Lengo la kocha Leo lilikua ni kushambulia kwa nguvu na ndio sbbu umeona Odoi ameanza na Muda mwingi Odoi alikua juu tu huko anawasumbua tu Crystal PalaceYaani kaingia Reece James Zaha ameacha kufurukuta ameamua kumchezea rafu James.
TT angekuwa anamchezesha Odoi kwenye winga tu. huku nyuma hawezi kudefend
Lengo la kocha Leo lilikua ni kushambulia kwa nguvu na ndio sbbu umeona Odoi ameanza na Muda mwingi Odoi alikua juu tu huko anawasumbua tu Crystal PalaceYaani kaingia Reece James Zaha ameacha kufurukuta ameamua kumchezea rafu James.
TT angekuwa anamchezesha Odoi kwenye winga tu. huku nyuma hawezi kudefend
Ndio mpira huo mzeeNimeumia sana Mendy kuto ondoka na cleen sheet, napenda sana huyo mwamba msimu huu achukue Golden
Werner anamsaada kwenye assist hata kama afungi magoals kwa hiyo usimuunderrateNi Bora mara 100 kutumia false9 Kai kuliko kuwa na Werner Uwanjani..
Utofauti wao upo kwenye mbinu na matumizi sahihi wachezaji hivyo vitu viwili Lampard alikuwa Hana.Lengo la kocha Leo lilikua ni kushambulia kwa nguvu na ndio sbbu umeona Odoi ameanza na Muda mwingi Odoi alikua juu tu huko anawasumbua tu Crystal Palace
Leo nimemfikiria sn Thomas Tuchel sijapata majibu maana nashindwa kuelewa Lampard alikua anafeli wp? Maana wachezaji ni hawa hawa lkn viwango vyao viko juu ni balaa..
Hata kocha kasema Werner anakuwa mzuri hata akiwa hana mpira. Anajua kujiposition na kukimbia na anauwezo wa kusambaratisha backline ya maadui, Kwa hiyo Werner bado anafaa sanaWerner anamsaada kwenye assist hata kama afungi magoals kwa hiyo usimuunderrate
Lakini pia Lampard yuko formal wakati Tuchel yuko friendly na wachezaji, Lampard anaweka visasi (hii mbaya kwa sababu inashuhsa morale ya wachezaji) Tuchel yeye akimkasirikia mchezaji inaisha hapo hapo. Mfano kesi ya Odoi kuingizwa na kutolewa TT alikasirika ila akasema hasira yake imeishia hapo hapo. Leo hii TT anacheka na Odoi kama kawaida kama vile hakuna kitu kiliwahi kutokea. Next match TT alimpanga Odoi, Lampard angempiga ban kwanza kama alivyofanya kwa Rudiger, Alonso, Kepa nkUtofauti wao upo kwenye mbinu na matumizi sahihi wachezaji hivyo vitu viwili Lampard alikuwa Hana.
umeongea kama unae ujua mpira, kwanza yufahamu werner huwa hachezi kama 9 though anapata sana nafasi ila sema ana poor finishing saiviWerner anamsaada kwenye assist hata kama afungi magoals kwa hiyo usimuunderrate
FireWengine wanapumzishwa lakini Mount hapumziki. Game 40 kashacheza kwa Chelsea na game 50 pamoja na England bila kuchoka na bila majeruhi, Je akifikisha miaka 25 atakuweje?
Ataungana na wenzie kina Walcott hahaha...vijanaa wakingereza sio wakuwekea dhamana kabisaWengine wanapumzishwa lakini Mount hapumziki. Game 40 kashacheza kwa Chelsea na game 50 pamoja na England bila kuchoka na bila majeruhi, Je akifikisha miaka 25 atakuweje?
Hata akina Lampard na Beckham hwakuwekewa dhamana kabisaAtaungana na wenzie kina Walcott hahaha...vijanaa wakingereza sio wakuwekea dhamana kabisa
Huu ulikuwa moto wa kuotea mbali
Lingardinho ameshawarudisha ng'ombe zizini kwao