Current four star Generals in Tanzania

Current four star Generals in Tanzania

Mkuu sio kama alikimbia kabisa, isipokiwa alikimbia kwenda kutafuta hifadhi kwa yule kiongozi mkuu, ndipo kiongozi mkuu alipowasiliana na yule wa kule ndipo baadae jaamaa akatafutiwa sehemu ya kutulia. Lakini baada ya miaka kadhaa kupita mkimbiaji ndio akawa kiongozi wa nchi na mkimbizaji akaona mwisho wake ndio umefika.....Hukuipata hiyo!?
Hilo sakata nalijua mkuu
 
Mkuu sio kama alikimbia kabisa, isipokiwa alikimbia kwenda kutafuta hifadhi kwa yule kiongozi mkuu, ndipo kiongozi mkuu alipowasiliana na yule wa kule ndipo baadae jaamaa akatafutiwa sehemu ya kutulia. Lakini baada ya miaka kadhaa kupita mkimbiaji ndio akawa kiongozi wa nchi na mkimbizaji akaona mwisho wake ndio umefika.....Hukuipata hiyo!?
Hizi cod sasa!!

Sent from my vivo 1611 using JamiiForums mobile app
 
Naanzia kwenye nyota
  • Luteni usu(nyota moja)
  • Luteni (nyota mbili)
  • Captain (nyota tatu)
  • Major (bibi na bwana)
  • Luteni Kanali (bibi na bwana na nyota moja)
  • Kanali (bibi na bwana na nyota mbili)
  • Brigedia jenerali (bibi na bwana, nyota moja na mkasi)
  • Major jenerali (bibi na bwana, nyota mbili na mkasi)
  • Luteni Jenerali (bibi na bwana, nyota tatu na mkasi)
  • mkuu ww majeshi (bibi na bwana, nyota nne na mkasi)
Nina amini una akili, na jibu utakuwa umelipata
Wakati wa jk vyeo vinne vya juu vilikua hivi, brigadie general alikua ana *** ngao ya taifa, major general ngao ya taifa na mkasi,luteni general ngao ya taifa na mkasi, general * ngao ya taifa na mkasi, sasa kipi kilipelekea mabadiliko ya nyota katika vyeo vinne vya juu
 
This kinda makes sense...though I’m not certain if that’s the reason why we don’t have more than one four star general at once...
Mtu kakujibu kwa Kiswahili wewe unamwandikia English..

Mbona unakuwa mjinga namna hiyo wewe tajiri wa kingereza maskini wa mali
 
Jeshi halitakiwi kuwa na Brigadiers wengi kuliko Brigades.

Utaishia kuwa na Brigadiers hawana Bridages.

Halafu vyeo vingine vinatuzwa kwa mafanikio yanayotikana na upiganaji vitani.

Nchi yetu haijapigana vita kamili tangu vita vya Kagera kipindi cha Nyerere, wanajeshi sanasana wanaenda kwenye UN na AU engagements tu.

Ukiacha hao Ma General wa Ukuu wa Majeshi utampa mtu cheo cha u General kwa vita ipi aliyopigana?

Vita ya Kibiti
 
Mimi ningependa nione record za kushiriki,kuongoza mapigano ya kivita ya hawa ma general

Ova
Wengi wao hawajawahi enda huko

Hawa generals wa miaka hii Ni mmoja tu aliingia front Ni luten general mwakibolwa aliestaafu mwaka juzi hapo .

Aliwasambaratisha m23 kule Kongo

Wengine wote wanapanda vyeo kisiasa tu
 
Kwanini maafisa wengi wanazungushwa sana na kustaafu kwenye kanali. Hawafiki kule juu.
 
Kwanini maafisa wengi wanazungushwa sana na kustaafu kwenye kanali. Hawafiki kule juu.
Maisha yote vyeo vya kijeshi ni kama Funnel, chini pana juu nyembamba, na ndivyo ilivyo au sawa na mfano wa mnara, chini mpana juu mwembamba, kumaanisha chini mnakuwa wengi lakini kadiri miaka mnvyokwenda juu ndio kuna m'bano wa hali ya juu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom