Comparing: Lowassa vs Pinda

Comparing: Lowassa vs Pinda

ukitazama kwa kina nchi hii imefunikwa na wingu lisislojulikana.
staki kuamini kwamba pinda ma lowasa hawaoni haya, wala sitak kuamin kwamba nchi imewashinda ila naamin wanataka kutuonyesha kwamba kikilika basi wao watasepa na watoto wao sie maskini tutakufa kama mbu.
 
Pinda hmna kitu, tena ngoja nikae kimya maana anaeza kuanza kulia sasa hivi..
 
Japo mimi siyo mshabiki wa hao mawaziri wakuu wote ila kwa hapa itabidi nimtetee Pinda kidogo. Siyo kwamba siyo dhaifu lakini nadhani unapo mlinganisha Pinda na Lowasa kuna vitu lazima uelewe na utajua kwa nini Lowasa walau alikua ana sauti zaidi kiutendaji.

1. Lowasa ni rafiki na Kikwete tena tokea zamani. Kama Lowasa alivyo sema wakati fulani kuwa yeye na Kikwete "hatukutana barabarani. Hivyo basi urafiki huo wa muda mrefu wa Lowasa na Kikwete ungeweza kumpa sauti zaidi kwenye serikali.

2. Pesa za Lowasa ndizo zilizo gharamia kampeni ya Kikwete. Money is power. Ni dhahiri mtu alie kusaidia kwa kiasi kikubwa kupata uraisi atakua na nguvu kubwa kuliko mtu ambae hakukusaidia.

3. Pinda uwaziri mkuu ni wa kibahati na hii ndiyo sababu kubwa ya yeye kukosa nguvu. Mtu ambae kapata uwaziri mkuu kwa sababu ya nguvu ya kisiasa (political capital) lazima awe na sauti kubwa kuliko mtu aliezawadiwa cheo. Pinda haku pigania uwaziri mkuu umemuangukia. Kwa hiyo ni mtu tokea mwanzo ambae alikua hana nguvu kisiasa.

Kwa hiyo wakuu Pinda asingeweza kuja kuwa na nguvu ya kisiasa. He is not ambitious enough na ndiyo maana hata sasa ambapo kasha kuwa waziri mkuu kwa miaka kadhaa wala haja jijenga kisiasa. Ni mtu ambae alikua kasha ridhika na ubunge ikatokea tu hii bahati.
 
hamna kipindi kibaya cha uongozi kama awamu ya pili serikalini kwa sababu viongozi wengi akiwemo rais anajua hii ni awamu yangu ya mwisho so wacha niibe nipange future yangu na familia yangu vizuri kabla mda haujafika...unafikiri watakua na muda na wananchi? sasa JK yuko bize anatengeneza mikataba ya madini,gas na mafuta anajipanga vizuri ili akiondoka ajue yeye wanawe na ukoo mzima uko vizuri mpaka wanakufa, ongeeni, piganeni, raruaneni yeye hajali anaangalia chake sasa hivi...
 
Japo mimi siyo mshabiki wa hao mawaziri wakuu wote ila kwa hapa itabidi nimtetee Pinda kidogo. Siyo kwamba siyo dhaifu lakini nadhani unapo mlinganisha Pinda na Lowasa kuna vitu lazima uelewe na utajua kwa nini Lowasa walau alikua ana sauti zaidi kiutendaji.

1. Lowasa ni rafiki na Kikwete tena tokea zamani. Kama Lowasa alivyo sema wakati fulani kuwa yeye na Kikwete "hatukutana barabarani. Hivyo basi urafiki huo wa muda mrefu wa Lowasa na Kikwete ungeweza kumpa sauti zaidi kwenye serikali.

2. Pesa za Lowasa ndizo zilizo gharamia kampeni ya Kikwete. Money is power. Ni dhahiri mtu alie kusaidia kwa kiasi kikubwa kupata uraisi atakua na nguvu kubwa kuliko mtu ambae hakukusaidia.

3. Pinda uwaziri mkuu ni wa kibahati na hii ndiyo sababu kubwa ya yeye kukosa nguvu. Mtu ambae kapata uwaziri mkuu kwa sababu ya nguvu ya kisiasa (political capital) lazima awe na sauti kubwa kuliko mtu aliezawadiwa cheo. Pinda haku pigania uwaziri mkuu umemuangukia. Kwa hiyo ni mtu tokea mwanzo ambae alikua hana nguvu kisiasa.

Kwa hiyo wakuu Pinda asingeweza kuja kuwa na nguvu ya kisiasa. He is not ambitious enough na ndiyo maana hata sasa ambapo kasha kuwa waziri mkuu kwa miaka kadhaa wala haja jijenga kisiasa. Ni mtu ambae alikua kasha ridhika na ubunge ikatokea tu hii bahati.
Nakubaliana na wewe. Pia huyo Paschal anapomlalamikia Pinda kuwa kimya sijui nia yake ni ipi kwani katika matukio yote ya makanisa kuchomwa moto, kifo cha RPC, etc. M.k.w.e.r.e alishayatolea matamko kabla ya kusepa zake Oman kwa Waislamu wenzie. Sasa Pinda angetoa tamko gani tena ambalo lingemfariji Paschal zaidi ya matamko ya Bosi wake? Ikumbukwe kuwa, huu Utatu Mtakafujo, M.k.w.e.r.e, Majengo Yaliyo Pinda na Dr. Balaa Hili, ooh sorry Bila Lile, oooops Bilal, wanapeana zamu kukaa hapa nchini. Ukiona M.k.w.e.r.e anatoa matamko ujue Majengo Yaliyopinda yuko saloon UK. Ukiona Mkata Utepe kazindua mradi ujue M.k.w.e.r.e yuko kwenye lori la Farasi Canada. Wameamua hivyo kwani wakibaki wote hapa nchini mwishowe wataingiliana majukumu ndio maana wameamua kugawana zamu za kuwa "Kiongozi wa Shughuli za Serikali". Chezea Kocha M.k.w.e.re. na Timu yake? Haijawahi ku-draw, kila mechi na kushindwa tu!
 
Japo mimi siyo mshabiki wa hao mawaziri wakuu wote ila kwa hapa itabidi nimtetee Pinda kidogo. Siyo kwamba siyo dhaifu lakini nadhani unapo mlinganisha Pinda na Lowasa kuna vitu lazima uelewe na utajua kwa nini Lowasa walau alikua ana sauti zaidi kiutendaji.

1. Lowasa ni rafiki na Kikwete tena tokea zamani. Kama Lowasa alivyo sema wakati fulani kuwa yeye na Kikwete "hatukutana barabarani. Hivyo basi urafiki huo wa muda mrefu wa Lowasa na Kikwete ungeweza kumpa sauti zaidi kwenye serikali.

2. Pesa za Lowasa ndizo zilizo gharamia kampeni ya Kikwete. Money is power. Ni dhahiri mtu alie kusaidia kwa kiasi kikubwa kupata uraisi atakua na nguvu kubwa kuliko mtu ambae hakukusaidia.

3. Pinda uwaziri mkuu ni wa kibahati na hii ndiyo sababu kubwa ya yeye kukosa nguvu. Mtu ambae kapata uwaziri mkuu kwa sababu ya nguvu ya kisiasa (political capital) lazima awe na sauti kubwa kuliko mtu aliezawadiwa cheo. Pinda haku pigania uwaziri mkuu umemuangukia. Kwa hiyo ni mtu tokea mwanzo ambae alikua hana nguvu kisiasa.

Kwa hiyo wakuu Pinda asingeweza kuja kuwa na nguvu ya kisiasa. He is not ambitious enough na ndiyo maana hata sasa ambapo kasha kuwa waziri mkuu kwa miaka kadhaa wala haja jijenga kisiasa. Ni mtu ambae alikua kasha ridhika na ubunge ikatokea tu hii bahati.


Mkuu point zako zina nguvu na zina ukweli japokuwa ni kweli-nusu
 
Nakubaliana na wewe. Pia huyo Paschal anapomlalamikia Pinda kuwa kimya sijui nia yake ni ipi kwani katika matukio yote ya makanisa kuchomwa moto, kifo cha RPC, etc. M.k.w.e.r.e alishayatolea matamko kabla ya kusepa zake Oman kwa Waislamu wenzie. Sasa Pinda angetoa tamko gani tena ambalo lingemfariji Paschal zaidi ya matamko ya Bosi wake? Ikumbukwe kuwa, huu Utatu Mtakafujo, M.k.w.e.r.e, Majengo Yaliyo Pinda na Dr. Balaa Hili, ooh sorry Bila Lile, oooops Bilal, wanapeana zamu kukaa hapa nchini. Ukiona M.k.w.e.r.e anatoa matamko ujue Majengo Yaliyopinda yuko saloon UK. Ukiona Mkata Utepe kazindua mradi ujue M.k.w.e.r.e yuko kwenye lori la Farasi Canada. Wameamua hivyo kwani wakibaki wote hapa nchini mwishowe wataingiliana majukumu ndio maana wameamua kugawana zamu za kuwa "Kiongozi wa Shughuli za Serikali". Chezea Kocha M.k.w.e.re. na Timu yake? Haijawahi ku-draw, kila mechi na kushindwa tu!

Mkuu umeongea point nzito sana - kwamba hatuna mtawala wa nchi sasa hivi. Ni yoyote tu tegemeana na wakati na tukio. Bora Liende Liwalo na Liwe
 
Once Fisadi always Fisadi..... heri ya hiyo mizengwe uliyopinda!

wenzako wanalipwa ghali kumsafisha FISADI LOWASA, lakini hata wamwagie tindikali hatakati.
 
hivi wewe unafikiri tz wanashindwa kuwalipa waalimu hadi kule vijijini? Unafikiri wanashindwa kuwapeleka waalimu kule kwenye shule vijijini? Wanaweza, ni uamuzi tu. Ninachoafiki kwa huyo jamaa hapo juu ni kwamba, lowasa alijenga shule sana, in the process kwamba angeleta waalimu, akaachia ngazi, sasa waliochukua ngazi ndo wanatakiwa wapeleke waalimu kule. Kupeleka waalimu kwenye shule kule vijijini kwetu, hawaendi na magari, wanaenda kwa mshahara mzuri unaolipwa promptly...wakilipa mshahara mzuri ,watu wataenda hata kama kijiji cha mwisho, maadamu inalipa. Selikali inazo hizo hela, ila imeshindwa kuzipangilia tu. Wakenya na waganda ndo wanazidi kupiga bao tu, sisi tunashangaa mashule matupu wakati wajinga wamejaa mtaani hawaendi kusoma..
nawe ukamwona huyo fisadi mwandamizi kuwa ndo awezaye kuleta mabadiliko chanya? Watu sikui wana akili gani, jitu limesha waibieni tena zaidi ya mara moja lakini mnazidi kukomaa nalo tu, fikirienni hata walioko nje ya siasa tupo zaidi ya milion 40 bana, bai the wei tanesco wamelipa tozo la dowan kama mahakama ilivo amua? Madeni ya asili hizi yanatuhusu sote na tuache ujinga!!!!!!!
 
ni wazi kuwa LOwasa ni zaidi ya pinda Lowasa kila aliyechin enzi hizo alionja shughuli yake huyu bwana kash:becky:indwa kusuh bei sukali lowasa tatizo ni yaliyomkuta enzi hizo watanzania wanajua uwezo wake wa kusimamia kazi
 
zaidi ni EL, pinda hana cha kupoteza ameisha sema hagombei tena ubunge .pension ya uwaziri mkuu inamtosha. kuna wastaafu wengi serikalini ambao wameongezewa mkataba wa ajira huku wakiwa wamelipwa mafao yao yote.utendaji wao huwa si wenye tija hawana cha kupoteza hawafikirii kupandishwa vyeo hivyo huwa watu hatari kwa taifa , MH PINDA hana kiu tena ya madaraka anashukuru kupata uwaziri mkuu wenye marupurupu kibao.tuwaangalie wastaafu wenye mikataba kwa jicho la tatu.
 
Mie sitaki kuongea ila nakumbuka pinda mara baada tuu ya kuchaguliwa kuwa PM ktk hotubayake alisema hawezi kuvaa kiatu cha Lowasa.
 
Inastaajibasha kuona kuwa
Waziri Mkuu Mizengo Pinda hakutoa kauli yoyote
wakati huu ambao taifa linapita katika majaribu magumu Kama Kuuliwa
kwa RPC wa Mkoa wa Mwanza, Kuchomwa kwa makanisa huko mbagala, kupigwa
bomu kwa Katibu wa BAKWATA Arusha, Kutangazwa kwa baa la Njaa Mkoa wa
Tanga nk! Taifa linapitia wakati Mgumu na kibaya zaidi ni kuwa Serikali
imekuwa kama haina Waziri Mkuu. Amani imetoweka. Hofu katika mioyo ya
wananchi imetamalaki. Wananchi wanaishi katika wasiwasi mkubwa huku
kanisa likilia machozi! Kwa tishio kubwa kwa
amani ya nchi kama hili waziri mkuu kuwa kimya na kuonekana kama hayupo
haliwezi kunyamaziwa hata kidogo!


Msomaji mmoja kutoka Njiro, Arusha akaniandikia, alisema “Umesema
kweli mwalimu mkuu wa watu, Pinda siyo kama hayupo ni hayupo kabisaa!
Mimi naona serikali yote haipo. Nchi imewashinda sasa wanyonge hatumwoni
wakumshika mkono! Pamoja na yote Edward Lowassa ndo waziri mkuu pekee
angalau alifanya kazi! Yaani haingii akilini mpaka sasa Pinda hajasema
chochote, ama ni mgonjwa wametuficha?”

Rais Kikwete, Pinda lazima aliliwe hata kama mbingu zitaanguka kwasababu
alipoteuliwa kuwa waziri mkuu aliwapa matumaini makubwa wananchi ingawa
yeye mwenyewe hakujua! Wananchi walijawa na matumaini makubwa kwasababu
Mizengo Pinda wakati hila za kutafuta madaraka zilipokuwa zikifanywa na
baadhi ya viongozi waliopo madarakani hivi sasa yeye hakuwa mmoja wao!
Hivyo wananchi walidhani angekuwa na nafasi nzuri ya kuwa upande wao kwa
maana wametelekezwa! Yeye hakuwa katika
majadiliano na wafanya vurugu wa sasa! Hawamdai kitu chochote. Kama vile
haitoshi, serikali imetangaza balaa la njaa! Ukimya huu wa mtendaji
mkuu ukiendelea unadhani nini kitatokea? Siyo kwakutaka kwetu bali
tunalazimishwa kukumbuka balaa la njaa lililopita.

Tulishuhudia Waziri mkuu Edward Lowassa alivyokuwa wakihaha nchi nzima
kuhakikisha maisha ya Watanzania hayapotei kwa sababu ya njaa. Nani
asiyekumbuka ziara ya Waziri mkuu Edward Lowassa kule Same? Njaa
imeshika kasi, wananchi wanataabika kwa njaa, mkurugenzi kakaa na
mahindi ya njaa
ofisini! Eti Same yote hakukuwa na mtu mwenye uwezo wa kuyasafirisha.
Mtu huyu hakuwa na kile wadhaifu wanaita maamuzi magumu. Aliamua mahindi
yagawiwe kwa wananchi akiwepo! Wakati wakuondoka kurudi Dar es salaam
akaondoka na mkurugenzi; kazi ya mkurugenzi ikawa imeisha.

Mwangwi wake ukaenea katika masikio ya wakurugenzi wote nchi nzima! Nani
ataichezea serikali kwa kuwatesa wananchi? Kungekuwa na ukimya kama huu
kule Same wangekufa wananchi wangapi?
Lazima Waziri mkuu atokeze aseme na wananchi wanaoishi kwa wasiwasi
katika nchi yao. Atokeze awajibu Maaskofu wanaolia! Asimame akemee
ugaidi huu! Maaskofu wanahoji, “Watu hawa wavamie nini ndipo hatua
zichukuliwe? Wachome nini ndipo viongozi wenye dhamana ya kulinda mali
na uhai washtuke? Wamuue nani ndipo iaminike kuwa watu hawa ni tishio
kwa usalama wa Taifa letu?” Ni nini hiki wanachosema Maaskofu kuwa,
“Katika mateso haya kanisa litaimarika zaidi; na katika majivu haya ya
Mbagala Tanzania mpya itazaliwa na ukombozi wa kweli utapatikana?”


Labda Pinda anakuiga wewe Rais ulieahirisha safari ya kwenda nje
kutokana na kifo cha mwigizaji wa michezo huku ukitoa ubani wa milioni
kumi halafu ukaenda Oman wakati mauti yamemfika Kamanda wa Polisi wa
mkoa wa Mwanza, Liberatus Barlow? Au Labda ni Utamaduni wa
Serikali yote ya awamu ya nne- Serikali ya Tanzani ni Muungano wa Visiwa
Vya Zanzibar na Zimbabwe



PASCHALLY MAYEGA: KIPANDE CHA MAKALA GAZETI LA TANZANIA DAIMA
10-24-2012
TEL 0713334239

anampigia debe 2015
 
Unajua mkuu mimi swali hili najiuliza kila siku,kwani magufuli amemkosea nini kikwete au ni kwa sababu yuko karibu sana na che Nkapa,au inawezekana hayumo katika mtandao!Maana naona kikwete amezamilia kabisa kumpoteza,lakini mie kila siku nasema kipaji hata siku moja akipotei.Si mnaona kampeleka uvuvi kumechangamka,najua ataipa jina wizara ya uvuvi mwisho wa siku watamnyang'anya,lets wait and see.pamoja na mapungufu yake,jamaa anafaa kuwa kiongozi wa watu.

"... naona kikwete
amezamilia kabisa
kumpoteza,lakini mie kila
siku nasema kipaji hata
siku moja akipotei"

Nimekukubali mzee kula gwala
 
Back
Top Bottom