Marbor ni team ya kushangilia kuifunga kweli?Kaa kwenye TV yako uone mechi ya ukweli ya MAJOGOO kesho!Eti Marbor ehehehehe
jamani tusitukanane. hakua haja ya kutukanana na vibonde. tutawapa point ambazo tayari washazipoteza nyingi viwanjani. tuwaache vibonde na vilio yao manake wana maumivu ya vingi
Mtu mzima huna busara?
wewe ulicheza na timu ya Bulgaria ukashinda 2-1 kwa shida..
tuache wenzio tule raha. Utakufa kwa wivu..
Huwa mna anza hivi hivi baadae huwa kwishney nyie kama mlivyo cheza hovyo na CL!
Frazier Campbell angekuwa makini angetupia 3 dakika 20 za kwanza!Nafasi kama zile Coutihno au Dan au Sterling hawezi kukuacha!
Ww nakupiga kiurahisi tu Anfield
Fabregas Kafananisha bodaboda na Range Rover SS hapo naona!
Messi akisoma habari hii atachukia sana nahisi!Huko ni kumvunjia heshima Messi bana
U r article makes me laugh,Why you crank up my ribs man?!Chelsea ya beki Cahil na Terry wanafikiria hata kucheza fainali CL?
This is more than a joke buddy!Mkivuka hata group stage mshukuruni Mungu
You are pushing me to the limit. this is my last warning to you friend.
kumbuka nyie kwenu LFC huwa mnakuwa wakali na hamtaki kukosolewa isipokuwa Mosdef;
wewe ndo umeanza mambo ya kukera; ungekuwa unaonge mpira usingekuja na kudharau ushindi wetu wa 6-0.
hata hivyo kumbuka BR ni mwanafunzi wetu.
pole kama nimekukwaza..lakini ukitulia tutaongea mpira; and u know me..
CHELSEA FC - THE BLUES.
hadi sasa:
Mechi 3 za UCL: D W W.
Mechi 8 za EPL: W W W W W D W W.
Mechi 1 ya CAPITOL CUP: W.
Hadi sasa CHELSEA FC imecheza mechi 12. bila kufungwa..MWANZO MZURI.
maneno ya kukera kutoka kwa mshabiki wa LFC.
BALOTELLI..
Malafyale unajua fika kuwa kwnye mechi kubwa ndio Chelsea hufaynyakweli. utashangaa Falcao siku hiyo atakavyokuwa galasa wala mipira haipati. So wala hatokuwa na madhara. Sanasana atashuka kusaidiana na beki zake! Manake hiyo presa ya Oscar, Willian, Hazard, Fabregas hawatoiweza Man U. Yani natamani siku ziruke tufike J2 kesho!
Shemeji nakusalimu..
Jana Cahill hakucheza kabisa na hii ni kutokana maandalizi ya game ya j2..!
Na Costa hakucheza kabisa...!