Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Alipiga shuti la kufunga goli na kafunga goli Lkn akawa kaumia kwa kuupiga huo mpira. Nafikiri ni nyonga au misuri ya paja Ndio shida!

Terry anaipatia Chelsea goli la 3 ilikua ni counter attack moja safi sn..!

Chelsea 3 Maribor 0.

Kweli nimeshangaa hii counter attack kuona aliyemazia ni Terry.
Ama kweli hii timu mwaka huu haitabiriki kabisa nikijumlisha na mambo ya Ivanovic...kweli sielewi ni beki au striker au midfielder au ni nani...kweli the blues mwaka huu ni sheeder!
 
Alipiga shuti la kufunga goli na kafunga goli Lkn akawa kaumia kwa kuupiga huo mpira. Nafikiri ni nyonga au misuri ya paja Ndio shida!

Terry anaipatia Chelsea goli la 3 ilikua ni counter attack moja safi sn..!

Chelsea 3 Maribor 0.

inamaana lemy baada ya kuumia alitolewa nje laa haya majanga sasa jumapili tutafanyaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom