Clouds Tigo Fiesta kukiwasha Taifa

Clouds Tigo Fiesta kukiwasha Taifa

Kwani kiingilio kua elfu 3 ndo ishara kua maskini wanaingia ?
Dah Wewe ni mpumbavu naomba ujipige kifuani uku ukisema mimi ni mjinga sana nimetumia pesa ya mlezi wangu vibaya ehee Mungu nihurumie

Mbona mna hasira sana?!
 
Clouds FM walishakataa msanii kutoka Nje ndio maana wakisema 100Tanzania, hata sasa hawapigi nyimbo zozote za nje Ya Tanzania hadi Fiesta ipite tarehe 8/12/2019 wakiwa na kauli 100Tanzania

So Kuhusu msanii kutoka nje ya Tanzania Hiloo Toeni vichwani Mwenu Litabaki kuwa La Wasafi!
Hii ndio mbinu ya kukwepa cost kwa kujitia uzalendo nnya 😂😂😂
 
Unazungumziaje zile nyimbo za mr nice kikuku , kikulacho na nyimbo za kiba hadith akuweka vitu vya kuimba watoto?

Acha uzwazwa utimu unakupeleka pabaya wamepeleka tarehe 12 mwezi ujao wakijua fika watapiga promo la mwezi mzima kujaza uwanja ila nakwambi ukweli tu ubunifu hakuna apo
Yani mtu atoe buku tatu ana mke na watoto wanataka wakae mahala pao wewe umchanganye na watu asiowapenda
Ukosefu wa ubunifu yaani hakuna VIP wala nini
Mbona mna hasira sana,kuna kitu kinawauma labda


Duniani kote hakuna show inaandaliwa bila promo..jielimishe dogo
 
Jamaa utumie akili sometimes,kwan unaangalia show kwanza ndo unalipa,au unalipa kwanza ndo unaangalia show!!???

Watu walilipa laki lakini walichokutana nacho ni ushubwada mtupu..ukiondoa wizkid na tiwa kuna msanii gani mwingine wa maana aliye-perform wasafi ambaye hawezi kufanya fiesta
Hata huyo wiz ambaye watu wengi waliingia kwa ajili yake alikomea kuperfom nyimbo 2 tu akaacha
 
Clooooooooooouds oyooooo wazee wa hizi kazi tarehe 8 uwanja lazima utapike
 
Davido amwombe msaada domo..we umelewa nini!!!..Davido anafanya makolabo na akina Chris breeze huko majuu jamaa yenu kakazana kukopi na kupesti,anafanya kolabo na wakongoman
Wakijibu hili nitag
 
Kusema ukweli tigo ndio walikuja kuharibu fiesta.

Fiesta ilikuwaga ile inayodhaminiwa na serengeti tu.
Sasa tangu tigo waingie hata msanii wa nje wameshindwa kuleta, wanaleta visingizio visivyo na msingi.
 
Wameamua kupeleka uwanja wa taifa! Je wamesahau kilichotokea mwaka elfu 2 pale taifa? Wamewasahau wahuni wa Temeke?
😂😂😂😂😂😂 wahuni wa keko na TMK wanapelekewa kitoweo.

ONYO: Mabishoo wote acheni hizo Iphone XR mahali mlipolipia kodi ya pango. Lawam hatutaki sisi, hapa kazi tu mwendo wa Ndolema!
 
Uwanja wa taifa yaani kwa mchina? Daah vile viti vitabaki salama kweli?
 
Tafuta naira Marley soapy

Kusample mziki ni kucopy na kupaste ?
S2kizzy alitoa maelezo ya ile bit kutika mbona muhisika ajaskika akilalamika?
Mondi si msanii wa kwanza kusample , tafuta wimbo wa KIba unaitwa Misspineapple au hadithi then usikie alisample nyimbonza kihindi wewe haujui mziki bali ni mshabiki na siwezi kushangaa ndo kizazi cha dot com 2000
 
Uwanja wa taifa yaani kwa mchina? Daah vile viti vitabaki salama kweli?
Clouds ubunifu ni zero kaka , sasa chukua mfano waki haribu viti na kwasababu ya vibe nyasi bandia ziharibike wanalipia cost ya kurekebisha sijui nani kawashauli asee wamembwela sana dogo domo kawapagawisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom