Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

"The three-goal margin of victory equalled our best ever wins at Goodison Park, 3-0 successes in 1908 and 1956. The most goals we had scored in the blue half of Stanley Park prior to Saturday was four, when Gordon Davies inspired us to a 4-3 win in December 1984."
source: CHELSEA FC WEBSITE.
 
Yametimia:

kijana ataenda kwa mkopo AC MILAN..

1409562288360_wps_65_Van_Ginkel_PNG.jpg




1409527817160_wps_24_Chelsea_FC_via_Press_Asso.jpg



Kuna dalili huyu kijana wetu MARCO VAN GINKEL ataenda kwa mkopo MILAN..

ngoja tusubiri tuone..
 
sidhani, nafikiri SALAH ana namba..
VAN GINKEL ilibidi aende kwa sababu ametoka kupana hivi majuzi, sasa apate muda wa kucheza ila atarudi huyu kijana muhimu sana.


Mkuu nina mashaka nahisi kama Salah atafanywa mkopo,ila Mou is bright
 
liverpool 'thinking' KOLO TOURE ni bora kuliko DANIEL AGER.:A S 109:

Hapana bana, Ager anataka kucheza kila weekend hayupo tayari kukalia bench ndio maana mwenyewe aliomba kuruhusiwa aondoke tofauti na Kolo ambaye anajijua ni maji ya jioni na yupo happy tu kukalia bench
 
mkuu Viol; Mo Salah alikuwepo kwenye mipango ya kocha. hata jumamosi tulipoenda kufanya fujo pale kwa Everton alikaa benchi. inamaanisha kwamba kocha bado ana mipango naye.

jambo la pili ni kwamba huyu kijana alisajiliwa na Mou mwenyewe, kama tu Schurrle. wachezaji ambao Mou anasajili mwenyewe huwa hawatupi.

Nikupe mfano: Essien alimsajili mwenyewe..ndo maana alipofulia alimchukua akawa anamtumia pale Real Madrid kama beki wa kulia.
Didier Drogba alimsajili mwenyewe..

yeye Mourinho akikuamini akakusajili..basi utulie utapata namba. Lakini kama hatakuwa na uhakika wa kumpanga anaweza kumpeleka kwa mkopo. lakini sijasikia popote kwamba SALAH ataondoka...jamaa ni mchezaji muhimu sana kwa CHELSEA FC.


salahsub.png
 
habari za masiku mkuu Mourinho? ha haha umepotea sana bhana..vipi maisha pale Juventus? naona amani imerejea angalau kidogo..


SALAH haendi popote nilikuwa naongea na mkuu Viol kuhusu hilo jambo..nadhani umeona hiyo post yangu..

kaka unaona mziki wetu lakini??? tulienda kufanya fujo kwa Everton..sasa kila mtu amehamaki hapa kwenye ligi yetu..:A S-eek:


Kwanini Salah apelekwe kwa mkopo wakati kitendawili cha foreign players kimetatuliwa na mkopo wa Van Ginkel?
 
Mohamed Salah have revealed in an interview on Egyptian TV this weekend just how he came to join Chelsea from FC Basel last season.

The 22-year-old joined the Blues for £11m in January, and Salah has now gone on the record about the exact details of how the deal came to pass.
According to the winger, Chelsea boss Jose Mourinho messaged him and then called him to discuss the potential move, however Salah missed the Special One's phone call, and because he had no credit on his mobile he was unable to call Jose back.
Instead, the Egyptian star logged onto WhatsApp in order to make contact with the Chelsea gaffer, and from there two manager and player hashed out the details of his contract at Stamford Brodge.




Mkuu nina mashaka nahisi kama Salah atafanywa mkopo,ila Mou is bright
 
habari za masiku mkuu Mourinho? ha haha umepotea sana bhana..vipi maisha pale Juventus? naona amani imerejea angalau kidogo..


SALAH haendi popote nilikuwa naongea na mkuu Viol kuhusu hilo jambo..nadhani umeona hiyo post yangu..

kaka unaona mziki wetu lakini??? tulienda kufanya fujo kwa Everton..sasa kila mtu amehamaki hapa kwenye ligi yetu..:A S-eek:

Me bukheri wa afya Mkuu, amani kule Turin itarudi dirisha la usajiri litakapofungwa, bado nina kitete hapa.
Match yenu na Everton ilikua poa with unusual scores na mlikua na kwikwi kwenye defense, Azpilicueta kama kadrop form na JT umri umeanza kucatch with him. Napenda siku moja kuona back four ya Azplicueta (RB) Luis (LB) Cahill na Brana wapige kati, halafu kwenye match tafu kama ya juzi mnamuhitaji sana Mikel kumsaidia Matic kwenye shughuli za ulinzi. So far Brana, Matic, Ramires na Costa walikua na game nzuri sana against The Toffees
 
kaka tunaipenda Chelsea, lakini kwenye udhaifu lazima tusema, defence jana haikuwa makini kaka, na hiyo ni alert / warning sign, ndio tumewafunga goal sita, lakini tumepigwa tatu na si kawaida ya Chelsea kufungwa goli za kihivyo, kuna kujisahau au kupoteza concentration kwa mabeki wetu jana, Goal la Etoo liliniuma sana jana

we jamaa kweli kituko...kila unapoiongelea chelsea na wewe unajiinclude...whats wrong with u!?

Azip ni mzuri lakini sijuhi kwa nini Mou hajatafuta competent fulbackleft anayetumia mguu wa kushoto, tuna mashindano mengi, mechi nyingi kwa back inavyoenda bila kuwa na umakini na kuachia magoli ya kizembe tutakuja lia humu

luis felipe ameletwa kucover position gani...uchizi wako peleka milembe uko
 
habari za masiku mkuu Mourinho? ha haha umepotea sana bhana..vipi maisha pale Juventus? naona amani imerejea angalau kidogo..


SALAH haendi popote nilikuwa naongea na mkuu Viol kuhusu hilo jambo..nadhani umeona hiyo post yangu..

kaka unaona mziki wetu lakini??? tulienda kufanya fujo kwa Everton..sasa kila mtu amehamaki hapa kwenye ligi yetu..:A S-eek:
Uzuri ni kwamba msimu uliopita timu ndogo ndo zilikuwa zinatukwamisha,ila sasa kila mtu anapata kichapo chake,Mou anajielewa sana,wengi walimshangaa sana ligi ilipoisha akaanza kuuza na kusuka timu walidhani asingeweza kusuka kikosi kama ile iliyopita.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom