chilumendo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,241
- 3,939
mpira ndivyo ulivyo huwezi kushinda mechi zote mechi unayotoka droo inakufanya uongeze bidii ktk mechi inayofuata, lakini kwa ujumla tim yetu ni nzuri ingawa mechi ya jana kulikuwa individual mistake katika beki line ambazo zilitaka kutucost.
Timu yetu inacheza vizuri ukifananisha na tim tunazocheza nazo ndiyo maana tunatembea kifua mbele kwamba kombe halali yetu msimu huu
Timu yetu inacheza vizuri ukifananisha na tim tunazocheza nazo ndiyo maana tunatembea kifua mbele kwamba kombe halali yetu msimu huu