Dah!! “I think I am in LOVE…..” TGI-Eid!!!

Dah!! “I think I am in LOVE…..” TGI-Eid!!!

Halaf waambie wachumba zako wasiniPM bana, mzembe niko full booked. Sio hapa kwenye sredi wanajifanya kukushobokea halaf huku PM wanakusagia

Mzazi kwa maujiko sikuwezi kama wabunge wa CCM anatoa msaada wa baiskeli mbili anaita waandishi wa habari bahasha anatoa kwa wanahabari thamani yake inazidi msaada anao utoa baiskeli 2 ni laki mbili bahasha kwa wanahabari laki 7
 
Gagurito niliku-MISS je?? Yaani niliku MISS mpaka nikakutungia thread but stilll..... Inatakiwa ulipe faini sio kupotea huku Khaa!!

Hahahahaha! Mambo mambo ndugu yangu, huwezi amini nilitingwa teh! nashukuru kuona upo VYEMA, moto wako Ashadii dah! Waswahili wanasema KAMAKAWA KAMADAWA, NIMERUDI. Fain kulipa lazima teh! I am in love with MMU!
 
“I have loved to the point of Madness, That which is called madness, That which to me is the only sensible way to Love” – F. Sagan.
I THINK I'M TRULY IN LOVE!


Who is the Lucky lady?? lol... Warning: Usinibanie!! lol
 
Mzazi kwa maujiko sikuwezi kama wabunge wa CCM anatoa msaada wa baiskeli mbili anaita waandishi wa habari bahasha anatoa kwa wanahabari thamani yake inazidi msaada anao utoa baiskeli 2 ni laki mbili bahasha kwa wanahabari laki 7
Dah! kamanda skukushtukizia? naona umeamua kuwakimbiza kwa staili mpya
 
Hahahahaha! Mambo mambo ndugu yangu, huwezi amini nilitingwa teh! nashukuru kuona upo VYEMA, moto wako Ashadii dah! Waswahili wanasema KAMAKAWA KAMADAWA, NIMERUDI. Fain kulipa lazima teh! I am in love with MMU!



Gagurito, hio sasa ndo habari... Me I am in love with you being in Love with MMU.....lol
 
Hahahahaha! Mambo mambo ndugu yangu, huwezi amini nilitingwa teh! nashukuru kuona upo VYEMA, moto wako Ashadii dah! Waswahili wanasema KAMAKAWA KAMADAWA, NIMERUDI. Fain kulipa lazima teh! I am in love with MMU!

Duh umerudi umesha maliza kazi za kulijaza taifa mtoto wa bilioni ngapi yule??
 
No no usiwe na wasi wasi
Smile ni my sis bana mimi na yeye tuna mengi yamejificha ila sio ya siri
Ila Mama Tuli bana wacha tuu



Nimeona mambo ya mama Tuli... Kuna post humu ndani navua miwani nikipita ili nisisome.....lol... Ok umenipoza... sis eeeh??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom