Toa mount hapoPredicted Line up today
View attachment 1614248
Southern Highland nakusahihisha sarri alimaliza nafasi ya 3 sio ya 4 Kama ulivyosema.Mkuu alichukua Europa League dhidi ya Arsenal. Alimaliza nafasi ya 4 kwenye League. Alipandisha viwango vya Ruben Loftus Cheek na Odoi. Alicheza pira biriani, sambusa, kachori mixer Al Kasus, tende na pweza.
Lakini bado akasurubiwa na mashabiki. Sasa hivi wamehamia kwa Lampard(unexperienced) niwie radhi kwa maelezo marefu kwa swali ulilouliza nahisi utakua hufahamu vitu vingi vinavyoendelea kwenye club yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Predicted Line up today
View attachment 1614248
Kikosi kimesimama. Sasa utashangaa lampard leo atakavyopanga kikosi chake!. Wakat hata sisi huku tunamshinda kupanga kikosi. Ndio utajua lampard hamna kitu mule.Hivi ni kitu gani ambacho
Mfumo bora wa Lampard ni 343, hiyo mingine 433, 4231 tunaishia kufanga na kusawazishwa, timu inakuwa na gaps kibao.
Huu mfumo wa 343 auboreshe kule mbele Kwenye umaliziaji.
Pulisic Werner Ziyech
Chilwell Kovacic Kante James
Zouma Thiago Azip
Mendy
Nyie watoto msije kuiaibisha london...
London is red
Chelsea na uwanja wake kama ingekuwa n ugonjwa ungefananisha na ugonjwa gani.?Tunapopambana kununua wachezaji wa bei ghali, pia tupambane kujenga uwanja wa kisasa kwendana na hadhi kubwa ya timu yetu.View attachment 1614854View attachment 1614858
Unawashwa na nn c utulieNi kwamba fans wa blues Amna access ya mtandao ili mjadili mechi yenu ya UEFA ama mshajichokea na timu yenu ???
Mmeona kikosi Cha super Frankie ??? Rudiger wenu mnampigia kelele hachez haya Leo yumo, ngoja achomeshe akili ziwakae sawa !!!
Mtu kala nne huko acha kelele..Ni kwamba fans wa blues Amna access ya mtandao ili mjadili mechi yenu ya UEFA ama mshajichokea na timu yenu ???
Mmeona kikosi Cha super Frankie ??? Rudiger wenu mnampigia kelele hachez haya Leo yumo, ngoja achomeshe akili ziwakae sawa !!!
Bado una maoni 4-3-3 ni mfumo mbayaHivi ni kitu gani ambacho
Mfumo bora wa Lampard ni 343, hiyo mingine 433, 4231 tunaishia kufanga na kusawazishwa, timu inakuwa na gaps kibao.
Huu mfumo wa 343 auboreshe kule mbele Kwenye umaliziaji.
Pulisic Werner Ziyech
Chilwell Kovacic Kante James
Zouma Thiago Azip
Mendy
Tumecheza na dagaa, epl hatuwezi tumia mfumo huo tutafungwa una madhaifu kibao.Bado una maoni 4-3-3 ni mfumo mbaya
Acha umamaCheltako kacheza na kipalila cha magotini.
Timu haijulikani hata inchi gani inatokea!?
Unawazalilisha wamamaAcha umama