Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kusema ukweli mi sikuona kama aliboronga, ok. let say aliboronga ndio asipangwe tena kisa kaboronga mechi moja au mbili. Mount kaboronga mechi ngapi na anamaliza dk. zote 90?
mtt wa lampard huyo
haguswi😂😂
 
We jamaa nimekufuatilia comments zako kwa muda mrefu.

Ukweli ni kwamba huwa unajichanganya mwenyewe, kuna muda unakuja vizuri kimawazo muda mwingine maruweruwe.

Mchezaji hawezi kupigwa bechi kila siku eti kwa sababu ameboronga dk 46 za mchezo. World classic players kibao duniani huwa kuna mechi wanaboronga, kila siku huwezi kuwa fit kiakili na kimwili.

Mtoto Mount kila siku anaboronga lakini mbona anapangwa kucheza mara kwa mara sembuse Kovacic mchezaji bora wa club 2019/20?

Jibu ni kwamba Lampard ni mbinafsi, muaji wa vipaji, hana mbinu, kigeugeu, anatapatapa, mfa maji, mti aliouopanda sasa unateleza hana pa kujishika na ataangukia shingo
Umemfatilia muda mrefu na una siku tatu toka ujiunge jukwaani.
 
Hata hivyo upepo mbaya hauko kwa Chelsea tu na hivyo tuache kulalamika sana. Tusubiri Krismasi ipite ndio tuanze kutoa hisia, hapo table halisi ya EPL itajulikana,
Haya maeneo matano tutajua January 2021
  1. EPL title contenders watajulikana
  2. Top 4 contenders watajulikana pia
  3. Europa contenders nao tutawajua hiyo Krisimasi
  4. Mid table teams zitajulikana
  5. Timu zinazopigania kubaki EPL zitajulikana
 
Hata hivyo upepo mbaya hauko kwa Chelsea tu na hivyo tuache kulalamika sana. Tusubiri Krismasi ipite ndio tuanze kutoa hisia, hapo table halisi ya EPL itajulikana,
Haya maeneo matano tutajua January 2021
  1. EPL title contenders watajulikana
  2. Top 4 contenders watajulikana pia
  3. Europa contenders nao tutawajua hiyo Krisimasi
  4. Mid table teams zitajulikana
  5. Timu zinazopigania kubaki EPL zitajulikana
Ingekuwa sawa kama tungekuwa hatujafanya usajili wowote Kama Msimu ulioisha tusingelalamika.

Ila msimu huu tumevunja rekodi epl ya usajili mkubwa 200+M, kwanini tuvumilie wakati tuna wachezaji world class?

Na tunafahamu kocha ndio tatizo ameshindwa kuwaorganize wachezaji wakadeliver kile kilichobora, kocha formation zinamchanganya, position za wachezaji uwanjani zinamchanganya, hana mbinu bali ana mbunu.

Sari alichukua kombe na morata + Hazard + Willan + Pedro sasa hivi tuna Pulisic, Ziyech, Harvetz, Werner tunahitaji mafanikio zaidi.

Tungevumilia kama kocha angekuwa na elements za kuvumiliwa sio huyu lamps, kindergaten coach
 
Ingekuwa sawa kama tungekuwa hatujafanya usajili wowote Kama Msimu ulioisha tusingelalamika.

Ila msimu huu tumevunja rekodi epl ya usajili mkubwa 200+M, kwanini tuvumilie wakati tuna wachezaji world class?

Na tunafahamu kocha ndio tatizo ameshindwa kuwaorganize wachezaji wakadeliver kile kilichobora, kocha formation zinamchanganya, position za wachezaji uwanjani zinamchanganya, hana mbinu bali ana mbunu.

Sari alichukua kombe na morata + Hazard + Willan + Pedro sasa hivi tuna Pulisic, Ziyech, Harvetz, Werner tunahitaji mafanikio zaidi.

Tungevumilia kama kocha angekuwa na elements za kuvumiliwa sio huyu lamps, kindergaten coach
Kwa taarifa yako Klopp alifanya usajili mkubwa sana pengine hata kuliko sisi na bado alifanya vibaya na akaonekana hafai. Walifukua makaburi na kusema Klopp sio kocha, hajawahi kuchukua kombe na blaa blaa nyingi, lakini alipomsajili Alisson na VVD ngoma ikatulia, sasa hivi Klopp anaonekana role modal Coach sio tu ndani ya Anfield bali hadi huku kwetu na kwingineko. Ni kweli Chelsea imefanya usajili lakini haukukamilika kama ilivyokuwa Liverpool 2017/18. Bado Chelsea inawahitaji viungo wa kuamua / kudetect play. Hao hatuna. Kama unamjua vizuri Fabregas, tunahitaji kiungo wa naman hiyo sio akina Kova wa kupeleka mipira mbele tu lakini no assists, sio Kante anayejua kuzuia tu lakini kutengeneza nafasi hajui
 
Kwa taarifa yako Klopp alifanya usajili mkubwa sana pengine hata kuliko sisi na bado alifanya vibaya na akaonekana hafai. Walifukua makaburi na kusema Klopp sio kocha, hajawahi kuchukua kombe na blaa blaa nyingi, lakini alipomsajili Alisson na VVD ngoma ikatulia, sasa hivi Klopp anaonekana role modal Coach sio tu ndani ya Anfield bali hadi huku kwetu na kwingineko. Ni kweli Chelsea imefanya usajili lakini haukukamilika kama ilivyokuwa Liverpool 2017/18. Bado Chelsea inawahitaji viungo wa kuamua / kudetect play. Hao hatuna. Kama unamjua vizuri Fabregas, tunahitaji kiungo wa naman hiyo sio akina Kova wa kupeleka mipira mbele tu lakini no assists, sio Kante anayejua kuzuia tu lakini kutengeneza nafasi hajui

Harvetz amekuja kuziba nafasi ya nani? Kama pengo la fabrigas bado lipo kulikuwa hakuna haja kumsajili Harvetz bora tungemsajili Van beek aliyesajiliwa man u.
 
Ingekuwa sawa kama tungekuwa hatujafanya usajili wowote Kama Msimu ulioisha tusingelalamika.

Ila msimu huu tumevunja rekodi epl ya usajili mkubwa 200+M, kwanini tuvumilie wakati tuna wachezaji world class?

Na tunafahamu kocha ndio tatizo ameshindwa kuwaorganize wachezaji wakadeliver kile kilichobora, kocha formation zinamchanganya, position za wachezaji uwanjani zinamchanganya, hana mbinu bali ana mbunu.

Sari alichukua kombe na morata + Hazard + Willan + Pedro sasa hivi tuna Pulisic, Ziyech, Harvetz, Werner tunahitaji mafanikio zaidi.

Tungevumilia kama kocha angekuwa na elements za kuvumiliwa sio huyu lamps, kindergaten coach
Mkuu kipindi cha Sarri tulicheza mpira mzuri sana mpaka ikatoka ile statement "Sarri Ball" na kipindi kile wachezaji wengi walipandisha sana viwango vyao kama RLC, Odoi lakini mashabiki wakamponda hana plan B na wakati hakua amemaliza plan A. Kipindi hicho mimi ni mmoja wa walioumia sana kuondoka kwa Sarri na tetesi za Lampard kupewa timu zikaanza watu wakaja na maComment marefu kumsifia na kutaja jinsi soka lake litakavyokuwa zuri. Wengi wao wakasahau kuwa kocha unahitaji experience siyo tu kwakua mchezaji ni legend basi apewe timu. Nilikua mmoja wa walioliona hili wakati ule lakini hatukua na say tunasema tu inaishia humu humu jukwaani.

Liverpool hawakua wajinga kutompa timu Gerald wakati huo alikua keshaanza kufanya vizuri Rangers, Zidane anafanya vizuri kwa sababu amefanya kazi chini ya Ancelloti kwa iyo ana experience, sitoshangaa Arteta kufanya vizuri Arsenal kwa sababu keshakua chini Pep ivyo ana experience kidogo, kuna kipindi Giggs alipewa Man Utd kwa muda na timu ikawa inafanya vizuri lakini haikuwapumbaza kumpa aifundishe moja kwa moja kwa sababu walijua matatizo kama haya.

So nachotaka kusema uteuzi wa Lampard from the first time haukua sahihi, tutamlaumu, tutamtukana, tutamkejeli na kadhalika lakini mwisho wa siku tumembebesha mzigo mkubwa toka mwanzo huku tukimpamba kwa maneno mazuri mazuri. Sioni Lampard akibadilika kiuchezaji jwa hiyo tuache afanye kazi yake mpaka pale mambo yatakapobadilika kwa sababu tumeletewa na hatuna budi kukubaliana naye.

Halafu nilichogundua mashabiki wa Chelsea hawafuatilii mpira ni watu wa kufuata mkumbo na kuna wanakwambia hawajawahi kumuona RLC akiwa bora Chelsea na hao ndio wakawa wanasema Sarri atimuliwe. Tuwe wavumilivu tu Lampard atatufikisha mahala pazuri sijui kwa njia ipi ila naamini bodi kumteua wanajua wanachofanya.
 
Harvetz amekuja kuziba nafasi ya nani? Kama pengo la fabrigas bado lipo kulikuwa hakuna haja kumsajili Harvetz bora tungemsajili Van beek aliyesajiliwa man u.
Mihemuko itawapeleka pabaya, hata kwenye maisha mkifanya hivi hivi mtaishia pabaya.
 
Harvetz amekuja kuziba nafasi ya nani? Kama pengo la fabrigas bado lipo kulikuwa hakuna haja kumsajili Harvetz bora tungemsajili Van beek aliyesajiliwa man u.
So unataka kusema Havertz kasajiliwa kuchukua daluga za Fabregas, Pole sana
 
Mkuu kipindi cha Sarri tulicheza mpira mzuri sana mpaka ikatoka ile statement "Sarri Ball" na kipindi kile wachezaji wengi walipandisha sana viwango vyao kama RLC, Odoi lakini mashabiki wakamponda hana plan B na wakati hakua amemaliza plan A. Kipindi hicho mimi ni mmoja wa walioumia sana kuondoka kwa Sarri na tetesi za Lampard kupewa timu zikaanza watu wakaja na maComment marefu kumsifia na kutaja jinsi soka lake litakavyokuwa zuri. Wengi wao wakasahau kuwa kocha unahitaji experience siyo tu kwakua mchezaji ni legend basi apewe timu. Nilikua mmoja wa walioliona hili wakati ule lakini hatukua na say tunasema tu inaishia humu humu jukwaani.

Liverpool hawakua wajinga kutompa timu Gerald wakati huo alikua keshaanza kufanya vizuri Rangers, Zidane anafanya vizuri kwa sababu amefanya kazi chini ya Ancelloti kwa iyo ana experience, sitoshangaa Arteta kufanya vizuri Arsenal kwa sababu keshakua chini Pep ivyo ana experience kidogo, kuna kipindi Giggs alipewa Man Utd kwa muda na timu ikawa inafanya vizuri lakini haikuwapumbaza kumpa aifundishe moja kwa moja kwa sababu walijua matatizo kama haya.

So nachotaka kusema uteuzi wa Lampard from the first time haukua sahihi, tutamlaumu, tutamtukana, tutamkejeli na kadhalika lakini mwisho wa siku tumembebesha mzigo mkubwa toka mwanzo huku tukimpamba kwa maneno mazuri mazuri. Sioni Lampard akibadilika kiuchezaji jwa hiyo tuache afanye kazi yake mpaka pale mambo yatakapobadilika kwa sababu tumeletewa na hatuna budi kukubaliana naye.

Halafu nilichogundua mashabiki wa Chelsea hawafuatilii mpira ni watu wa kufuata mkumbo na kuna wanakwambia hawajawahi kumuona RLC akiwa bora Chelsea na hao ndio wakawa wanasema Sarri atimuliwe. Tuwe wavumilivu tu Lampard atatufikisha mahala pazuri sijui kwa njia ipi ila naamini bodi kumteua wanajua wanachofanya.
Leo ndio nimeelewa msimamo wako. Kumbe tupo pamoja ila wakati mwingine unashupaza shingo.

Umenikumbusha sarri ball ilikuwa moto kwenye possession 73 kwa 27, pass 7000 per match ila kupata matokeo ilikuwa changamoto. Pass mpaka lango la adui, tunaingia tunatoka.

Pengine sarri angeachwa msimu wa pili angekuja na plan B ya uhakika wa kushinda mechi kama ulivyosema.

CONTE & SARRI walikuza vipaji vya wachezaji. Ikumbukwe Mosses amesharudi Chelsea yupo kwa sasa lakini kwenye list ya wachezaji 25 hayupo.
 
Ushabiki wa wengine hapa wanataka wachezaji wasajiliwe tu na ndani ya wiki tatu tayari watoe matokeo mazuri!!! inashangaza sana; Chelsea inakuja kua timu nzuri sana. Juzi tu hapa Zyrech ndo ametoka kwenye majeruhi na Pulisic lakini still Thiago na Mendy bado hawajazoe ligi.

Nakuhakikishia mwezi wa 11 mwishoni ndo tuanze kuwahukumu wachezaji wetu pamoja na kocha. Unaposema kua Frank siyo kocha mzuri lakini nakuhakikishia kama Sarri ndiyo angebaki na kikosi alichopewa Frank top four tungelisikia tu.

Bado ninayo imani kubwa sana na kikosi cha Chelsea na kocha wake.
 
Leo ndio nimeelewa msimamo wako. Kumbe tupo pamoja ila wakati mwingine unashupaza shingo.

Umenikumbusha sarri ball ilikuwa moto kwenye possession 73 kwa 27, pass 7000 per match ila kupata matokeo ilikuwa changamoto. Pass mpaka lango la adui, tunaingia tunatoka.

Pengine sarri angeachwa msimu wa pili angekuja na plan B ya uhakika wa kushinda mechi kama ulivyosema.

CONTE & SARRI walikuza vipaji vya wachezaji. Ikumbukwe Mosses amesharudi Chelsea yupo kwa sasa lakini kwenye list ya wachezaji 25 hayupo.
Moses kapelekwa urusi kwa mkopo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom