Chuo gani cha diploma cha serikali hakina mambo ya 'kisekondari'?

Hahahahah kwaiyo kusoma nje ndio kumekusaidia kurudi kusoma diploma?
Hahahahah kwaiyo kusoma nje ndio kumekusaidia kurudi kusoma diploma
ACHA USHAMBA WA ELIMU,, MIMI SIJASOMA DIPLOMA NIMESOMA DEGREE(MD) ,NIMEKWAMBIA UNAUSHMBA KWASABABU MAZINGIRA YAKO NIYA HAPPA HAPA TANZANIA,HUJAWAHI KUFIKA HATA KENYA UKAONA WNAVYO SOMA WITH MULTPROFESSIONAL NA HUWEZI KUSHINDANA NAO KWENYE HUMANITARIAN JOBS
 
Hahahahah kwaiyo kusoma nje ndio kumekusaidia kurudi kusoma diploma?
Hahahahah kwaiyo kusoma nje ndio kumekusaidia kurudi kusoma diploma
ACHA USHAMBA WA ELIMU,, MIMI SIJASOMA DIPLOMA NIMESOMA DEGREE(MD) ,NIMEKWAMBIA UNAUSHMBA KWASABABU MAZINGIRA YAKO NIYA HAPPA HAPA TANZANIA,HUJAWAHI KUFIKA HATA KENYA UKAONA WNAVYO SOMA WITH MULTPROFESSIONAL NA HUWEZI KUSHINDANA NAO KWENYE HUMANITARIAN JOBS
 
Hahahahah kwaiyo kusoma nje ndio kumekusaidia kurudi kusoma diploma?
Hahahahah kwaiyo kusoma nje ndio kumekusaidia kurudi kusoma diploma
ACHA USHAMBA WA ELIMU,, MIMI SIJASOMA DIPLOMA NIMESOMA DEGREE(MD) ,NIMEKWAMBIA UNAUSHMBA KWASABABU MAZINGIRA YAKO NIYA HAPPA HAPA TANZANIA,HUJAWAHI KUFIKA HATA KENYA UKAONA WNAVYO SOMA WITH MULTPROFESSIONAL NA HUWEZI KUSHINDANA NAO KWENYE HUMANITARIAN JOBS
 
Kwa dodoma kuna udom, pale diploma zao za afya zipo chini ya TCU na wanakuchagua endapo utakua na chet cha form six na form four. kozi zilizopo ni: Diploma in pharmacy , Diploma in medical laboratory technology na Diploma in nursing. Pale udom hakuna mambo ya kuvaa sare kama nacte pale unavaa kinyumbani kama unasoma degree
Vigezo kwa form four minimum uwe na C nne za Phy,chem,bio na math

Kwa muhimbili sijajua ila pia kuna kozi za diploma zipo chini ya TCU kama mionzi n.k
Chu cha diploma cha udom kinaitwaje??
Hapa nimeona kwenye system kwa dodoma kuna ''Benjamin Mkapa institue of health & allied science college'', na Dodoma institute of health and Allied science..Ni kipi kati ya hivyo??
 
HUWEZI KUJUA,MOYO WA MTU ULIPO NDIPO NA HAZINA YAKE ILIPO .USILAZIMISHE TUFANANE .
Nimekuelewa bro, lakini moyo wangu namba one upo kozi ya Astrophysics, namba mbili ni neuroscience namba tatu ndiyo medicine.
ila nimefuata namba 3 maana nchi tuliyopo unaijua
 
uliza daktari alieajiriwa kwenye polyclinic analipwa sh ngapi??
ila polyclinic zipo kibaaao...ukizinguliwa huku unaruka nyingine:D. plus unawezahauko limited to hospitals tu unaweza kuomba hata Health organizations eg. MSF,UNCHR,nk. nk.
 
ila polyclinic zipo kibaaao...ukizinguliwa huku unaruka nyingine:D. plus unawezahauko limited to hospitals tu unaweza kuomba hata Health organizations eg. MSF,UNCHR,nk. nk.
Acha kuwaza kimaskini rafiki. Hizo dispensali zinaingiza sh ngapi?? Kwa mwezi. Utaiba nini hapo. Kwanini unataka kutengeneza kizazi maskini maskini miaka, nenda rudi. Baba yake mmimiliki wa Facebook alikua dakitari, akamhimiza dogo asome kompyuta. Dogo ndio kaleta utajiri home. Achana na kozi za kimaskini. Think big. Ukishaajiriwa hospitalini then?????? Embu mrudie Mungu wako, uanze upya, umeshindwa hata kwenda ofisi za CCM na degree yako ya engineering
 
Nimekuelewa bro, lakini moyo wangu namba one upo kozi ya Astrophysics, namba mbili ni neuroscience namba tatu ndiyo medicine.
ila nimefuata namba 3 maana nchi tuliyopo unaijua
Kama una ufaulu mzuri wa Physics,Bios na Chemistry Omba Benjamin Mkapa usome Radiology hautojuta.

Zingatia kama una ufaulu ulioshiba
 
Jambo moja tu watu wanapaswa kuelewa..kama unakuja kusoma afya kwa lengo ya kuwa na mihela mingi basi huku utaishi kwa sonona sana,,ila kama utakuja ili utoe huduma na kuridhika unachopata karibu sana.
 
Back
Top Bottom