Comparing: Lowassa vs Pinda

Comparing: Lowassa vs Pinda

ni kweli asee bora tumrudishe el manake nchi ipwaya imagine tungekuwa wapi mpaka muda huu
 
Hata mimi nakubali, kukaa kwa hurumahuruma tu hatudanganyiki. M V 8 bado yanaingia kwa wingi. Halafu ile hutuba yake kuhusu mauaji ya Arusha vipi? Nyamongo ndio kabisa, yaani heri Lowasa. lakini bado kipimo ni Moringe.:confused2:
anaongopa asije akalidanganya taifa tena akashushuka...
 
sijakuelewa...

Atakuwa alikuwa anaamanisha Agenda ni 2015. hata mimi thread za Lowasa zimenichosha. the truth ni kwamba Lowasa is over, asiyekubaliana na ukweli huu basi ana matatizo, by the way Watanzania tupo zaidi ya millioni 40 why Lowasa kila siku?
 
ni kweli asee bora tumrudishe el manake nchi ipwaya imagine tungekuwa wapi mpaka muda huu
Dawa ya Jino ni kuong'oa kabisa....Dawa ya matatizo yetu tanzania ni kuingoa CCM lakini ukisema towa huyu weka huyo haita saidia tunatakiwa tuwe kama marekani ukiwazingua wanakuweka pembeni wanampa nafasi mwingine nae akifanya madudu anakaa pembeni sasa wewe njitu limekaa miaka 50 hakuna cha maana ni porojo....shenzi kambisa
 
Atakuwa alikuwa anaamanisha Agenda ni 2015. hata mimi thread za Lowasa zimenichosha. the truth ni kwamba Lowasa is over, asiyekubaliana na ukweli huu basi ana matatizo, by the way Watanzania tupo zaidi ya millioni 40 why Lowasa kila siku?
Kidude cha Thanks sikioni, chukua THANKS
 
Tatizo nyie wote hamumuelewi Pinda, jamaa ana busara sana na anajua fika kwamba sera za CCM hazitekelezeki na mawazo yake kama mtoto wa mkulima hayana nafasi kwa serikali anayoiongoza - ndiyo maana mnamuona as if yupo hayupo.

Hawezi kuachia ngazi au kujitoa CCM - kaamua kwenda kwenda hivyo hivyo kumaliza ngwe yake. Kifupi sera cha CHADEMA anazikubali na anaamini ndizo zinalenga kumkomboa mtanzania maskini.


Lowassa ni dikteta aka Mbinafsi.

nafikiri nimeeleweka wakuu - swali lingine?
 
Wana jamvi, nimekua nikifuatilia kwa muda utendaji wa Waziri wetu Mkuu wa Sasa Mhe. Pinda tangu aingie ofisini baada ya Mhe. EL kujiuzulu kwa kashfa ya Richmond. Nimegundua udhaifu mkubwa Pinda alionao kwamba anashindwa kabisa kufanya maamuzi magumu kwa wakati sahihi, namuona kama ni "yes man" tofauti na mtangulizi wake ambaye pamoja na mapungufu yake mengine ya kujilimbikizia mali na tuhuma za ufisadi, alikua very strong ktk maamuzi. Naweza kusema alikua strong kuliko jk mwenyewe. Tuliye naye sasa amekalia kulalamika tu pasipo kufanya maamuzi yoyote kiasi kwamba mawaziri kila mmoja anazungumza lake kama kondoo wasio na mchungaji. Pinda anashindwa hata kufanya jambo dogo tu la kupiga marufuku ununuzi wa magari ya bei mbaya ambayo ni mzigo kwa serikali na taifa, anabaki kulalamika tu.

Watu mnachekesha mnadhani watu wote wanapenda sifa za kutangazwa magazetini na na kwenye TV na kusikika wakifoka foka. Tena viongozi wanaokuwa hivyo ndo wasaniii

Unajua maagizo mangapi Pinda kayazuia au kuagiza yafanyike. The only thing Lowassa anamzidi pinda ni kutumia media.

Pinda ni profeesional tatizo lake ni professional aliyezungukwa na mafisadi. ten wengine wanamzidi authority. anchoshindwa Pinda hawezi kufanya "maigizo"

Sasa ukimsifia Lowassa kuwa ni zadi ya Pinda ujue unapenda maigizo. Maigizo ya kwenye media ya Lowasa na what he was actually doing behind the scene ni vitu viwili tofauti
 
Hakuna 'BORA' hapo wote ni vituko vitupu, sema pinda ni kituko zaidi ya Lowassa.
 
Pinda ni mnafiunika sana hana tofauti na mwarabu,funika kombe mwana haramu apite ndiyo mambo yake
 
sio siri simfagilii kabisa Lowassa lakini naona kama mtazamo wangu wabadilika kweli Lowassa aliogopeka mzigo alipiga fresh na hela aliiba sasa sijui tuangalie lipi...kumpa chance tena mmmm sijui mie ila huyu pinda angepiga mzigo nusu ya Lowassa basi tungekua mbali
 
Kiukwel 2nahitaji mtu mchapakaz na mwadilifu. Lowasa alikuwa mchapakazi wa ukwel nja kila alikopita watu walifanya kazi kwelikwel lakin, Richmond ikamuharibia sifa zake zote. So kiukweli katika upande wa uchapakazi kwangu mimi Lowasa is the best. But tukija upande wa pili yaani kwa ndugu yangu PINDA, mimi naona hamna alichokifanya zaidi ya kukaa na kujisifia kuwa yeye ni "mtoto wa mkulima", sisi hatuhitaji Mtoto wa mkulima tunahitaji mchapakazi, tukumbuke ni mara ngap enzi za Lowasa kapita maeneo mbalimbal kukuta matatizo na kuyashughulikia lakin bwana mkubwa Pinda maeneo mengi akipita amekuwa na kigugumiz na kitu kingine kuwa jamaa amekuwa mnafiki kwasabab jamaa alikataa kutumia gar kwa mujibu ni la gharama mno lakin akampa mtu wa chini yake alitumie sas hapo kaepuka gharama gan? Hapo ndio nipokuja kuthibitisha kuwa jamaa hana maamuz angekuwa na maamuz asingekubar hilo gari litumike hata chini yake. Hitimisho: Pinda hafai si mtu wa kutoa maamuzi na pia hamna alilolifanya ambalo litanifanya nimkumbuke zaid ya moja tu nalo ni "mtoto wa mkulima". HUO NI MTAZAMO WANGU.
 
Aisee mimi kwa upande wangu namsifu Lowasa, kweli jamaa ni mpiga kazi na kweli Pinda haingii kwa jamaa kabisa na unajua tena kizuri huwa hakikosi kasoro na hilo sakata la ufisadi lilipomwangukia limemtibulia kabisa na siasa inamambo yake, na nadhani alikuwa anafaa ktk hizi nafasi za chini kwani yeye ni mpambanaji, lkn huenda alikuwa anafanya kazi kwa bidii na kuwa mkali kwa wenzie kwa ajili ya kuficha maovu yake? Ila Pinda kama unapitia humu JF tafadhali unatakiwa uwe mkali bana siasa hatutaki waachie kina Nape na wenzie ww ni mtendaji mkuu.
 
Jaman,lets speak tha truth lowasa was tha best than Pinda.but l assure you that,not onl lowassa is gud. we have more patriotic leaderz but their coverd wth ver hard cover that not easy to see them.and if Lowassa agree 2day 2 repent b4 tanzanians l tel u 4 careful people wil bring him back to take his another turn.say whatever you say Lowassa was hard working man despite of hs behaviour
 
Lowasa na 100% more than pinda, alikuwa ni mchapakazi na mtendaji, huyu pinda yupo kwa ajili ya kupunguza jazba zetu, katu cwez mlinganisha na lowasa. Km ufisadi wote ni mafisadi, tofauti mmoja anaficha wkt mwingine tumeisha mjua!
 
Back
Top Bottom