Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,508
- 911,249
Thrilling match at Wigan where they are 3-2 up on Fulham, Shaun Maloneys 82nd minute goal the difference.
cjaelewa leo mbona Ivanovic kacheza wakati game na manyua alipewa red card ..........
Grand PA
cjaelewa leo mbona Ivanovic kacheza wakati game na manyua alipewa red card ..........
Grand PA
kwan.red kad ya inovenic c alipewa.kwenye league sasa inakuwaje inahesabiwa na mech ya capital one? nielewesheni.mazee
kwan.red kad ya inovenic c alipewa.kwenye league sasa inakuwaje inahesabiwa na mech ya capital one? nielewesheni.mazee
it was one game missing or two?
it was one game missing or two?
unapopewa red kadi ya moja kwa moja kama aliyopewa azplicueta au rooney mchezaji anamiss mechi 3 lakin kwa sheria ya sasa mchezaji akipewa kadi mbili za njano ktk mchezo mmoja ambapo maana yake ni red kadi mchezaji husika anamisi mech 1 .Ndiyo maana ivanovic alimiss mech ya capital one lakin leo amecheza.
Nadhani sheria ya zamani mchezaji alikuwa anamiss mechi 2 endapo atapewa kadi 2 za njano (red kadi) nadhani mdau mwenzangu wa the blues utakuwa umeshanipata.
THE BLUES FOREVER leo QPR walitaka kutusumbua lakini vijana wamefanya kazi ya ziada kuwanyamazisha wale qpr
kwa maana hiyo tukikutana watakaza ila wakifika kwa madogo lazima wapigwe.
I LOVE CHELSEA
uzuri tunakutana wakaze tuone kakaYap yap mkuu...! We si umeona Leo Loserfool kapigwa? Na game yetu na wao watajifanya kukaza sn...!
uzuri tunakutana wakaze tuone kaka
btw leo nilifurahi kumwona Drogba,nahisi uliona mambo yake.J5 tutakua na game ya UCL ugenini Kwao Marbor... Na uzuri ni kwamba ktk UCL uhakika wa kufuzu ktk hatua ya 16 upo mkubwa sn... Kwahiyo ktk kikosi kitakacho anza dhidi ya Marbor kitakua cha kawaida sn maana lengo tupate tu draw na si kufungwa! Ili tarehe 8 tuwe Vzr kuwapiga hawa lfc
btw leo nilifurahi kumwona Drogba,nahisi uliona mambo yake.
asante sana ila hazard awe mpigaji penalt wa chelsea jamaa fundi sana