Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Crystal Palace ilikua lazima nimfunge tu mkuu..! Wewe mwenyewe umeiona hiyo game jinsi nilivyokua nimewazidi kila kitu..! Alafu majembe yangu niliyapumzisha..!

Vp wewe QPR walivyokutoa jasho..???? Khe Khe Khe Khe..!

Kocha wangu alitereza kidogo kwa formation ya ajabu kipindi cha kwanza!!Lkn unaona alivyokuja na diamond tulivyo wapa shughuli QPR?

Wewe unaanza poteza points kwa Man U na mm nakuchapa saafi kabisa
 
by Ntuzu;

Hakuna kupoteza mpk game 10 ziishe....!




Mkuu Ntuzu hapo sikubaliani na wewe hata kidogo, hakuna kupoteza mechi yoyote msimu huu!
Tumepiga
Tunapiga
Tutapiga yeyote anayekuja mbele yetu!



Mkuu ata Mimi Nakubaliana na wewe kabisa..! Lkn kuna malengo ya kujitasimini baada ya game kiasi kupita..! Kwa mfano tulijaribu kuangalia hapo nyuma km hatutopoteza game ata moja ktk game kumi Za mwanzo basi tutakua ktk mazingira mazuri....na sasa tuko game ya 9 Ambayo tutakwenda kucheza OT. Kwahiyo mkuu tukishinda hizi kumi Za mwanzo basi tunaweka mikakati mingine tena..!

Nakubaliana na wewe kua Huu msimu tumezamilia kutokupoteza game ata moja hii kitu Mourinho ameisema kimtindo kwa kuwasifu Arsenal kwamba ktk msimu wa 2003 walimaliza ligi na kua mabingwa bila kufungwa na akasema hiki kitu hutokea ktk timu Mara moja baada ya miaka 50. Na akasema ni ngumu sn kumaliza ligi bila kupoteza game ata moja...! Lkn ukweli ni kwamba kwa wale wanaomfahamu Jose Vzr hiyo Ndio dhamira yake msimu Huu kumaliza ligi bila kufungwa..!
 
Last edited by a moderator:
Naamini kabisa kuwa Man U, hawezi, hataweza kutufunga kwao au kwetu. Hii ni fact. Tutakutana jumapili usiku baada ya game
 
Kocha wangu alitereza kidogo kwa formation ya ajabu kipindi cha kwanza!!Lkn unaona alivyokuja na diamond tulivyo wapa shughuli QPR?

Wewe unaanza poteza points kwa Man U na mm nakuchapa saafi kabisa


Hamna shughuli yoyote ile mliyowapa QPR Yani mmecheza hovyo kabisa..! Kipa wenu Yuko hovyo beki zenu ziko hovyo wafungaji wenu hovyo kabisa..! Muwashukiru QPR kujifunga magoli Lkn bila ya hivyo mlikua mnachapwa...!
 
Hamna shughuli yoyote ile mliyowapa QPR Yani mmecheza hovyo kabisa..! Kipa wenu Yuko hovyo beki zenu ziko hovyo wafungaji wenu hovyo kabisa..! Muwashukiru QPR kujifunga magoli Lkn bila ya hivyo mlikua mnachapwa...!

3-2 itabaki hivyo!!Hata kama refa ndiye angejifunga bado Majogoo wangeondoka na points 3 muhimu

Karibu uone Madrid anavyo kaa Anfield!!
 
Naamini kabisa kuwa Man U, hawezi, hataweza kutufunga kwao au kwetu. Hii ni fact. Tutakutana jumapili usiku baada ya game



Huyu Malafyale anajifurahisha tu..!

Jana Man Utd kapata suluhu na WBA kwa tabu sn..! Liverpool majuzi kashinda kwa QPR kwa bahati..ukiwaaangalia hizi timu sioni km ni pinzani kwetu hasa kutokana na kiwango chao..!

Mimi naifatilia sn Man City kila game Yao huku nikiitathimini namna inavyocheza..! Hawa city Ndio watatupa changamoto ktk ligi msimu Huu..! Maana ata wao pia wako makini na kila game wanaipa umuhimu wa kushinda..sio Liverpool au Arsenal au Man Utd. Man City Ndio adui yetu mkubwa Huyu.
 
Last edited by a moderator:
Huyu Malafyale anajifurahisha tu..!

Jana Man Utd kapata suluhu na WBA kwa tabu sn..! Liverpool majuzi kashinda kwa QPR kwa bahati..ukiwaaangalia hizi timu sioni km ni pinzani kwetu hasa kutokana na kiwango chao..!

Mimi naifatilia sn Man City kila game Yao huku nikiitathimini namna inavyocheza..! Hawa city Ndio watatupa changamoto ktk ligi msimu Huu..! Maana ata wao pia wako makini na kila game wanaipa umuhimu wa kushinda..sio Liverpool au Arsenal au Man Utd. Man City Ndio adui yetu mkubwa Huyu.

Huwa mna anza hivi hivi baadae huwa kwishney nyie kama mlivyo cheza hovyo na CL!

Frazier Campbell angekuwa makini angetupia 3 dakika 20 za kwanza!Nafasi kama zile Coutihno au Dan au Sterling hawezi kukuacha!

Ww nakupiga kiurahisi tu Anfield
 
Last edited by a moderator:
3-2 itabaki hivyo!!Hata kama refa ndiye angejifunga bado Majogoo wangeondoka na points 3 muhimu

Karibu uone Madrid anavyo kaa Anfield!!


Moja ya sababu ya kucheza hovyo juzi kwa QPR ni kucheza huku wachezaji wakiiwaza Madrid......Khe Khe Khe Khe na hii itakua Ndio sababu msimu Huu ktk EPL msifanye Vzr labda mkitolewa kwenye CL basi mtafanya Vzr EPL......!
 
Naamini kabisa kuwa Man U, hawezi, hataweza kutufunga kwao au kwetu. Hii ni fact. Tutakutana jumapili usiku baada ya game

Mkuu nipo Mabibo sema wapi nikuletee kreti nzima ya Serengeti uniunge mkono baada ya game kusherehekea ushindi wa Man U Jumapili?Mtalisukuma kurudi zenu Darajani ehehehe Ntuzu agosti 8 kalon Mentor
 

Attachments

  • 1413872728646.jpg
    1413872728646.jpg
    10.2 KB · Views: 154
Last edited by a moderator:
Huwa mna anza hivi hivi baadae huwa kwishney nyie kama mlivyo cheza hovyo na CL!

Frazier Campbell angekuwa makini angetupia 3 dakika 20 za kwanza!Nafasi kama zile Coutihno au Dan au Sterling hawezi kukuacha!

Ww nakupiga kiurahisi tu Anfield



Msimu uliopita mlikua Vzr kiasi na mlishindwa kunifunga game zote mbili...na Chelsea Ndio iliyokuharibia ndoto zako Za kua bingwa msimu uliopita... Sasa safari hii huna maforward wazuri wa kiwango cha Suarez utanifunga kwa njia gani?

Yani kwa LFC sina hata plesha kabisa.... Najua nakufunga nitakavyo.!
 
Mkuu nipo Mabibo sema wapi nikuletee kreti nzima ya Serengeti uniunge mkono baada ya game kusherehekea ushindi wa Man U Jumapili?Mtalisukuma kurudi zenu Darajani ehehehe Ntuzu agosti 8 kalon Mentor


Aiseee jamaa hawataki mafuta yatumike bora wasukume Gari wao....! Safi sn. Huko Ndio kupenda timu...!
 
Last edited by a moderator:
Diego atapumzishwa mpaka next Sunday. kuna malengo mawili hapo. Akutane na Man U akiwa na kiu ya kucheza na usongo wote uwaishie Man U. Hatochezeswa J4 ijayo for the same reason. nawahurumia Man U. Sidhani kama ingekuwa choice yao wakutane na Chelsea saa hizi. wangeweza kuisogeza ratiba wangeshukuru sana. Poleni mashetani but the here are the blues....here is the champion coming!

Naona unabekwea ndani ya geti...
 
Kocha wangu alitereza kidogo kwa formation ya ajabu kipindi cha kwanza!!Lkn unaona alivyokuja na diamond tulivyo wapa shughuli QPR?

Wewe unaanza poteza points kwa Man U na mm nakuchapa saafi kabisa




UNAJISIFU WA LIPI? MLICHEZA HOVYO MECHI NA QPR.ni ujinga wao tu wamejifunga magoli 2. Nyie vijogoo tu.
 
Malafyale jipe moyo ndugu yangu wakati kocha wako keshakiri kuwa timu imerudi nyuma vibaya kwa kuondoka kwa Suarez. Hakuna cha kuteleza hapo. Hilo ni sikio la kufa. jipange tu kurudi kuleee ulikokuzoea kwa sasa. kuanzia nafasi ya 7 - 12. chagua moja






Kocha wangu alitereza kidogo kwa formation ya ajabu kipindi cha kwanza!!Lkn unaona alivyokuja na diamond tulivyo wapa shughuli QPR?

Wewe unaanza poteza points kwa Man U na mm nakuchapa saafi kabisa
 
wewe huna akili.


Huwa mna anza hivi hivi baadae huwa kwishney nyie kama mlivyo cheza hovyo na CL!

Frazier Campbell angekuwa makini angetupia 3 dakika 20 za kwanza!Nafasi kama zile Coutihno au Dan au Sterling hawezi kukuacha!

Ww nakupiga kiurahisi tu Anfield
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom