Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Leo ndio nimeelewa msimamo wako. Kumbe tupo pamoja ila wakati mwingine unashupaza shingo.

Umenikumbusha sarri ball ilikuwa moto kwenye possession 73 kwa 27, pass 7000 per match ila kupata matokeo ilikuwa changamoto. Pass mpaka lango la adui, tunaingia tunatoka.

Pengine sarri angeachwa msimu wa pili angekuja na plan B ya uhakika wa kushinda mechi kama ulivyosema.

CONTE & SARRI walikuza vipaji vya wachezaji. Ikumbukwe Mosses amesharudi Chelsea yupo kwa sasa lakini kwenye list ya wachezaji 25 hayupo.
Siyo kushupaza shingo shida ni kwamba fans wengi hasa wa Chelsea hawajui wanachotaka. Kipindi cha Sarri tulcheza mpira mzuri lakini alikosa wqchezaji ndio maana tulikua tunafunga magoli machache lakini assume hawa wachezaji waliopo wangekua kipindi cha Sarri unafikiri ingekuaje? Pamoja na hayo lakini washabiki wengi wakamkataa. Tukaletewa Lampard sasa hivi mnalialia tu hakuna kinacho angaliwa na kesho tuna game ya UEFA watu wamekakamaa kumjadili Lampard.

Tutalalamika sana otherwise board yenyewe iamue kumtoa otherwise itakua mnalialia na hakuna kitu Marina atamfanya Lampard kwa sasa. Cha muhimu tuendelee kuangalia kilichopo na kujua tunafanyaje lakini vilio vya kila siku tunashindwa wengine kama mimi kuchangia current issues za timu yetu. Kesho tuna game na Krasnodar UEFA lakini hatuongelei kabisa. Wacha Lampard aendelee kutamba mpaka mkataba wake utakapoisha kwq sababu hata akija kocha mwingine atasifiwa baada ya msimu mmoja tutaanza kulia lia tena. Ndio itakua process yenyewe kwa sababu hatujui tukitakacho
 
Siyo kushupaza shingo shida ni kwamba fans wengi hasa wa Chelsea hawajui wanachotaka. Kipindi cha Sarri tulcheza mpira mzuri lakini alikosa wqchezaji ndio maana tulikua tunafunga magoli machache lakini assume hawa wachezaji waliopo wangekua kipindi cha Sarri unafikiri ingekuaje? Pamoja na hayo lakini washabiki wengi wakamkataa. Tukaletewa Lampard sasa hivi mnalialia tu hakuna kinacho angaliwa na kesho tuna game ya UEFA watu wamekakamaa kumjadili Lampard.

Tutalalamika sana otherwise board yenyewe iamue kumtoa otherwise itakua mnalialia na hakuna kitu Marina atamfanya Lampard kwa sasa. Cha muhimu tuendelee kuangalia kilichopo na kujua tunafanyaje lakini vilio vya kila siku tunashindwa wengine kama mimi kuchangia current issues za timu yetu. Kesho tuna game na Krasnodar UEFA lakini hatuongelei kabisa. Wacha Lampard aendelee kutamba mpaka mkataba wake utakapoisha kwq sababu hata akija kocha mwingine atasifiwa baada ya msimu mmoja tutaanza kulia lia tena. Ndio itakua process yenyewe kwa sababu hatujui tukitakacho
Brother umeongea point ya muhimu sana, kwamba mashabiki wengi wa Chelsea tunalalamika ila hatujui tunalotaka ila nikujibu kwamba tunajua tunalolitaka kama ifuatavyo

Chelsea huko nyuma haikuwa na falsafa ya mpira mzuri, falsafa ilikuwa kushinda kila mechi bila kujali style ya uchezaji.

Roman aliposema anataka mpira mzuri ndio kasheshe ilianza, SARI alikuja na mpira mzuri mashabiki wanahoji matokeo, na ukweli ni kwamba falsafa ya mpira mzuri inahitaji uvumilivu kwa kocha.

Mi naona tuachane na falsafa ya mpira mzuri turudi kwenye falsafa yetu ya kupata matokeo ambayo imetupa makombe mengi kwa muda mfupi.

Lampard kuokoa kibarua chake ni kucheza mpira wa kimbinu kama morinyo au conte tupatate matokeo. Shabiki wa Chelsea ukiambia kwamba tumecheza mpira mzuri halafu tumefungwa sitakuelewa.
 
Brother umeongea point ya muhimu sana, kwamba mashabiki wengi wa Chelsea tunalalamika ila hatujui tunalotaka ila nikujibu kwamba tunajua tunalolitaka kama ifuatavyo

Chelsea huko nyuma haikuwa na falsafa ya mpira mzuri, falsafa ilikuwa kushinda kila mechi bila kujali style ya uchezaji.

Roman aliposema anataka mpira mzuri ndio kasheshe ilianza, SARI alikuja na mpira mzuri mashabiki wanahoji matokeo, na ukweli ni kwamba falsafa ya mpira mzuri inahitaji uvumilivu kwa kocha.

Mi naona tuachane na falsafa ya mpira mzuri turudi kwenye falsafa yetu ya kupata matokeo ambayo imetupa makombe mengi kwa muda mfupi.

Lampard kuokoa kibarua chake ni kucheza mpira wa kimbinu kama morinyo au conte tupatate matokeo. Shabiki wa Chelsea ukiambia kwamba tumecheza mpira mzuri halafu tumefungwa sitakuelewa.
Kama board ya Chelsea wangekua wanataka huo mpira wako wasinge tumia pesa nyingi kumsajili Kai(mwepesi), angeletwa kocha aina ya El Chollo, Nuno, na Mou siyo Lampard. Kwa hiyo hata ikitojea Lamps kafukuzwa tegemea kuwaona makocha wanaotaka kucheza mpira na sio kubutua butua tu. Ule mpira unahitaji watu wa kazi na sio aina ya wachezaji tulionao sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama board ya Chelsea wangekua wanataka huo mpira wako wasinge tumia pesa nyingi kumsajili Kai(mwepesi), angeletwa kocha aina ya El Chollo, Nuno, na Mou siyo Lampard. Kwa hiyo hata ikitojea Lamps kafukuzwa tegemea kuwaona makocha wanaotaka kucheza mpira na sio kubutua butua tu. Ule mpira unahitaji watu wa kazi na sio aina ya wachezaji tulionao sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na kweli. Sawa tuendelee kuwa watazamaji.
 
Ingekuwa sawa kama tungekuwa hatujafanya usajili wowote Kama Msimu ulioisha tusingelalamika.

Ila msimu huu tumevunja rekodi epl ya usajili mkubwa 200+M, kwanini tuvumilie wakati tuna wachezaji world class?

Na tunafahamu kocha ndio tatizo ameshindwa kuwaorganize wachezaji wakadeliver kile kilichobora, kocha formation zinamchanganya, position za wachezaji uwanjani zinamchanganya, hana mbinu bali ana mbunu.

Sari alichukua kombe na morata + Hazard + Willan + Pedro sasa hivi tuna Pulisic, Ziyech, Harvetz, Werner tunahitaji mafanikio zaidi.

Tungevumilia kama kocha angekuwa na elements za kuvumiliwa sio huyu lamps, kindergaten coach

Sarri alichukua kombe lipi?
 
Sarri alichukua kombe lipi?
Mkuu alichukua Europa League dhidi ya Arsenal. Alimaliza nafasi ya 4 kwenye League. Alipandisha viwango vya Ruben Loftus Cheek na Odoi. Alicheza pira biriani, sambusa, kachori mixer Al Kasus, tende na pweza.

Lakini bado akasurubiwa na mashabiki. Sasa hivi wamehamia kwa Lampard(unexperienced) niwie radhi kwa maelezo marefu kwa swali ulilouliza nahisi utakua hufahamu vitu vingi vinavyoendelea kwenye club yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo ndio nimeelewa msimamo wako. Kumbe tupo pamoja ila wakati mwingine unashupaza shingo.

Umenikumbusha sarri ball ilikuwa moto kwenye possession 73 kwa 27, pass 7000 per match ila kupata matokeo ilikuwa changamoto. Pass mpaka lango la adui, tunaingia tunatoka.

Pengine sarri angeachwa msimu wa pili angekuja na plan B ya uhakika wa kushinda mechi kama ulivyosema.

CONTE & SARRI walikuza vipaji vya wachezaji. Ikumbukwe Mosses amesharudi Chelsea yupo kwa sasa lakini kwenye list ya wachezaji 25 hayupo.
Moses ameenda russia kwa mkopo
 
Mkuu alichukua Europa League dhidi ya Arsenal. Alimaliza nafasi ya 4 kwenye League. Alipandisha viwango vya Ruben Loftus Cheek na Odoi. Alicheza pira biriani, sambusa, kachori mixer Al Kasus, tende na pweza.

Lakini bado akasurubiwa na mashabiki. Sasa hivi wamehamia kwa Lampard(unexperienced) niwie radhi kwa maelezo marefu kwa swali ulilouliza nahisi utakua hufahamu vitu vingi vinavyoendelea kwenye club yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekumbuka
Ila Juve walimshawishi..
Hakufukuzwa.. anaweza rudi
 
Mkuu alichukua Europa League dhidi ya Arsenal. Alimaliza nafasi ya 4 kwenye League. Alipandisha viwango vya Ruben Loftus Cheek na Odoi. Alicheza pira biriani, sambusa, kachori mixer Al Kasus, tende na pweza.

Lakini bado akasurubiwa na mashabiki. Sasa hivi wamehamia kwa Lampard(unexperienced) niwie radhi kwa maelezo marefu kwa swali ulilouliza nahisi utakua hufahamu vitu vingi vinavyoendelea kwenye club yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Baada ya Sari kubeba Europa ndio baadhi ya mashabiki wakabadilisha mawazo abaki but it waz 2 late Sari alishaamua kuondoka.
 
Brother umeongea point ya muhimu sana, kwamba mashabiki wengi wa Chelsea tunalalamika ila hatujui tunalotaka ila nikujibu kwamba tunajua tunalolitaka kama ifuatavyo

Chelsea huko nyuma haikuwa na falsafa ya mpira mzuri, falsafa ilikuwa kushinda kila mechi bila kujali style ya uchezaji.

Roman aliposema anataka mpira mzuri ndio kasheshe ilianza, SARI alikuja na mpira mzuri mashabiki wanahoji matokeo, na ukweli ni kwamba falsafa ya mpira mzuri inahitaji uvumilivu kwa kocha.

Mi naona tuachane na falsafa ya mpira mzuri turudi kwenye falsafa yetu ya kupata matokeo ambayo imetupa makombe mengi kwa muda mfupi.

Lampard kuokoa kibarua chake ni kucheza mpira wa kimbinu kama morinyo au conte tupatate matokeo. Shabiki wa Chelsea ukiambia kwamba tumecheza mpira mzuri halafu tumefungwa sitakuelewa.
Mpira wowote ukishakosa matokeo mazuri sio mpira mzuri. Mpira mzuri daima ni ule wenye magoli mengi kuliko ya mpinzani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom