DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,979
- 11,816
Sheffield Je?Sisi huyo Tottenham tumemtwanga nje ndani
Sheffield Je?Sisi huyo Tottenham tumemtwanga nje ndani
Ollachuga na yule sijui Papa Gx walizidi tarumbeta sana na kujifanya watabiri leo wamenyooshwa kisawa sawa wamekimbia jukwaa ,na hapa sisi hatutoki tunapiga kambi mpk asubuhi ...
Naweka kambi hapa nione mashabiki wa chelusii watakavyo tukanana.
Hii wiki hii na hiyo vita ya big4 loh
Chelsea kapoteza
Arsenal kapoteza
Leicester kapoteza
United ??????
Mtoe Arsenal. Anawania big 4 iiip??Hii wiki hii na hiyo vita ya big4 loh
Chelsea kapoteza
Arsenal kapoteza
Leicester kapoteza
United ??????
Derby hustahili kushinda siyo? Hivi msimu kuna top 4 yoyote mmemfunga kweli?Himj hatujawahi kupoa na hatupoi mzee,ile ilikuwa derby ya London ila hiyo ya Sheffield sijui ilikuwa nini?View attachment 1505525
watu wana vituko sanaDully Jr kwan na wewe bado unapigania top 4?
Hatakama wabovu lakini hawatafungwa na Norwich.. Hawa kiama chao kipo mechi mbili za mwisho yaani Liverpool pale anfield na ya mwisho wolvesHii siku ya tarehe 14 Chelsea vs Norwich ni siku ambayo maiti anakufa na mwoshaji ambaye Chelsea mtatukanana sana humu ndani ..kipigo nakiona View attachment 1505450
Hapo kabla niliwahi kusema siasa zinaingizwa kwenye baadhi ya watu walipinga sana. Kuna baadhi ya mambo Chelsea inàfanya hayapewi kipaumbele kabisa wala husikii media zikisifia lakini jambo hilohilo lifanywe na timu za waingereza media zitapeperusha taarifa dunia nzima.Imenibidi nije niandike kidogo!
Chelsea alikutwa na Makosa
• Chelsea alipigwa Transfer Ban ya Two Windows
Mancity alikutwa na Makosa:
• Man City hakupigwa Transfer Ban
• Karuhusiwa kucheza UCL
• Lakini kapigwa Faini
Eti Hakuna ushahidi wa Makosa ya Man City! Lakini kapigwa Faini
Ndiyo tujuwe kuwa Ulaya Hujuma zipo
Muda utaongeaBig 4.
Liverpool
ManCity
ManUtd
Wolves.
*Naomba mtunze huu ujumbe*
Acha kitonga weweImenibidi nije niandike kidogo!
Chelsea alikutwa na Makosa
• Chelsea alipigwa Transfer Ban ya Two Windows
Mancity alikutwa na Makosa:
• Man City hakupigwa Transfer Ban
• Karuhusiwa kucheza UCL
• Lakini kapigwa Faini
Eti Hakuna ushahidi wa Makosa ya Man City! Lakini kapigwa Faini
Ndiyo tujuwe kuwa Ulaya Hujuma zipo
Kwani unataka kusema tumefikia the point of no return?Dully Jr kwan na wewe bado unapigania top 4?