Tuchel ajifunze kwa mwenzake wa Leeds United. Mazingira yale yale ya ushindi wa goli moja muda mchache anatolewa beki wa kutumainiwa na bado walilinda goli na kuongeza la pili ndani ya shuti mbili tu langoni
 
Tuchel ajifunze kwa mwenzake wa Leeds United. Mazingira yale yale ya ushindi wa goli moja muda mchache anatolewa beki wa kutumainiwa na bado walilinda goli na kuongeza la pili ndani ya shuti mbili tu langoni
Mzee Una mashaka na Tuchel? Ile ilikuwa bad day tu
 
Tuchel ajifunze kwa mwenzake wa Leeds United. Mazingira yale yale ya ushindi wa goli moja muda mchache anatolewa beki wa kutumainiwa na bado walilinda goli na kuongeza la pili ndani ya shuti mbili tu langoni

Kabisa aisee. Pia wachezaji wacheze kwa kujiamini bila kupagawa
 
Haverts
Pulisic ----------Mount
Chilwelll----- Kovacic-----Jorginho-----Odoi
Rudiger-----Zouma------Azpilicueta
Mendi
 
Nina wasiwasi na upande wa Odoi, atamuweza Zaha kwenye kukaba na kumzuia? Najua Odoi ni mzuri kwenye kushambilia ila kwenye kukaba James ni afadhali. Itabidi Azpi awe makini sana
 
Adjustments.jpg

kAi kAraVaTi mmEPigWa
 
Yaani kaingia Reece James Zaha ameacha kufurukuta ameamua kumchezea rafu James.
TT angekuwa anamchezesha Odoi kwenye winga tu. huku nyuma hawezi kudefend
 
Yaani Crystal Palace walikuwa na shot moja tu ya Christian Benteke na ndio ikazaa goli
Chelsea shots 23, ontarget 10, magoli 4, possesion 65%,
1618079524239.png
 
Back
Top Bottom