Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,167
- 5,602
Kai na Werner wanapaswa kupigwa sub. Jorginho pia naona hajatulia kati. Apigwe sub pia. Mbele hawakaina mipira kabisa!Chelsea hawachezi vizuri kama walivyocheza na Atletico Madrid. Makosa makosa mengi, Jorginho anacheza rafu na wachezaji wengi wanapoteza mipira hovyo japo wanamiliki mpira kwa 70% kama nilivyotabiri huko nyuma
Porto wamecheza vizuri sana. Wako haraka na wana mbinu nyingi. Beki ya Chelsea imejitahidi sana kuzuia madhara!