Afrocentric view
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,373
- 2,267
Kwema wakuu,
Nina mpango wa kurudi shule ukubwani. Nimemaliza degree ya engineering UDSM ila nataka nirudi nisome diploma ya afya.
Naomba kufahamishwa Chuo gani cha serikali (Kwa dodoma na Dar) kina hizi kozi (Clinical Medicine/Phamarcy) na maisha ya chuo sio kama ya sekondari?
Yani hakuna mambo ya fimbo, adhabu, kuhesabu namba na kula kwa namba?
Nina mpango wa kurudi shule ukubwani. Nimemaliza degree ya engineering UDSM ila nataka nirudi nisome diploma ya afya.
Naomba kufahamishwa Chuo gani cha serikali (Kwa dodoma na Dar) kina hizi kozi (Clinical Medicine/Phamarcy) na maisha ya chuo sio kama ya sekondari?
Yani hakuna mambo ya fimbo, adhabu, kuhesabu namba na kula kwa namba?