyo kazi inapaswa kufanyika pamoja na gharama halisi za ujenzi wa barabara hiyo.

Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Aboubakar Kunenge akizungumza katika kikao hicho alisema barabara hiyo itajengwa njia mbili kwenda na njia mbili kurudi mpaka kufika mkoani Morogoro ikiwa sawa na kilomita 158 na kusema njia hizo zinaitwa njia za haraka. “Kazi hiyo itakuwa na athari chanya katika nchi yetu, nchi za SADC na hata Afrika Mashariki,” alisema Kunenge.

Chsnzo: Habari Leo
Itajengwa barabara mpya dual carriage way na itakuwa expressway na ni barabara ya Kimataifa..

Pili barabara ya zamani itaendelea kuwepo kwa ajili ya nyie mafukara 😂😂
 
Watanzania wenzangu, ifikie wakati tuungane na kukiondoa hiki kirusi kinachoitwa ccm! Haiwezekani fedha zilizotumika kujengea hayo madaraja, zimetokana na kodi zetu! Au mikopo ambayo tutatakiwa kuilipa na vizazi vyetu!

Halafu leo tunatakiwa kulipia! 2025 tuwaondoe madarakani hawa mafisadi. Kodi zenyewe wakipata kwa sehemu kubwa, wanazitumia kwa manufaa yao tu. Haileti mantiki hatavkidogo! Kwa sababu hayo magari yanayopita kwenye hayo madaraja, tayari yana msululu wa kodi za kila aina!

Bahati mbaya hii serikali ya sasa haina ubunifu wowote ule! Isipokuwa ni kukamua tu wananchi kupitia kodi na mitozo inayo jirudia!
 
Back
Top Bottom