kiula-joshua
New Member
- Nov 10, 2023
- 1
- 2
Habari wana JF, rejea na kichwa cha habari hapo juu,
Mimi ni kijana 23(umri)nipo mkoa wa Kilimanjaro, nimemaliza Chuo mwaka Jana(2023), nimesoma kozi ya clinical medicine (afisa tabibu,clinical officer) katika ngazi ya Diploma, hivyo Basi nilikuwa naomba/ natafuta nafasi ya kujitolea iwe zahanati au kituo cha afya.
Nipo registered with valid practice license.
Simu: 0716733086/ 0734647031
Mimi ni kijana 23(umri)nipo mkoa wa Kilimanjaro, nimemaliza Chuo mwaka Jana(2023), nimesoma kozi ya clinical medicine (afisa tabibu,clinical officer) katika ngazi ya Diploma, hivyo Basi nilikuwa naomba/ natafuta nafasi ya kujitolea iwe zahanati au kituo cha afya.
Nipo registered with valid practice license.
Simu: 0716733086/ 0734647031