Nmeona ada m1.6 hii ni pamoja na malaz na chakula or?Chuo kipya nadhani kipo kwenye hospital ya Ben Mkapa
Hiv jmny kwan inaruhusika km mm nimechukua degree ya data scienc asa natak degree ya md ivi wanakubaliSiyo kuvurugwa!MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO.Nilisoma Engineering nikamaliza lakini ghafla tu nikatamani kwenda medicine(Degree) nafurahia Sana kazi yangu
Vigezo vyako tu. Hao wanaosema hivyo ujue form six walikuwa na pointi zinaruhusu MD .Kama huna PCB form six anzie Diploma in clinical medicine kufikia ndoto zakoHiv jmny kwan inaruhusika km mm nimechukua degree ya data scienc asa natak degree ya md ivi wanakubali
Ulisoma Pcb ndio ukaenda engineering halafu MD au kuna njia nyingne mkuuSiyo kuvurugwa!MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO.Nilisoma Engineering nikamaliza lakini ghafla tu nikatamani kwenda medicine(Degree) nafurahia Sana kazi yangu
YES I DID PCBUlisoma Pcb ndio ukaenda engineering halafu MD au kuna njia nyingne mkuu
Field za kozi ya biomedical huwa ni wap fafanua japo kidogoKwani mhandisi umekosa kabisa kazi au? Kwa sababu una background ya eng nakushauri ukasome Biomedical Engineering Diploma chuo cha DIT au Arusha Tech utapata kazi
Hospitali zote nchini, MSD, Wizara ya AfyaField za kozi ya biomedical huwa ni wap fafanua japo kidogo
Unamdanganya wenye bachelor ya laws wengi tu mtaani huku ....wengi sana.Nenda kapige bachelor ya laws.
Acha na hizo diploma
Nafikiri wewe ndiye mwenye matatizo ya ukosefu wa exposure za nchi , umeengalia mazingira ya Tanzania tu .Anacho kifikiria hakijawahi kuwa ajabu kwa nchi za zilizoendelea nikawaida kabisa. Lakini kwa kuwa wewe unachokifikiria ni hela tu utamuona wa tahiri asiye na akili.Hivi ni kweli ndugu yetu umemaliza degree ya hiyo kitu uliyotaja? Kama kweli umemaliza na hiki unachouliza basi kuna tatizo kubwa sana kwenye mfumo wetu wa Elimu kuanzia vidudu mpaka huko ulikomaliza degree yako