Hahahaaa, you're so funny buddy.
Porto walipiga mpira, sema tu walizidiwa kwenye kutumia makosa yetu. Wao walipata nafasi nyingi sana na hawakutumia makosa yetu ipasavyo. Sisi tulipata nafasi tukazitumia. Na ndio mpira ulivyo.

Wajipange tu. Ila Sergio ni kocha mzuri atafika mbali sana!
Sioni maajabu ya Juve kutokea. Mmeshapita.
 
Hakuna match waliyocheza viungo hao watatu na ikawork out.
3+5+2 kipindi cha Conte ilikua inafanya kz sn tu.


Labda utakua umesahau maana kati kati alikua anakaa Kante, Matic na Fabrigas then huko juu anakaa Hazard na Costa....


Hata sasa ktk game tunazo kwenda kucheza hasa hizi za Madrid tunahitaji kua na huo mfumo. 3+5+2 yaani tunahitaji Kante, Kovacic na Jorginho wote wacheze kwa wakati mmoja hapo kati na huko mbele Pulisic acheze na Timo au Timo acheze na Mount.


Maana ata ktk kukaba huu mfumo ni mzuri mna switch tu unakua 5+3+2 na km mnavyojua Kovacic na Kante walivyo na uwezo wa kukimbia ni hatari na kwambia...
 
Second leg, against Porto
1617920433685.jpg
 
Wala haihitaji tucheze huo mfumo wa 4+3+3. Hapana tunachotakiwa ni kucheza mfumo wetu huo huo wa 3+4+3 lkn sasa Mason Mount acheze sambamba na Striker huko mbele yaani km Striker atakua Timo basi asaidiane na Mount na nyuma ya hawa sasa ndio acheze Kovacic ktk nafasi ambayo huwa anacheza Mount.


Alafu ktk twin six ndio Kante na Jorginho wakae hapo maana Kante anaweza kwenda mbele na kurudi kukaba na na Kovacic nae anaweza kwenda mbele kushambulia na kuja kusaidia dimba la kati. Wakati huo Jorginho acheze mbele ya mabeki wa kati asiwe Anapanda sn mbele maana hana kasi ya kukimbia. Akikaa nyuma atakua na nafasi ya kutawanya mipira kwa nafasi zaidi awezavyo popote pale. Mfumo ni ule ule lkn huko mbele hawa kina Kai wakae benchi na nafasi yake acheze Mount ili kuweza kuweka viungo watatu hapo kati.
Una maana 3-5-2?, its OK. hii ni derivative ya 3-4-3
Ila kama 3-5-2 itakuwa na DM watatu hii itakuwa kujihami mno, labda DM wawe wawili na CAM mmoja
 
3+5+2 kipindi cha Conte ilikua inafanya kz sn tu.


Labda utakua umesahau maana kati kati alikua anakaa Kante, Matic na Fabrigas then huko juu anakaa Hazard na Costa....


Hata sasa ktk game tunazo kwenda kucheza hasa hizi za Madrid tunahitaji kua na huo mfumo. 3+5+2 yaani tunahitaji Kante, Kovacic na Jorginho wote wacheze kwa wakati mmoja hapo kati na huko mbele Pulisic acheze na Timo au Timo acheze na Mount.


Maana ata ktk kukaba huu mfumo ni mzuri mna switch tu unakua 5+3+2 na km mnavyojua Kovacic na Kante walivyo na uwezo wa kukimbia ni hatari na kwambia...
Unachosahau ni kwamba hamna tena kiungo wa kaliba ya matic na fabregas pale chelsea.

Hao viungo watatu walishachezeshwa pamoja enzi za lampard. Kilichotokea kila mtu anajua.
 
Unachosahau ni kwamba hamna tena kiungo wa kaliba ya matic na fabregas pale chelsea.

Hao viungo watatu walishachezeshwa pamoja enzi za lampard. Kilichotokea kila mtu anajua.
No tumeona juzi na Porto kuna km dk 10 hivi walikua watatu hapo timu ilikua vzr na tukawasukuma kabisa nyuma Porto. Binafsi natamani kuona hapo viungo wanakua watatu kwa baadhi ya game hasa hizi ngumu km Madrid na Man city maana kuna kila dalili twin six wakiwekewa watu watatu wa kuwakaba wanashindwa kufanya building up ya team.


Sema kwa hii 2+5+2 inahitaji mchezaji km Hazard au Pulisic na Timo wachezaji wenye kasi ya hatari.
 
No tumeona juzi na Porto kuna km dk 10 hivi walikua watatu hapo timu ilikua vzr na tukawasukuma kabisa nyuma Porto. Binafsi natamani kuona hapo viungo wanakua watatu kwa baadhi ya game hasa hizi ngumu km Madrid na Man city maana kuna kila dalili twin six wakiwekewa watu watatu wa kuwakaba wanashindwa kufanya building up ya team.


Sema kwa hii 2+5+2 inahitaji mchezaji km Hazard au Pulisic na Timo wachezaji wenye kasi ya hatari.
Japo watangazaji walisema TT alirudisha kwenye backline ya 4 lakini sidhani kwa sababu Chilwell hawezi cheza Midfield kwa hiyo mimi nakuunga mkono kuwa yale mabadiliko ya dk ya 80 ya Silva na Kante ilihamisha formation kwenda kwenye 3-5-2 na ndio ikatupa goli la pili. Tungebaki na ile ya 3-4-3 tusingefunga goli kwa sababu Porto walimiliki midfield. Japo mimi naamini 50/50 uwepo wa Kante bila kujali formation ulisaidia sana AU hiyo formation ndio iliyowatuliza hao Porto ndio maana nasema labda TT ajaribu na hiyo kwenye full game ya marudiano. Formation baada ya dk ya 80 ilikuwa hivi

-----------Pulisic ---- Giroud -------

Chilwell -- Kovacic -- Jorginho-----Kante----Azpilicueta

Rudiger ------------Silva -----------Christensen

Mendy


 
Predicted Line UP vs Crystal Palace

Formation 3-4-2-1
Predicted goals 3-0 (Werner, Alonso and Ziyech on the score sheet)

-------------------Werner ---------------------

Mount-------------------------------------Ziyech

Alonso ---Kovacic ----Kante ---- Odoi

Rudiger ------------------------Christensen------------------------Azpilicueta

Mendy
 
Baada ya game hii ya Leo jumanne tutakua na Fc Porto alafu weekend tutakua na Man City....

Wachezaji wetu ktk game ya Porto na City watakimbia sn.... Na Leo pia tunatakiwa kucheza kwa nguvu ili kujihakikishia nafasi ya 4 baada ya kupigwa weekend iliyopita.

Yaani tuna ratiba ngumu sn saizi....

Ila wakuu tunatakiwa kuiangalia vzr game ya Madrid na Liverpool ya marudio ili tuje tuangalie uzuri wa Madrid na ubaya wake uko wapi? Maana hii Madrid ndio tunaenda kukutana nayo ktk nusu fainali
 
Baada ya game hii ya Leo jumanne tutakua na Fc Porto alafu weekend tutakua na Man City....

Wachezaji wetu ktk game ya Porto na City watakimbia sn.... Na Leo pia tunatakiwa kucheza kwa nguvu ili kujihakikishia nafasi ya 4 baada ya kupigwa weekend iliyopita.

Yaani tuna ratiba ngumu sn saizi....

Ila wakuu tunatakiwa kuiangalia vzr game ya Madrid na Liverpool ya marudio ili tuje tuangalie uzuri wa Madrid na ubaya wake uko wapi? Maana hii Madrid ndio tunaenda kukutana nayo ktk nusu fainali

Rotation ya wachezaji itasaidia. Naamini Tuchel atafanyia kazi
 
Baada ya game hii ya Leo jumanne tutakua na Fc Porto alafu weekend tutakua na Man City....

Wachezaji wetu ktk game ya Porto na City watakimbia sn.... Na Leo pia tunatakiwa kucheza kwa nguvu ili kujihakikishia nafasi ya 4 baada ya kupigwa weekend iliyopita.

Yaani tuna ratiba ngumu sn saizi....

Ila wakuu tunatakiwa kuiangalia vzr game ya Madrid na Liverpool ya marudio ili tuje tuangalie uzuri wa Madrid na ubaya wake uko wapi? Maana hii Madrid ndio tunaenda kukutana nayo ktk nusu fainali
Kama tunakutana na Madrid basi Chelsea wanacheza fainali Eufa; i am ready to bet on this.
 
Sisi Silva alipigwa Nyekundu tkala 5 tukasema kadi imetugarimu...... asa uyu mzee leo kapigwa Nyekundu mbele ya city na kashinda aise Huyu Tumchele tumepigwa.
 
Back
Top Bottom