LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,121
- 27,128
Dunia sasa hivi imehamia kwenye ( computer technology) nataka nisome IT, chuo gani kizuri?
UCC au VETA? Kama ni ucc branch gani wapo vizuri? (Udsm au Posta?)
Nataka kwanza nisome kozi yupi fupi za IT then baada ya hapo ndo nitafikiri nisome certificate then Diploma.
Vitu vyangu vingi ( almost 90%) vinahitaji IT knowledge na Mimi nilisomaga course za ( Ngwine).
Wajuvi wa mambo naomba mnijulishe. Nataka nianze as soon as possible. Chuo gani wanapokea wanafunzi sasa hivi?
ADDITIONAL ADVANTAGE NIKIWA NASOMA: Nitakutana na vitoto vya miaka ya 2000. ( 2005-) so that one will be my allowance kwa muda wote nitakao kuwa anasoma.
UCC au VETA? Kama ni ucc branch gani wapo vizuri? (Udsm au Posta?)
Nataka kwanza nisome kozi yupi fupi za IT then baada ya hapo ndo nitafikiri nisome certificate then Diploma.
Vitu vyangu vingi ( almost 90%) vinahitaji IT knowledge na Mimi nilisomaga course za ( Ngwine).
Wajuvi wa mambo naomba mnijulishe. Nataka nianze as soon as possible. Chuo gani wanapokea wanafunzi sasa hivi?
ADDITIONAL ADVANTAGE NIKIWA NASOMA: Nitakutana na vitoto vya miaka ya 2000. ( 2005-) so that one will be my allowance kwa muda wote nitakao kuwa anasoma.