Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Shida ya kupoteza game muhimu. Sisi tunaanza kuwaombea njaa wengineMan U wanatakiwa wafanyiwe kama Yanga jana
Shida ya kupoteza game muhimu. Sisi tunaanza kuwaombea njaa wengineMan U wanatakiwa wafanyiwe kama Yanga jana
Uongo mtupu, Chelsea sidhani kama wako tayari kumuuzia Conte kitu chochote kwa sababu ya bifu la kuipeleka timu mahakamaniConte anamtaka:-
Kante
Alonso
Giroud
Mosses (Mkopo kwa option ya kubuy permanent)View attachment 1505236
Nao ni unafiki, unasema hivyo hadharani ila wakifungwa furaha kubwa moyoniKweli mkuu, Hakuna kitu nachukia kama hicho kitu cha kuombea njaa wengine, ushabiki wa kijinga sana huo.
Sisi tunatakiwa tushinde mechi zetu muhimu bila kuangalia nani anashinda nini.
Liverpool wangekuwa wanaombea wengine njaa angebeba kombe? Liver alijiwekea malengo ya kushinda kila mechi anayocheza, kudraw au kufungwa iwe bahati mbaya.
Chelsea tushinde mechi zetu tuache mambo ya kupiga ramli
Daah kweli kabisa man. Lakini ndio hatuna namna leo Southampton amkazie Man watoke hata draw itakua ni faida kwetu.Kweli mkuu, Hakuna kitu nachukia kama hicho kitu cha kuombea njaa wengine, ushabiki wa kijinga sana huo.
Sisi tunatakiwa tushinde mechi zetu muhimu bila kuangalia nani anashinda nini.
Liverpool wangekuwa wanaombea wengine njaa angebeba kombe? Liver alijiwekea malengo ya kushinda kila mechi anayocheza, kudraw au kufungwa iwe bahati mbaya.
Chelsea tushinde mechi zetu tuache mambo ya kupiga ramli
Bifu na biashara vitu viwili tofautiUongo mtupu, Chelsea sidhani kama wako tayari kumuuzia Conte kitu chochote kwa sababu ya bifu la kuipeleka timu mahakamani
Kwani Chelsea wanamuhitaji mosses?Acha papara mbona wamempa Moses kwa mkopo
Sasa Tott utafananisha na westham na sheffield also known as Uniteds?Tot kwako ametumia nusu pakti. au hajatumia kbs?.





Umeparamia jamii forums vibaya ndg. Hata hujazoea umeshaanza kuwa na mdomo hivi je mkichukua ubingwa wa Europa?Hiyo siku mtasema bora Man City angefungiwa![]()
Conte atapewa wachezaji ambao Chelsea hawawahitajiAta kama hatumuitaji bado ni mchezaji wa Chelsea. Nimejibu kama jamaa alivyo andika
Sisi huyo Tottenham tumemtwanga nje ndaniSasa Tott utafananisha na westham na sheffield also known as Uniteds?![]()
Himj hatujawahi kupoa na hatupoi mzee,ile ilikuwa derby ya London ila hiyo ya Sheffield sijui ilikuwa nini?Arsenal jamani mbona wamekuwa wapole kama Yanga humu ndani



