Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

chelsea wametangaza kuwa CEO Ron Gounlay amemaliza muda wake aliokaa hapo stamford bridge kwa miaka kumi akianza kama chief operating officer....ameiweza chelsea kufanikiwa kwenye deals nyingi za klibiashara ikiwemo ya adidas kwa pauni mil 300 sasa mikoba ataichukua kwa muda mwanadada Marina Granovskia huyu binti alikuwa PA wa the Boss Abromovich na mwaka jana alipanda cheo na ndiye alimpatia contract Terry asign kiufupi ukimess up na huyu bidada your are finished Abromovic anampenda kama hela
 
Mkuu dozi yako yaja j2. Hizi siku 5 sijui zitapitaje fast

Naona jukwaa limejaa kutokana na hali kuwa nzuri hapo darajani hadi sasa….jukwaa hili ubaki bageshi Ntuzu pekee yake…endeleeni kufurahia...
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni mfungaji Mimi nimfungaji wa magoli ya mbali,wa magoli ya mbali,Mimi naona neti,mimi naona neti kwa mashuti makali,mashuti makali *2.


Morinho anasema wote kimya,atakayonena hapa yatamgusa anayejua mpira,

Hapo ulipo,kama we man u kwanini
Ushindi uwepo,mechi zote draw na Chelsea NNE ziro lazima iwepo.

Unayedhani darajani utashinda tunakuweka kapuni,kama Liverpool tuliwaweka kapuni.

Arsenal tuliwafunga-- haipendezi
Man city tuliwakimbiza --haipendezi
Timu zote chali --haipendezi.

Mashabiki ya nini kujifariji,.
Wakati Chelsea inapeta hadi jijini
 
Kaka tumeviona vijogoo vikifundishwa jinsi ya kucheza mpira. una la kusema? najua hukosi cha kusema....si unajua debe tupu linavyopia makelele?

Nakukaribisha kwenye nusu fainali ya karne: Bayern, Barcelona, Chelsea na Real Madrid. achana na vijogoo

Marbor ni team ya kushangilia kuifunga kweli?Kaa kwenye TV yako uone mechi ya ukweli ya MAJOGOO kesho!Eti Marbor ehehehehe
 
Asante kwa pongezi na yes tutaendelea kufurahia. Ntuzu? avumaye baharini papa lkn .... Lkn kwa vile he sky is blue na ww huna choice bali kuishi kwenye hili hili anga blue, basi nakukaribisha darajani. toa huo uzi wa blue nikutupie jezi ya blue sasa hivi upendeze. Umewahi kumwona mtu amechukiza akipiga uzi wa true blue?


Naona jukwaa limejaa kutokana na hali kuwa nzuri hapo darajani hadi sasa….jukwaa hili ubaki bageshi Ntuzu pekee yake…endeleeni kufurahia...
 
Mimi ni mfungaji Mimi nimfungaji wa magoli ya mbali,wa magoli ya mbali,Mimi naona neti,mimi naona neti kwa mashuti makali,mashuti makali *2.


Morinho anasema wote kimya,atakayonena hapa yatamgusa anayejua mpira,

Hapo ulipo,kama we man u kwanini
Ushindi uwepo,mechi zote draw na Chelsea NNE ziro lazima iwepo.

Unayedhani darajani utashinda tunakuweka kapuni,kama Liverpool tuliwaweka kapuni.

Arsenal tuliwafunga-- haipendezi
Man city tuliwakimbiza --haipendezi
Timu zote chali --haipendezi.

Mashabiki ya nini kujifariji,.
Wakati Chelsea inapeta hadi jijini

Kwa mujibu wa sheria za patent rights umeiba kazi za msanii wa Morogoro Afande Sele "Baba Tunda" na kuzifanya kama ni kazi zako!Kijana utafungwa kama utaendelea kutumia kazi za watu bila ku cite ni wapi na nani mwenye kazi hii!!

Kuimba kote huku sababu umemfunga Marlboro jana?
 
10727577_501553256614264_751862782_n.jpg
mtu mzima the captaiiiiiin, na Dogo Dominik solanke, then and now hahahahaha
 
Kwenye kundi lenu; msipochangamka mtatoka raundi ya kwanza. Poleni saana LFC. tunakuja kwenu mwezi ujao.


Kwa mujibu wa sheria za patent rights umeiba kazi za msanii wa Morogoro Afande Sele "Baba Tunda" na kuzifanya kama ni kazi zako!Kijana utafungwa kama utaendelea kutumia kazi za watu bila ku cite ni wapi na nani mwenye kazi hii!!

Kuimba kote huku sababu umemfunga Marlboro jana?
 
Kwa mujibu wa sheria za patent rights umeiba kazi za msanii wa Morogoro Afande Sele "Baba Tunda" na kuzifanya kama ni kazi zako!Kijana utafungwa kama utaendelea kutumia kazi za watu bila ku cite ni wapi na nani mwenye kazi hii!!

Kuimba kote huku sababu umemfunga Marlboro jana?

Kaka Chelsea raha sana,mtafurahi wakati timu zenu stress.teh teh
 
imetangazwa Diego Costa hatocheza j2. pamoja na harmstring, amepata pia groin injury na hivi karibuni alikuwa na mysterious stomach bug. so Man U wamepunguza goli 2. goalscore baada ya 94 mins itasoma Chelsea 2 Man U 0. Ingekuwa 4-0 kama Costa angecheza!
 
hilo ni kundi la watu, au niseme wachezaji...lkn sio timu. sisi tunafanya vizuri sio kwa vile tuna wachezaji wazuri pekee...bali wanacheza kama timu. Man U hamjafika huko bado. kila mtu anatumia kipaji chake
 
Washabiki wa hii timu ya Ubungo (yanapopaki mabasi) wanaichukulia poa sana kama sio kiurahisi game yao pale OT.
Dakika 90 zitawashangaza wengi na bado nafikiria jukwaa lipi nijivinjari siku hiyo.... Humu kuwaona vile mnalia au niwepo nyumbani nikisaidiana na Nzi & Bulldog kuokota mipira langoni mwa Čech
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Nzi
Washabiki wa hii timu ya Ubungo (yanapopaki mabasi) wanaichukulia poa sana kama sio kiurahisi game yao pale OT.
Dakika 90 zitawashangaza wengi na bado nafikiria jukwaa lipi nijivinjari siku hiyo.... Humu kuwaona vile mnalia au niwepo nyumbani nikisaidiana na Nzi & Bulldog kuokota mipira langoni mwa Čech



Mbona unapata tabu mkuu?

Sisi tunakuja OT bila Shaka wewe unapaswa kukaa ktk Uzi wako kule na sisi tutakuja....!

Km Mimi tayari nimeshaweka kambi kwenu kitambo tu......!

Leo ni ijumaa, kesho ni jumamosi na keshokutwa ni j2 siku ya game....!
 
Last edited by a moderator:
Washabiki wa hii timu ya Ubungo (yanapopaki mabasi) wanaichukulia poa sana kama sio kiurahisi game yao pale OT.
Dakika 90 zitawashangaza wengi na bado nafikiria jukwaa lipi nijivinjari siku hiyo.... Humu kuwaona vile mnalia au niwepo nyumbani nikisaidiana na Nzi & Bulldog kuokota mipira langoni mwa Čech

umenena vyema dakika 90 zitashangaza...sijui kama man u ameshawahi kufungwa goli 7-1 trafford...hakika siku yenyewe imefika
 
Last edited by a moderator:
Mbona unapata tabu mkuu?

Sisi tunakuja OT bila Shaka wewe unapaswa kukaa ktk Uzi wako kule na sisi tutakuja....!

Km Mimi tayari nimeshaweka kambi kwenu kitambo tu......!

Leo ni ijumaa, kesho ni jumamosi na keshokutwa ni j2 siku ya game....!

Karibuni ila msije poteana hali ikiwa sivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom