Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1. Lampard anashindwa kupanga kikosi
2. Lampard anashindwa kufanya sub
3. Lampard anakosa ubunifu
4. Lampard mbinu zake ni dhaifu
5. Lampard anapendelea baadhi ya wachezaji
6. Lampard ameshindwa kuorganize wachezaji
7. Lampard ni mgumu kukubali ukweli
8. Lampard uwezo wake ni mdogo kuifundisha Chelsea.
Lampard ametufanya tuanze kuombea matokeo ya leicity ipigwe na Bournemouth kwa kweli tuna wakati mgumu hiki kipindi ....ila so far so good Bournemouth 2 levity 1 tunaomba ya endelea hivi
 
Lampard ametufanya tuanze kuombea matokeo ya leicity ipigwe na Bournemouth kwa kweli tuna wakati mgumu hiki kipindi ....ila so far so good Bournemouth 2 levity 1 tunaomba ya endelea hivi
Bournemouth 4 LFC 1, bado tuko kwenye nafasi yetu
Kesho Manure anasambazwa kabisa na Southampton, watu wamesahau kuwa EPL mwishoni matokeo huwa ni Vice Versa
 
Oyah, pambana na hali yako.
Hayo ya Manchester United kufungwa sahau, gali lisha waka lile
Bournemouth 4 LFC 1, bado tuko kwenye nafasi yetu
Kesho Manure anasambazwa kabisa na Southampton, watu wamesahau kuwa EPL mwishoni matokeo huwa ni Vice Versa
 
Bournemouth 4 LFC 1, bado tuko kwenye nafasi yetu
Kesho Manure anasambazwa kabisa na Southampton, watu wamesahau kuwa EPL mwishoni matokeo huwa ni Vice Versa
Southampton tumekosa kesho ana goli 4
 
Screenshot_20200712-213943_1594606374400.jpg
 
1. Lampard anashindwa kupanga kikosi
2. Lampard anashindwa kufanya sub
3. Lampard anakosa ubunifu
4. Lampard mbinu zake ni dhaifu
5. Lampard anapendelea baadhi ya wachezaji
6. Lampard ameshindwa kuorganize wachezaji
7. Lampard ni mgumu kukubali ukweli
8. Lampard uwezo wake ni mdogo kuifundisha Chelsea.
Mkuu Lampard angekua hivyo unavyosema tungekua tunashika nafasi ya 3 mpaka sasa? Mimi nadhani ni hasira tu kupoteza game katika kipindi ambacho ilitupasa kutopoteza.

Naweza sema kutokana na resources alizonazo Lampard amefanya kazi kubwa sana na anastahili pongezi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom