Current four star Generals in Tanzania

Ulinzi na usalama ni issue ya muungano lakino jkt sio jambo la muungano, umenichanganya ulivyosema ipo ndani ya jwtz hebu nifafanulie mkuu
Hamna wanajeshi wa JKT kuna wanajeshi wa JWTZ. JKT ni kamandi ya JWTZ ambayo IPO chini ya major general

Tunaowaita JKT ni wale vijana wale wanaopata mafunzo ya uzalishaji Mali na usalama ya awali ambao wanakuaa trained na watu wa JWTZ.sijui inaeleweka
 
Ngoja nikutoe tongo tongo, Brigadier akifariki jeneza lake linatakiwa libebwe na mabregadier wenzake. Je vipi kwa Commander in chief?
Iko namna ila tu hujui kujieleza!
commander in chief jeneA lake linabebwa nà wanajeshi wa cheo cha kanali ( colonel) likisindikizwa na one star generals kama ambavyo ilifanyika kwa mwendazake
 
Good explanation MTU asipoelewa hapo Basi tena
 
Ngoja nikutoe tongo tongo, Brigadier akifariki jeneza lake linatakiwa libebwe na mabregadier wenzake. Je vipi kwa Commander in chief?
Iko namna ila tu hujui kujieleza!
Hajui kujieleza kwakuwa naye alisimuliwa tu
 
MUHIMU

Mwamnyange na Mabeyo hawakua serving CoS chini ya maraisi wanaoondoka, isipokua waliletwa hapo na maraisi wapya walioingia, so technically ni kama hawakua CoS kabla ya kuwa CDF........ (i mean chini ya former CiC)

..huenda hali hiyo inatokana na mtizamo wa amiri jeshi mkuu wa wakati husika.

..nadhani kila amiri jeshi mkuu hupenda kuteua cdf na cos, kuliko kurithi walioteuliwa na watangulizi wao.

Cc PTER, Emiir
 
Samahan ivi cdf wa Sasa CV yake ikoje kwenye oparesheni za kijeshi?
 
commander in chief jeneA lake linabebwa nà wanajeshi wa cheo cha kanali ( colonel) likisindikizwa na one star generals kama ambavyo ilifanyika kwa mwendazake
How sure are you? Hivi unaelewa kuwa akifariki Brigadier wanatakiwa mabregadier wabebe jeneza lake? Lakini pia wanaweza kuamriwa maPrivate wabebe jeneza lake unafahamu hilo?
 
How sure are you? Hivi unaelewa kuwa akifariki Brigadier wanatakiwa mabregadier wabebe jeneza lake? Lakini pia wanaweza kuamriwa maPrivate wabebe jeneza lake unafahamu hilo?
Kwa kuwachanganya zaidi waulize waliyobeba jeneza la Mkapa walikuwa na cheo gani??
 
Lakini alikimbia akiwa meja
 
🤣🤣

..wabongo mna habari nyingi sana.

..ngoja nitafute cv zao ili nijihakikishie kwamba walikuwa pamoja huko tma.

..ninavyoelewa yule CoS alikuwa mshauri wa jeshi shelisheli, na kama sijakosea aliwahi kuwa msaidizi wa Cdf wakati fulani.

..ngoja nitafute habari zake.
 
Lakini alikimbia akiwa meja
Mkuu sio kama alikimbia kabisa, isipokiwa alikimbia kwenda kutafuta hifadhi kwa yule kiongozi mkuu, ndipo kiongozi mkuu alipowasiliana na yule wa kule ndipo baadae jaamaa akatafutiwa sehemu ya kutulia. Lakini baada ya miaka kadhaa kupita mkimbiaji ndio akawa kiongozi wa nchi na mkimbizaji akaona mwisho wake ndio umefika.....Hukuipata hiyo!?
 
Sio huyo unaemuongelea, kuna mmoja yeye alikimbia lakini baadae akawa ndio mkubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…