Yummy
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,796
- 1,337
Heheheee halafu nimeipenda hiyo....ongezea na hizi basi PJMSBTKTISARMVM
haujatulia wewe......ukweli tunaujua mm na ww lol
Heheheee halafu nimeipenda hiyo....ongezea na hizi basi PJMSBTKTISARMVM
Hata mimi simsomi huku muda...........we anzisha sredi za kiukauzu kauzu zile zake atatia timu kutoa darasa....mi nampenda Nyamayao bana ni zaidi ya kauzuBaba Sharon hapo naona watafuta ugomvi....lol... Sijamuona Nyamayao siku nyingi kweli is she good??
Dah! kamanda skukushtukizia? naona umeamua kuwakimbiza kwa staili mpya
mmmmmmmmmmmmmh kaka???????????
Zile kampeni za Igunga na helikopta zilimuharibu sana
Hapa umejipigia pass na kujitangulizia kila la kheri bro
Nimeona mambo ya mama Tuli... Kuna post humu ndani navua miwani nikipita ili nisisome.....lol... Ok umenipoza... sis eeeh??
haujatulia wewe......ukweli tunaujua mm na ww lol
hehehe acha niandae listi yangu ya nitakaowatandika ban bila sababu ya msingiBasi mambo yooote mwano! Subiri PM yangu na maelekezo yooote. lol
mkuu pamoja sana
yaani hapo wacha tuu ni habari nyingine kabisa
Aisee leo nimeukumbuka sana huu wimbo! Although it's a one hit wonder but I still like it in a funny kinda way. Mama Tuli unaukumbuka huu?
Khia - My Neck, My Back (HQ / Dirty) - YouTube
Ooh! Very sorry honey, sitarudia tena! Kwa jinsi nilivyokumiss wakati nipo jela we acha tu! Sirudii ati! LolSi niliisha kwambia mambo ya siasa uachane nayo kwanini hausikii lakini??
heheh yep! uswazi ndo mpango mzima jibaba, wana vislogan vyao vya ajabu ajabu wanakwambiaga "zambi haihitaji kinga" unapewa raha kav bila woga aisee.Kamanda mm sasa hivi nimestaafu nimeridhika na wangu wa Tandale kwa Mtogole uswazi kutamu bana asikwambie mtu
hehehe acha niandae listi yangu ya nitakaowatandika ban bila sababu ya msingi
Ubarikiwe Ashadii (source: Biharusi Miss Judith (itakuwa ana kaujauzito tu maana haonekani sku hizi))
hahahaaaaaaaa sio zangu hizo,usinionee
Can you sing R' ??
hehehe wewe ifoward tu haina gwereKuna PM alinitumia Mwita25 in relation na wewe with my ID... Nikutumie??
heheh yep! uswazi ndo mpango mzima jibaba, wana vislogan vyao vya ajabu ajabu wanakwambiaga "zambi haihitaji kinga" unapewa raha kav bila woga aisee.