Dah!! “I think I am in LOVE…..” TGI-Eid!!!

Dah!! “I think I am in LOVE…..” TGI-Eid!!!

smile vipi tena ndugu humtaki wifi wewe????muacheni baba tuli wangu jamani,love wasikusumbue kichwa hawa dada zako wa hiyari lol

Huyu sis huyu ni sitaki nataka mambo yake
yaani anataka na huku analilia kuwa hataki
Mwache tuu wife huyu asikusumbue kichwa
 
Hela yote hiyo halaf ka gemu ka dakika tano tu kaget kali kanakwambia ukoo wao una marazi ya asthma daktari amemwambia ascheze kiduku zaidi ya dakika 20. In short hivi vigeti kali vinaleta global warming tu havina mpango wowote.
Mood: hapa nimeongea kwa hasira kweli
Hahaha umepinda mbaya...........Hata huo u mod napata mashaka nao utakapoupata lol!
 
Hela yote hiyo halaf ka gemu ka dakika tano tu kaget kali kanakwambia ukoo wao una marazi ya asthma daktari amemwambia ascheze kiduku zaidi ya dakika 20. In short hivi vigeti kali vinaleta global warming tu havina mpango wowote.
Mood: hapa nimeongea kwa hasira kweli
Lol...hivi ikitokea nimevunjika mbavu kwa haya mayuziful quote yako Serekali itanipeleka india au?
 
Hey... Namaste yaar.... Missed you Viper it has been long bana.... Hopefully sasa we can play that game of Chess....


Wimbo wako umenikosha.....lol... Are you not in love Viper....

haha.. dah yaani didi mimi nipo 100% in love... muda si mrefu nitakuja kukualika ndoa wacha mipango ikae sawa Tu ...! lakini boti waweza kupanda...?! maana twaelekea visiwani....
 
au yupo busy na Face book

388977_270404502995331_100000773500533_688639_200138491_n.jpg


Ukichungulia unakuta mzigo huo duhh

heheeh nimecheka kwa laudi speaker aisee, yaani jibaba lina ka notification kamoja tu? khaaaa!
 
Nimeona mambo ya mama Tuli... Kuna post humu ndani navua miwani nikipita ili nisisome.....lol... Ok umenipoza... sis eeeh??

hahahaaa we endelea tu kuvua miwani......bishanga kasha chakachuliwa,karata anazipanga mwaka!!!!
 
Hahaha umepinda mbaya...........Hata huo u mod napata mashaka nao utakapoupata lol!
Too late, Ashadii tayari asha do ze nidful, hehehehe sweetlady hakujibu PM yangu anakula ban wiki 2 kwa kuzarau PM ya mod kloro (huu ni mfano tu)
 
Inahusika sana kuleta vimelea vya virutubisho chini ya kitovu
Am under 18 Fidel, nikiomba ufafanuzi wa chini ya kitovu nitakuwa siitendei haki miaka yangu...lol.


Ushauri nje ya mada: unaonaje mkijiunga na kloro muwe Comedian? Think Fidel, mie ntakuwa mfadhili wenu!
 
Too late, Ashadii tayari asha do ze nidful, hehehehe sweetlady hakujibu PM yangu anakula ban wiki 2 kwa kuzarau PM ya mod kloro (huu ni mfano tu)
Haa haiwezekani ngoja na sisi tutafutee NMC square yetu nafikiri itakuwa jukwaa la Chit Chat mpaka kieleweke toa msimamo wako juu ya uchakachuaji wa sredi ili tujue kama tupo pamoja
 
Haa haiwezekani ngoja na sisi tutafutee NMC square yetu nafikiri itakuwa jukwaa la Chit Chat mpaka kieleweke toa msimamo wako juu ya uchakachuaji wa sredi ili tujue kama tupo pamoja

Atakaechakachua sredi atapewa upremium member bila kulipia chochote.
nalog out kamanda, nampeleka waifu mateniti naona anahisi kichef chef kidogo
 
Too late, Ashadii tayari asha do ze nidful, hehehehe sweetlady hakujibu PM yangu anakula ban wiki 2 kwa kuzarau PM ya mod kloro (huu ni mfano tu)
Hahaha! Edit upesi hapo kwa AshaDii weka husninyo! Hivi unamjua vizuri memba anaeitwa Kaizer? Usijesema sijakwambia!
 
Atakaechakachua sredi atapewa upremium member bila kulipia chochote.
nalog out kamanda, nampeleka waifu mateniti naona anahisi kichef chef kidogo
Nimefurahi unapolog out unajibu na swali la Asha Dii kabisa kwamba your in Love................mpe pole ua waifu usisahau kupitia sokoni kwa ajili ya maembe mabichi
 
Atakaechakachua sredi atapewa upremium member bila kulipia chochote.
nalog out kamanda, nampeleka waifu mateniti naona anahisi kichef chef kidogo

Kweli u r in love
Mpaka unampeleka wife maternity
Safi sana hiyo Kloro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom