Comparing: Lowassa vs Pinda

Comparing: Lowassa vs Pinda

Tunaweza kumjadili kama atafanya yaliyofanywa na Tajiri Zakayo:-

1. Agawe nusu ya mali zake zote kwa maskini (Lowassa anasadikiwa kuwa na more than 50b.)
2. Kama Aliiba mali yoyote ya Umma alipe mara mbili zaidi.

Kisha aje kwetu atubu then tunaweza kumfikiria kuanzia hapo.

Kweli kabisa ikiwezekana abatizwe upya!! Akiyaweza hayo atafaa kuwa kiongozi kwa ngazi yoyote ile!
 
Wote takataka tu. Chombo kichafu hakitoi chakula safi. Lowassa kwa aliyoyafanya hasafishiki kupitia JAMII FORUM.

ooh,kweli kabisa hasafishiki mtu gani unakua tajiri ivo,hamna bana kwani sisi tuna nini naye ana nini hamna bana lazima tuzigawane tu fulstop afu huyu mwingine anakua masikini to the point of nausea.miaka yote hiyo kwenye system bado maskini wa kutupa hatufai hawaoni wajasilimali wengine kama mkapa walivomake yeye anakalia kwenda kupalilia maharagwe kwao rukwa ,huyu bana SIO CREATIVE,kazi kusalisali tu.
Hahaha,am mad today
 
tuko boti moja!naona hoja hapa ni yupi bora kati ya mwizi mchapakazi lowassa na mpole mdhaifu pinda..mie kwa upande wangu ni bora mpole mdhaifu pinda!

unaakili ya kuchanganua mambo: Nakubaliana kwa wawili hao,' bora mdhaifu mpole pinda'
 
unaakili ya kuchanganua mambo: Nakubaliana kwa wawili hao,' bora mdhaifu mpole pinda'

Mdhaifu mpole...atafanya wengi wasiogope kuiba...kwa hiyo tutapoteza zaidi kuliko mkali mwizi..ataiba peke yake/ na genge lake>>>>lakini kwa kifupi wote hawafai!!!
 
Kuna vitu viwili inabidi tuvitenganishe. Kuna swala la ufisadi na uchapaji kazi.. Kwa upande wangu naona Lowasa ni bora mara dufu ya Pinda kwan hata kama alikumbana na kashfa ya ufisadi alikua mchapakazi hodari asiyemwogopa mtu. hivyo ni rahisi kwake kuokoa rasisimali za taifa
Kuhusu pinda huyu bwana dhaifu kuliko maelezo kwani hasara nchi inayopata kutokana na upole wake ni bora ya ufisadi wa mtu mmoja. anaongea bila utendaji. hebu tujiulize kipindi chote toka MP pinda amekaa madarakan amefanya nini? he did nothing
 
Kuna vitu viwili inabidi tuvitenganishe. Kuna swala la ufisadi na uchapaji kazi.. Kwa upande wangu naona Lowasa ni bora mara dufu ya Pinda kwan hata kama alikumbana na kashfa ya ufisadi alikua mchapakazi hodari asiyemwogopa mtu. hivyo ni rahisi kwake kuokoa rasisimali za taifa
Kuhusu pinda huyu bwana dhaifu kuliko maelezo kwani hasara nchi inayopata kutokana na upole wake ni bora ya ufisadi wa mtu mmoja. anaongea bila utendaji. hebu tujiulize kipindi chote toka MP pinda amekaa madarakan amefanya nini? he did nothing
you have spoken my mind,nchi itapoteza mamilioni kwa Pinda kuliko kwa LOWASSA.
 
Tunapoteza muda, Mwizi na mnafiki wote hawafai. Pinda kapinda haaminiki hana msimamo. Lowasa mbambe mwizi wala uchapa kazi wake haukuonyesha ndege ya Uchumi kupaa hivo naye hafai.
 
Kati ya hawa wawili nana kaonyesha uchapakazi katika kazi zao kama mawaziri wakuu?
 
Wana jamvi, nimekua nikifuatilia kwa muda utendaji wa Waziri wetu Mkuu wa Sasa Mhe. Pinda tangu aingie ofisini baada ya Mhe. EL kujiuzulu kwa kashfa ya Richmond. Nimegundua udhaifu mkubwa Pinda alionao kwamba anashindwa kabisa kufanya maamuzi magumu kwa wakati sahihi, namuona kama ni "yes man" tofauti na mtangulizi wake ambaye pamoja na mapungufu yake mengine ya kujilimbikizia mali na tuhuma za ufisadi, alikua very strong ktk maamuzi. Naweza kusema alikua strong kuliko jk mwenyewe. Tuliye naye sasa amekalia kulalamika tu pasipo kufanya maamuzi yoyote kiasi kwamba mawaziri kila mmoja anazungumza lake kama kondoo wasio na mchungaji. Pinda anashindwa hata kufanya jambo dogo tu la kupiga marufuku ununuzi wa magari ya bei mbaya ambayo ni mzigo kwa serikali na taifa, anabaki kulalamika tu.
 
Mbona linajulikana mkuu? Lowassa ni kifaa pinda amepinda hana uwezo wowote muoga pia ni mtu wa kujipendekeza pendekeza tu.
bora Lowassa
 
Hata mimi nakubali, kukaa kwa hurumahuruma tu hatudanganyiki. M V 8 bado yanaingia kwa wingi. Halafu ile hutuba yake kuhusu mauaji ya Arusha vipi? Nyamongo ndio kabisa, yaani heri Lowasa. lakini bado kipimo ni Moringe.:confused2:
 
Ukiwa na dhambi siku zote lazima ujifiche.
 
Moringe ni next level kaka, bado hatujampata hata wa kumkaribia.
 
magamba hakuna kiongozi wote ni mazezeta, kama sio fisadi basi atakuwa anawaogopa mafisadi, wote wezi pumbavu, magamba hata mumuweke nani 2011 kazi mnayo, na sasa mna kazi ya kuiba kura nyingi kuliko mlizoiba 2010. Ila naona mmeanza kamatakamata mapema sana, poleni magamba
 
pamoja na maufisadi yake ya hali ya juu EL bado yuko juu sana ukilinganisha na mizegwe wa peter
 
Pinda anashindwa hata kufanya jambo dogo tu la kupiga marufuku ununuzi wa magari ya bei mbaya ambayo ni mzigo kwa serikali na taifa, anabaki kulalamika tu.
Acha la ununuzi wa magari maana lina cheni kubwa sana kuliko unavyo weza kufikiria lakini kuna swala la kuitisha uchangu upya wa meya wa Arusha swala ambalo liko chini yake, ameshindwa amebaki kulindanganya taifa na kulia lia hovyo....
 
Back
Top Bottom