adriz de mbusii
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 16,786
- 37,803
Braza unanisagia Kunguni , ujumbe wangu hauna chama yeyote anaingia 😂 😆Shadeeya kuna sehemu unadaiwa reaction ya Kopa na mdogo wako😃
Braza unanisagia Kunguni , ujumbe wangu hauna chama yeyote anaingia 😂 😆Shadeeya kuna sehemu unadaiwa reaction ya Kopa na mdogo wako😃
Tatizo lake Tresor Mandala majibu yake yanavunja moyo sana,,Utasikia anacheka "ha haaa haa,karibu!ila TM utakuja kuniua mimiKaka tafadhari binti wa watu yupo in love with you please mpokee ndani ya moyo wako Joannah
Njoo dear amefika crush wako
Tutachelewa kufika,tujitahidi kukaza mwendo mzee mwenzangu 😘😅Sie watu wazima, tunaenda mdg mdg
Hahahaha,sisi tushafika ila haya mambo Yao ya vijana, wakitukosa wasishtukeTutachelewa kufika,tujitahidi kukaza mwendo mzee mwenzangu 😘😅
Kipendacho roho mahi mie nisingeweza 🤣🤣 napenda love language ♥️Tatizo lake Tresor Mandala majibu yake yanavunja moyo sana,,Utasikia anacheka "ha haaa haa,karibu!ila TM utakuja kuniua mimi
Please Mamii, sorry 🙏🙏Tatizo lake Tresor Mandala majibu yake yanavunja moyo sana,,Utasikia anacheka "ha haaa haa,karibu!ila TM utakuja kuniua mimi
We mimi nishamzoe kwa makavu live yake,ila ndio nampenda sasa😅Kipendacho roho mahi mie nisingeweza 🤣🤣 napenda love language ♥️
DahKipendacho roho mahi mie nisingeweza 🤣🤣 napenda love language ♥️
Kumbe unaweza ebooo🤣Please Mamii, sorry 🙏🙏
😂 😆 😂 Asante kwa kushiriki , hiyo nimeipiga cave inaitwa maendeleo hayana chama ila wewe umeanzisha kitu kipya hapa
NisameheWe mimi nishamzoe kwa makavu live yake,ila ndio nampenda sasa😅
Ha haaa leo umejitahidi mywangu,ungeacha ningeomba msamaha mimiPlease Mamii, sorry 🙏🙏
Bismillah MashaAllah 😍We mimi nishamzoe kwa makavu live yake,ila ndio nampenda sasa😅
HahahahaKumbe unaweza ebooo🤣
Sawa najitahidiBismillah MashaAllah 😍
Nimekupenda bure nenda nae taratibu tu
Hahahaha, usijariHa haaa leo umejitahidi mywangu,ungeacha ningeomba msamaha mimi
My boo,my boo × 2, wewe ni Wangu mamaaaSawa najitahidi
Duuh@Tlaatlaah hapa kwa wale wapenda siasa mnisamehe kidogo yeye anajua zaidi🐒