CIA walimuua Bob Marley?

CIA walimuua Bob Marley?

Malcom X ingawa familia ya malcom inaamini national islam(NI) ndio wamehusika kumuua, one member of NI john ally was undercover spy of FBI

Majuzi tu miaka ya karibuni Louis Farakhan, kiongozi wa sasa wa Nation of Islam (NI), alikiri mbele ya Binti wa Malcolm X kuwa maneno yake, yalichochea chuki baina ya wafuasi wa NI dhidi ya Malcolm X, ingawa yeye binafsi hakuhusika na mauaji hayo (You Tube Louis Farakhan na Binti wa Malcolm X). Lakini tunajua miaka hiyo, dola ya Marekani ilikuwa ikipambana na vuguvugu la Waamerika Weusi la kudai haki sawa za kiraia. Miaka hiyo Simba/Chui Weusi (Black Panther Party for Self Defence) ya akina Huey P Newton, Bobby Seale na kina Eldridge Cleaver ilikuwa kazini sana tu katika mitaa ya Oakland na kuwa tishio kwa mfumo mzima wa ukandamizaji wa haki za watu weusi Marekani. Katika mazingira hayo Malcolm X aliuawa, George Jackson pia akifia gerezani Soledad, Angela Davis akatiwa ndani na Martin Luther King akapigwa risasi. Unaweza kusema yalikuwa mauaji ya kisiasa. Unajua adui wenu atatumia matatizo yenu kuwamaliza yeye akikaa mbali. Kifupi, lilikuwepo shinikizo kubwa sana la kisiasa dhidi ya ustawi wa dola ya Marekani kwa ndani muongo huo. Lilikuwepo tatizo la vita vya Vietnam kupingwa kwa nguvu nchini, Muhammad Ali (Cassius Clay) akigoma kwenda kupigana huko, na kibaya zaidi Tommy Smith na mwanariadha mwenzake Mmarekani mweusi pia, wakipiga saluti ya "Nguvu ya mtu Mweusi" yaani Black Power, baada ya kupokea medali zao katika michezo ya Olimpiki huko Mexico mwaka 1968. Hilo liitokea huku bendera ya Marekani ikipandishwa na ulimwengu mzima ukiona. Jambo hilo lilileta hasira kuu kwa dola ya nchini mwao. Sasa katika mazingira ya jinsi hiyo Malcolm X (ama Abdul-Malik Al- Shabbaz) aliuawa na wengi wanaamini alikufa kwa sababu ya kupishana na wenziwe ndani ya jumuia ya NI. Yeye alipenda NI ijielekeze zaidi kwenye mrengo wa kidini wa Uislamu wa Mashariki ya kati (hususan Uislamu wa Sunni baada ya kwenda hija huko miaka michache kabla hajauliwa), ambapo viongozi wengine walitaka wadumishe desturi ya mwasisi wa imani yao huko Marekani, Elijah Muhammad.
 
Ukishakula vya wanaume halafu ukawageuka hayo ndo matokea yake. Mengine yote polojo tu.
Unaweza kuwa na point nzuri, jaribu kufunguka kidogo alikula nn na ilikuwaje
 
Unaweza kuwa na point nzuri, jaribu kufunguka kidogo alikula nn na ilikuwaje
Alifanya kama Kanumba vile, alijiunga na wale jamaa ili apate kick ya kutokea alivyo wageuka tu ndo wakafanya yao.
 
Alifanya kama Kanumba vile, alijiunga na wale jamaa ili apate kick ya kutokea alivyo wageuka tu ndo wakafanya yao.
Du, mkuu Hii ni habari ya kuifuatiria, kama unalink yoyote naomba unitumie
 
Mbona Kennedy hakujiunga na hao jamaa na alikula punch.......

Yeye anawakataa wakamtia tanuruni
 
James Brown (soul Brother No. 1) amefariki miaka ya hivi karibuni karne ya 21 muda mrefu tu baada ya kustaafu uimbaji kama ilivyo kwa Barry White. Hivyo kusema Brown aliuawa na "hao hao," inaweza isiwe sahihi. Bob Marley alikuwa mwanamapinduzi na nyimbo zake ziliashiria hilo. Marley alikuwa sauti ya wanyonge wa Carribean na weusi kwa jumla. Vuguvugu lao la "Rastafarian", halikusomeka vizuri katika siasa za miaka hiyo. Mtakumbuka Walter Rodney mwanamapinduzi toka Carribean (Mhadhiri UDSM miaka ya sitini kuingia sabini) mwana-Rastafari kutokana na kuvaa nywele zao, aliuwawa kwa kupigwa risasi kwa Guyana baada ya kujihusisha na siasa za huko. Kitabu chake "Jinsi Ulaya Ilivyodumaza Maendeleo ya Afrika", hakikuwavutia wakubwa wa magharibi. Ukiunganisha mzunguko huo wa akina Rodney, Marley na hapo nyuma George Padmore na Marcus Garvey na vuguvugu lao la "Turejee Afrika" unaweza ukakubali ya kwamba Marley aliuawa na wakoloni mambo leo na taasisi kaidi za zama hizo kama CIA kutokana na uanamapinduzi wake na mvuto mkubwa aliokuwa nao kwa vijana wanyonge weusi wa Jamaica na Afrika na Amerika ya Kusini.
We all know that Walter Rodney taught at the University of Dar es Salaam for a number of years before his sudden death in 1980. After his death to recognize his life and work, several academic institutions have been holding conferences/symposiums, inaugrating lecture series in his name, establishing awards of academic achievement, fellowship programs, filming documentaries etc. What has the University of Dar es Salaam done so far to commemorate the death of such a hero who left behind a matchless legacy? Pia kifo cha Rodney hakikutokana na kupigwa risasi bali alilipukiwa na bomb kwenye gari yake.
 
Alifanya kama Kanumba vile, alijiunga na wale jamaa ili apate kick ya kutokea alivyo wageuka tu ndo wakafanya yao.
We google tu why they killed Bob Marley , watu hawajui tu lakini hili liko wazi kabisa, ili u survive kwenye industry ya music kwa mda mrefu na kuwa successful lazima uwe mtu wao.
 
We google tu why they killed Bob Marley , watu hawajui tu lakini hili liko wazi kabisa, ili u survive kwenye industry ya music kwa mda mrefu na kuwa successful lazima uwe mtu wao.
Kwa nn waislamu wengi hawampendi Bob Marley?
 
Kwa nn waislamu wengi hawampendi Bob Marley?
Waislamu wa wapi hao maana kuna washikaji zangu wengi Waislamu ni wapenzi wa Bob Marley.
Sema now days kuna mashehk wanaendesha mihadhara kuhusu hawa jamaa sasa kupitia mashehk ndo wamegundua maneno mengi katika nyimbo za Bob ni za kumsifu shetani.
Ila watu hawajui tu na hili haliko kwa Bob tu lipo karibu kwa wanamuziki wote kwa sa babu karibia wanamuziki wote wapo huko.
 
Waislamu wa wapi hao maana kuna washikaji zangu wengi Waislamu ni wapenzi wa Bob Marley.
Sema now days kuna mashehk wanaendesha mihadhara kuhusu hawa jamaa sasa kupitia mashehk ndo wamegundua maneno mengi katika nyimbo za Bob ni za kumsifu shetani.
Ila watu hawajui tu na hili haliko kwa Bob tu lipo karibu kwa wanamuziki wote kwa sa babu karibia wanamuziki wote wapo huko.
Nilisikia habari kuwa Bob Marley alikua mpenzi wa taifa la Israel, na ktk nyimbo zake utasikia akitaja holy mount zion, Jerusalem etc, nikahisi huenda hii ndio sababu waislamu wengi kiukweli huwa Hawana mshawasha sana na Bob Marley, maana ulimwengu wa kiislam upo nyuma ya wa Palestina ktk mgogoro wa mashariki ya kati, hivyo yeyote anaeunga mkono Israel anakua kinyume na waislamu
Sina hakika na maneno haya sana
 
Nilisikia habari kuwa Bob Marley alikua mpenzi wa taifa la Israel, na ktk nyimbo zake utasikia akitaja holy mount zion, Jerusalem etc, nikahisi huenda hii ndio sababu waislamu wengi kiukweli huwa Hawana mshawasha sana na Bob Marley, maana ulimwengu wa kiislam upo nyuma ya wa Palestina ktk mgogoro wa mashariki ya kati, hivyo yeyote anaeunga mkono Israel anakua kinyume na waislamu
Sina hakika na maneno haya sana
Kama ni hivyo wasingekuwa wanakimbilia marekani na ulaya.

Kwanza jamaa alikuwa anaimba kwa mafumbo sana ili kuficha ya maneno ya kishetani yaliyopo karika wimbo kwa hiyo kwa haraka haraka huwezi pata maana halisi ya ujumbe uliopo kwenye wimbo.
Ila baada ya hii mihadhara nazani watu wanapata picha halisi.
 
Uncle Ben hivi ni kweli kuna uwezekano CIA kuhusika na kifo cha Bruce Lee?
Tatizo mkuu ni kwamba kuna conspiracy theories nyingi sana juu ya kifo cha Bruce Lee ,kiasi cha kwamba kujua ukweli wake ni tabu ,ndio maana wengi wanaishia kuhisi ni CIA lakini hakuna wa ku prove beyond reasonable doubt kwamba CIA wamehusika na kifo hicho
 
Back
Top Bottom