Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

mechi pekee ambayo tunatakiwa kucheza mpira wa maana na nguvu ni dhidi ya Southampton. hawa wengine kwenye ligi ni washiriki tu!
 
kwanza tuitazame game yeo maana chelsea vision ni kila timu iloko mbele yetu ni lazima ichapwe
 
Kuanzia leo najitaburisha ya kwamba mimi ni wana chelsea member!!
 
BIKRA INATOLEWA JMOSI,,,,ANDAENI MAJI YA MOTO.,,,ni ayo tu



Basi tumia lugha nzuri mkuu ata km ndio mambo ya Mpira Lkn upunguze ukali wa maneno....! Kuna Chelsea fans wengine hawawezi kuvumilia hizi lugha zako.....! Ni ushauri tu nimetoa...!

Btw, tunafahamu Ni kiasi gani mtakua mmejiandaa kucheza Mpira wa nguvu hasa mkizingatia vitu kadhaa.... Kwanza hamtaki tuwafunge tena hapo kwenu, na pili mnataka muwe wa kwanza kutufunga ktk msimu huu.... Lkn napenda mfahamu Kua mkijitahidi sn siku hiyo mtapata draw vinginevyo kichapo kiko palepale...!
 
Eehehehe una tafuta sare kwa Marboro?Nguvu ya soda ilikuwa mechi za kwanza sasa unaanza kukalishwa na unaanza Jmosi hii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom