Dah!! “I think I am in LOVE…..” TGI-Eid!!!

Dah!! “I think I am in LOVE…..” TGI-Eid!!!

Uliyoandika mengi ni kweli yanatokea Asha dii,Lool nilimpenda,nampenda na nitampenda milele, naomba mungu anisaidie shetan asipite karibu.
 
Uliyoandika mengi ni kweli yanatokea Asha dii,Lool nilimpenda,nampenda na nitampenda milele, naomba mungu anisaidie shetan asipite karibu.



Mtaratibuuuu nafurahi your acknowledgement.... Na nafurahi pia kwamba you are still in love... Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa rehema, kama kweli mwamuomba basi shetani atawekwa kando... Ila tu kumbuka majaribu ni muhimu.... lazima mtapitia once in a while....
 
Kiukwel majaribu ni mengi hayakwepeki hayo hata kidogo,communication ikiwepo sometimes inasaidia kuclear doubts,bt mungu ni mwema siku zote hapendi mifarakano
 
Kiukwel majaribu ni mengi hayakwepeki hayo hata kidogo,communication ikiwepo sometimes inasaidia kuclear doubts,bt mungu ni mwema siku zote hapendi mifarakano



Good waelewa hilo... Basi mie niseme tu BEST OF LUCK in your love nest....
 
Sweetie umeniacha njia panda.... Au haitakiwi nielewe?? lol

Sweetie mi mwenyewe sijaelewa ndo maana nikaifail hiyo.....najaribu kuconnect dots hapa lakini wapi...waweza kunisaidia love?
 
Sweetie mi mwenyewe sijaelewa ndo maana nikaifail hiyo.....najaribu kuconnect dots hapa lakini wapi...waweza kunisaidia love?



Jamani Mpenzi.... Wee si ndo umeanza lakini..... Nimejitahidi siwezi love.... Naomba utoe mwongozo wa muafaka basi.
 
I felt that way ten years ago! After the death of that relation ....huwa nafanya hayo mambo nikikumbuka jambo ktk movie AU cartoon, story ktk kitabu au comments hapa JF, waiting the miracle, i might feel that way once more to smbdy special
 
I felt that way ten years ago! After the death of that relation ....huwa nafanya hayo mambo nikikumbuka jambo ktk movie AU cartoon, story ktk kitabu au comments hapa JF, waiting the miracle, i might feel that way once more to smbdy special


I am happy kua it has happened to you before... Na i am happy more kua you are looking to feeling this way again.. Way to go Sabry!!
 
AshaDii mambo vipi. Naamini uko salama. Nimekumiss(ila kimya kimya)
 
Mzima dear mambo yako salama
Asante sana dear
Siredi naona inaenda tuu



Yaani nimesahau hata niliishia page ya ngapi huko...lol... Kuna issue imenibana nashindwa hata rudi nyuma kujibu pending posts.. Hata hivo si waelewa lakina kua Mapenzi yana Run Dunia?
 
Yaani nimesahau hata niliishia page ya ngapi huko...lol... Kuna issue imenibana nashindwa hata rudi nyuma kujibu pending posts.. Hata hivo si waelewa lakina kua Mapenzi yana Run Dunia?

Kabisa yaani mapenzi ni kila kitu
Yaani kweli mapenzi ni balaa
Pole sana sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom