DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Muulize nyumbu atakupa jibu mubashara,Derby hustahili kushinda siyo? Hivi msimu kuna top 4 yoyote mmemfunga kweli?
Matakataka ni yale yanayopewa kipigo cha mbwa koko na vitimu vya midtableNanyie matakataka mnawazia big 4![]()
Acha kitonga wewe
Mnamtegemea man city apigwe ban ndio chelsea kucheza uefa
Pambana,
Chelsea ipo wapi mkuu???Mkuranga?au Kibandamaiti?Hapo kabla niliwahi kusema siasa zinaingizwa kwenye baadhi ya watu walipinga sana. Kuna baadhi ya mambo Chelsea inàfanya hayapewi kipaumbele kabisa wala husikii media zikisifia lakini jambo hilohilo lifanywe na timu za waingereza media zitapeperusha taarifa dunia nzima.
Chelsea tunahujumiwa sana lakini ndio ivyo hatuna la kufanya. Tulipofungiwa sisi hata hawakutaka tulipe fine then ban iondolewe. Wanajaribu kufanya mambo ambayo yatamrudisha nyuma mwekezaji akate tamaa aiuze timu lakini yule Mrusi anawakomalia.
Na hicho ndio kinachowatoa macho hawa raia, pambana mwenyewe usitegemee figisuAcha kitonga wewe
Mnamtegemea man city apigwe ban ndio chelsea kucheza uefa
Pambana,
Big 4?? au top 4??Big 4.
Liverpool
ManCity
ManUtd
Wolves.
*Naomba mtunze huu ujumbe*
Top 4Big 4?? au top 4??
Imenibidi nije niandike kidogo!
Chelsea alikutwa na Makosa
• Chelsea alipigwa Transfer Ban ya Two Windows
Mancity alikutwa na Makosa:
• Man City hakupigwa Transfer Ban
• Karuhusiwa kucheza UCL
• Lakini kapigwa Faini
Eti Hakuna ushahidi wa Makosa ya Man City! Lakini kapigwa Faini
Ndiyo tujuwe kuwa Ulaya Hujuma zipo
Mmeanza visingizio.Kweli siasa zinatukwamisha sana kutokana na mgogoro wa kidiplomasia kati ya urusi na uingereza.
Baada ya kila upande (urusi & England) kufukuza wanadiplomasia wake mpaka leo Roman hajakanyaga London, kaomba uraia wa Israel aingie uingereza bado wamemkatalia, ghafla inakuja ban ya kutosajili wamefukua makaburi ya miaka hiyo.
Hizo ni hujuma ambazo ziko waziwazi je zile za ndani ambazo mashabiki hatuzifahamu?
Chelsea tunapitia kipindi kigumu. Mungu amjaze Roman nguvu asiuze hii club.
Swadakta mkuuCity hajakutwa na hatia ya kukiuka kanuni za FFP ndio maana kifungo kimetenguliwa
Bali amekutwa na hatia ya kutotoa ushirikiano pale mamlaka zilipotaka kuichunguza ndio maana amepigwa faini
Ni kweli kuna kelele kuwa oil money zime influence uamuzi wa CAS
Ugurcan Cakir
Nimeangalia stats za huyu kipa msimu huu 2019/2020, kuanzia tarehe 8/8/2019 mpaka 8/7/2020 amecheza mechi 38.
37 za club
1 ya Taifa
Katika mechi 38 amefungwa magoli 40
Hapa kuna kipa kweli?



Overrated tu huyu,Onana
Msimu huu 2019/2020 amecheza mechi 24, amefungwa magoli 21, clean sheet 8View attachment 1505815
Tunaoumia ni sisi wenye mahaba na timu zetu. Nyumbu wanachekelea tu.Kweli siasa zinatukwamisha sana kutokana na mgogoro wa kidiplomasia kati ya urusi na uingereza.
Baada ya kila upande (urusi & England) kufukuza wanadiplomasia wake mpaka leo Roman hajakanyaga London, kaomba uraia wa Israel aingie uingereza bado wamemkatalia, ghafla inakuja ban ya kutosajili wamefukua makaburi ya miaka hiyo.
Hizo ni hujuma ambazo ziko waziwazi je zile za ndani ambazo mashabiki hatuzifahamu?
Chelsea tunapitia kipindi kigumu. Mungu amjaze Roman nguvu asiuze hii club.
Toka lini Chelsea ikabebwa na refa?Muulize nyumbu atakupa jibu mubashara,
Na wewe uliponea chupuchupu na mbeleko ya refa.
Nimeangalia stats zake kwenye who scored.com ana strengths nyingi tu pia ukiangalia highlights zake YouTube anasafiri kinoma( ingawa hata bakayoko ana clip Kali za YouTube) lkn anaonekana mzuri....huwezi jua labda anaangushwa na beki na timu yao ni ya pili ligi ya uturuki, cech maybe kaona potential kwa huyu kipaUgurcan Cakir
Nimeangalia stats za huyu kipa msimu huu 2019/2020, kuanzia tarehe 8/8/2019 mpaka 8/7/2020 amecheza mechi 38.
37 za club
1 ya Taifa
Katika mechi 38 amefungwa magoli 40
Hapa kuna kipa kweli?