sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,967
- 8,454
Karibu thupu ya ngisi
Ahsante Fidel, hiyo thupu inaongeza vitamin gani tena?..lol
Karibu thupu ya ngisi
Khaaaaaaa!Hahahaha! Swahiba bana kwa kuyeyusha sikuwezi, si umwambie tu AshaDii kuwa You think your in love with me yaishe!. Maneno yako yanapingana na hizi PM ulizonitumia!
Hahahahaaaaa! Umepinda walah tena!...khaaheheeh watoto wa geti michosho tu kamanda,wewe unaomba gemu wao wanataka muangalie tamsilia.
Mtoto wa bil.7 teh! Takwimu za wazungu utaliweza weye teh!
Haumo, lakini kuna wazembe 2 kwenye hii sredi (majina kapuni) watapata ban kwenye rehearsal yangu ya majukumu ya umod. stay tunedNaomba Mungu nisiwe mmoja wao..............mimi penda jf sana
Lol... Lawyer whats wrong???Khaaaaaaa!
Mood: Lawyer nimepazal tena
Nakuchanganya tena...........mai waifu na Nyamayao wa jf wanakatabia kana fanana ka ukauzu so my waifu kanick name kake ni Nyamayao lakini hilo jina bado sijalialaunch pale nyumbani maana na check na mood yakeMbona wajichanganya??? Ulisema kua mkeo kauzu kama Nyamayao (as per your words) alafu saizi Nyamayao akutosha? lol.... C'mon Man!
kandambili wa JF uko nae?Am alwayz around ma man!
Nipo hapa kwa Ayubu Msaga Sumu nakula chipsi na kubrauzi JF kupitia huduma yake ya Wi-Fi.
heheeh watoto wa geti michosho tu kamanda,wewe unaomba gemu wao wanataka muangalie tamsilia.
Mapost yako ya leo yamekwenda shule kweli aisee!Lol... Lawyer whats wrong???
Uligoma kujibu new PM yangu ilhali ulikuwa wajua fika kuwa sweetie wako niko kifungoni...ila niliipenda coz niliamini kuwa kweli darlin' wangu huwa hajibu pm za id zisizoeleweka... Umekumbuka?Kesi gani tena sweet....
Ahsante Fidel, hiyo thupu inaongeza vitamin gani tena?..lol
Kheeeee kheeee Klorokwin atazimiaUligoma kujibu new PM yangu ilhali ulikuwa wajua fika kuwa sweetie wako niko kifungoni...ila niliipenda coz niliamini kuwa kweli darlin' wangu huwa hajibu pm za id zisizoeleweka... Umekumbuka?
Hela yote hiyo halaf ka gemu ka dakika tano tu kaget kali kanakwambia ukoo wao una marazi ya asthma daktari amemwambia ascheze kiduku zaidi ya dakika 20. In short hivi vigeti kali vinaleta global warming tu havina mpango wowote.Mi niliapa sitorudia tena tumetoka out dahh maumivu kamanda kila anacho kiona anataka kununua akanikamua mpaka hela ya guest mm nataka nimpleke Guest zangu za uswazi za buku 5 self contained room yeye anang'ang'ania The Atrimius pale Sinza dahh na tuchukue tax mfukoni nimebakiwa na msimbazi aaah ikabidi niseme wazi tu sizitaki mbichi
mmmmmmmmmmmmmh kaka???????????
Hela yote hiyo halaf ka gemu ka dakika tano tu kaget kali kanakwambia ukoo wao una marazi ya asthma daktari amemwambia ascheze kiduku zaidi ya dakika 20. In short hivi vigeti kali vinaleta global warming tu havina mpango wowote.
Mood: hapa nimeongea kwa hasira kweli
hehehe huyo sweetlady ma talaka yake nishayaweka jukwaa la wakubwa mwache akayabebe tu.Kheeeee kheeee Klorokwin atazimia
heheeh watoto wa geti michosho tu kamanda,wewe unaomba gemu wao wanataka muangalie tamsilia.
Hahaha! Wacha tu azimie bana, tutamwomba AshaDii ammwagie maji ya baridi yenye ukwaju!Kheeeee kheeee Klorokwin atazimia