Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 22,715
- 54,594
Hawapendi kuniona na weweeee,eti nimekaa nimechill wewe😅😅..My boo,my boo × 2, wewe ni Wangu mamaaa
Hawapendi kuniona na weweeee,eti nimekaa nimechill wewe😅😅..My boo,my boo × 2, wewe ni Wangu mamaaa
Vp mkuuDuuh
Jiandae weeknd hii twende moyo pale pana utulivu sana beach yake safii kabisa🤣🤣🤣sasa kwani nikiwa mtu ndio nini Mwachi?we nitafute twende zetu beach tulivu tukayajenge
Nakupigia Kampeni kaka😃Braza unanisagia Kunguni , ujumbe wangu hauna chama yeyote anaingia 😂 😆
Tulia hapo hapo shindii🤣🤣Yote utani tu , ila kiuhalisia sidhani
🤣🤣🤣 Ili mradi tu niteseke eti?Hahah atakuwa amepata vijana wa afumbili
😊 mimi tena wala sina harakaTulia hapo hapo shindii🤣🤣
Ewaaaah! Mdaka chozi bora kabisa🤣🤣😊 mimi tena wala sina haraka
Kuku wangu manati ya nini shindii?Ewaaaah! Mdaka chozi bora kabisa🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 unataka kusemaje?Ni kweli wala sio uongo, huyu bibi yako hadi akawa na kauchizi flani hivi. Sema kisicho rizki hakiliki🤣🤣🤣
Si ndio hapo!! Acha aruke ruke weee, jioni arudi bandani.Kuku wangu manati ya nini shindii?
Halafu nilikuwa rafiki yangu wa nguvu kipindi nasoma form 5 & 6 anaitwa Joan , kila nikiona ID ya Joanah namkumbuka yeye 😂Hahahaaa! 🙈
Twinnie naona hujataka hizo sifa ziende bure bure au kuelea elea hivyo ukaamua unichomekee. 😂😂
Eti ngoja nikusaidie kumtaja. Lol
Sina wasiwasi kabisaSi ndio hapo!! Acha aruke ruke weee, jioni arudi bandani.
Kaka Mimi Gunman , huyo Dada yangu Mimi namlinda jukwaani dhidi ya Mafia wa Ghayos gang 😆 😂Nakupigia Kampeni kaka😃
Huyo namfahamu🤣🤣🤣Enzi hizo JF Ile , niliwahi kujifanyia crush wa mtu, kumbe bana niliingia Mitaa ya MTU, nilipata tabu sana
Binafsi nilijua chitchat,kumbe niliyemtaja ana mingle zako nyingi jukwaani na PM
Shindiiiiii🤣🤣🤣Bora mmalizane humo humo pm , jukwaani mikausho mikali , ukijianika tu kuna miamba inakuona goigoi 😃
Nina kesi na wewe nzitoooShindiiiiii🤣🤣🤣