Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,469
- 17,581
Hizi ni akili gani hizi ?
Nyinyi ndio mna degree mpaka 17 zote za nini?Siyo kuvurugwa!MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO.Nilisoma Engineering nikamaliza lakini ghafla tu nikatamani kwenda medicine(Degree) nafurahia Sana kazi yangu
Mnapoteza muda sana, ni Bora ungesoma hata sheria au mambo ya kodi yakusaidie hata kuongea.Nilisoma Engineering nikamaliza nikaenda MD (Medicine doctor ) nikamaliza sikiliza Moyo wako.Naomba unipm uko serious ,sikiliza moyo wako hutojita
Unampoteza huyo ana frustration.Mkuu fanya unachotaka
Kuhusu chuo kama alivosema hapo jamaa juu vyuo ni UDOM na MUHAS
Binafs napajua UDOM pale diploma wanakula bata kama degree tu hakuna utofauti wowote
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Wengi sana waliniambia hivyo,sasa hivi mimi ndiye nawakopesha wakipata shida.Huwezi amini wewe ambaye hujapoteza muda naweza kukuzidi kila kitu .Mafaniko hayana mudaMnapoteza muda sana, ni Bora ungesoma hata sheria au mambo ya kodi yakusaidie hata kuongea.
KILA MTU ANANDOTO YAKE MASHAINI KUNA WATU PESA NDO KILA KITU ,LAKINI PIA KUNA WATU MOYO NA TAMAA YA MOYO WAKE NI KUSOMA.Nyinyi ndio mna degree mpaka 17 zote za nini?
HUWEZI KUJUA,MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO .USILAZIMISHE TUFANANE .Hizi ni akili gani hizi ?
Tanzania unaweza kuonekana hivyo.Bila shaka hili ni jambo kwako kulingana na mazingira yako.Uelewa wako unaweza kuhisi hivyoUnampoteza huyo ana frustration.
Roll call na mkaguo aka baba pakaYani hakuna mambo ya fimbo, adhabu, kuhesabu namba na kula kwa namba?
Wala sipingi mkuu inaonekana wewe ni miongoni mwa watu wasio na machaguo unafanya vitu kwa ushawishi au trend ya muda huo!KILA MTU ANANDOTO YAKE MASHAINI KUNA WATU PESA NDO KILA KITU ,LAKINI PIA KUNA WATU MOYO NA TAMAA YA MOYO WAKE NI KUSOMA.
I SECOND YOUKuna raia wanaulizwa swali hili, wao wanajibu mambo yao wanayoyajua wao...
Kama huna details kuwa msomaji tu, elimu huwa haina ukomo...
I SECOND YOU
NI USHAMBA WA KIMAZINGIRA UNATUSUMBUA WATANZANIA.MTU KUSOMA KOZI ZAIDI YA MOJA ATI ANAONEKANA KICHAA
Ha ha ha ..Una ushamba wa kimazingira,umefungwa na fikra .Sikulaumu inawezakana hata hujawahi kusoma nje ya nchiWala sipingi mkuu inaonekana wewe ni miongoni mwa watu wasio na machaguo unafanya vitu kwa ushawishi au trend ya muda huo!
Form six minimum E moja au D, Mfano mimi nilikua na Form six phy S chem D bio D na form four Phy C chem A bio B math Cna form six uwe na ufaulu upi?
Yah mkuu dirisha lipo wazi kwa sasa cha muhimu afanye application mapema maana competition ni kubwa.Aende UDOM au Muhimbili ila awe na vigezo sio vya kubahatisha.
Kuhusu vyuo vingine hakuna fimbo wala nini shida ukisoma vyuo hivyo ni kama upo advance isiyokua na viboko ila mengine yote sawa mnabanwa vibaya.
SIO KICHAA ILA UNAKUA HUJITAMBUII SECOND YOU
NI USHAMBA WA KIMAZINGIRA UNATUSUMBUA WATANZANIA.MTU KUSOMA KOZI ZAIDI YA MOJA ATI ANAONEKANA KICHAA
Hahahahah kwaiyo kusoma nje ndio kumekusaidia kurudi kusoma diploma?Ha ha ha ..Una ushamba wa kimazingira,umefungwa na fikra .Sikulaumu inawezakana hata hujawahi kusoma nje ya nchi