Huyu Telles mnamuona vipi waungwana?
Haahaaa lkn tunaugulia tu sahvHahaha Niliangaliaga saves za Keppa youtube nikasema naam kipa tumepata Coutuos aondoke zake akajifie Madrid.
Huyo ni wa kutupa kwa dust bin.Huyu Telles mnamuona vipi waungwana?
Derby hustahili kushinda siyo? Hivi msimu kuna top 4 yoyote mmemfunga kweli?



Hana jeuri hiyo uyoAkikujibu unitaq![]()
Nilishajibu hili,mwambie akutag tenaAkikujibu unitaq![]()
Nilishajibu na wewe umeonaHana jeuri hiyo uyo
Vipi droo hujafurahiaKweli mkuu, Hakuna kitu nachukia kama hicho kitu cha kuombea njaa wengine, ushabiki wa kijinga sana huo.
Sisi tunatakiwa tushinde mechi zetu muhimu bila kuangalia nani anashinda nini.
Liverpool wangekuwa wanaombea wengine njaa angebeba kombe? Liver alijiwekea malengo ya kushinda kila mechi anayocheza, kudraw au kufungwa iwe bahati mbaya.
Chelsea tushinde mechi zetu tuache mambo ya kupiga ramli
Narudia nilichokiandika juzi jumapili, mbole imesambazwa kisawasawa na sasa mjini lazima tuheshimiane, wakirudi kwenye huu uzi mniambie nina salamu yaoBournemouth 4 LFC 1, bado tuko kwenye nafasi yetu
Kesho Manure anasambazwa kabisa na Southampton, watu wamesahau kuwa EPL mwishoni matokeo huwa ni Vice Versa
Sio timu ya dunia ..ni timu ya NYUMBUNyie takataka hamjui Kama team ya Dunia inacheza au mnajisahaulisha![]()
Yaan nilishangaa Tammy kamaliza ule mchezoIla lampard sometimes anatuzingua..zile sub zake za juzi hadi leo sijaelewa alikuwa anamaanisha nini
Taratibu inakuja kutimiaUkweli ni kwamba Leicester kubaki top 4 ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano na wakiweza lazima mtu afe na mmojawapo wa kutolewa kafara ni Manure
Sasa ninyi ndio mngetaka apigwe BAN si ndio?Acha kitonga wewe
Mnamtegemea man city apigwe ban ndio chelsea kucheza uefa
Pambana,
Umnejidanganya!Jidanganye
Nipe matokeoSouthampton tumekosa kesho ana goli 4
Wana bahatiMan U wanatakiwa wafanyiwe kama Yanga jana