Chanazi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2010
- 212
- 71
Hivi Watanzania tukiacha Ushabiki wa Siasa na Kuangalia Utendaji wa kazi na Uwajibikaji.. Pinda ana nini cha kujivunia katika miaka yake yoote alio kua waziri mkuu??
Ukiniuliza kumhusu Lowassa pamoja na ubaya wake lakini alituletea shule za kata, watoto wa wakulima tunasoma, aliwatimua ma DC na Wakandarasi wazembe, Mfano mkandarasi wa barabara ya Shekilango.. Sasa haya machache yana jirudia kwenye kichwa changu... Lakin kila nikijaribu kusaka Jitihada za Pinda sizipati..
Emu wadau Nisaidieni lipi jema Pinda kafanya kumzidi Lowassa kwenye Kazi??
N.B
Ukiondoa issue ya tuhuma ya wizi!!
Ukiniuliza kumhusu Lowassa pamoja na ubaya wake lakini alituletea shule za kata, watoto wa wakulima tunasoma, aliwatimua ma DC na Wakandarasi wazembe, Mfano mkandarasi wa barabara ya Shekilango.. Sasa haya machache yana jirudia kwenye kichwa changu... Lakin kila nikijaribu kusaka Jitihada za Pinda sizipati..
Emu wadau Nisaidieni lipi jema Pinda kafanya kumzidi Lowassa kwenye Kazi??
N.B
Ukiondoa issue ya tuhuma ya wizi!!