Mkapa sio mtupu... fikiria vizuri jamaa ni kichwa!! amepotoka kimaadili uzeeni tu na baada ya kulewa madaraka!!! ndio maana alitangaza mali zake akiwa anaiongia madarakani lakini wakati wa kutoka katoka kimyakimya. Yeye mwenyewe anajua mpaka anachukua hakuwa na dhambi, makosa na dhambi nyingi ametenda pale magogoni.
Maadili is everything, ukipotoka kimaadili hata kama ulikuwa genius wa PR na international relations na msemaji wa kiingereza mzuri zaidi serikali ya Tanzania nzima bado unakuwa mtupu.
Ukiwa na maadili, hata kama umepungukiwa uwezo katika vikorombwezo vingine watu watakusaidia.
Sasa kama Mkapa siyo Mtupu katusaidia nini miaka kumi aliyokaa urais kama siyo kutuibia tu na kustawisha wezi wenzake kama kina Balali na Chenge?
Mkapa unayemsema wewe si mtupu ni yupi? Ni yule diplomat aliyeenda Australia na kumchamba Tony Blair huku akimtetea mwizi mwenzake Mugabe? Achana na huyo, mimi naongelea Mkapa mlevi mbwa aliyelewa whiskey na kulala fofofo pale Sea View wakati rais Mwinyi anamsubiri airport kwenda state visit.
Naongelea yule Mkapa ambaye mwanae, in a truly prophetic statement, alivyopata habari kuwa baba kawa rais alisema "Mama yangu waTanzania tumekwisha".
Naongelea Benjamin William Mkapa aliyempokea Kissinger na kumu impress Nyerere kwa karama yake mpaka akam promote kumfanya foreign policy technocrat number one, only kulewa madaraka.
naongelea Benjamin Mkapa mjivuni aliyekuwa haendi kanisani (kanisani kwake kulikuwa Hellenic Club na Palm Beach Hotel na rafiki zake wa foreign) Mpaka alipoukwaa urais ndiyo akaanza kwenda St Immaculate, only to stop after finishing his two terms.
Hapo hata sijaingia kwenye Kiwira na connections za kina Andy Chande!
Huyo mtu unamuona ana akili?
Noblesse Oblige ina demand, to whom much is given much shall be exacted.For this precise reason, in the final analysis Mkapa may emerge lower than Kikwete, kwa sababu, unlike Kikwete who is genuinely of feeble mind and malnuorished perception, Mkapa is supposed to be a giant, then how come he left us where he left us?