Loic Remy katua chelsea kwa kandarasi ya miaka minne.....welcome Loic To the champions
Loic Remy katua chelsea kwa kandarasi ya miaka minne.....welcome Loic To the champions
BBC Sport - Jose Mourinho upset by Chelsea defending in 6-3 win over Everton
haya kaka soma hapo ndio uridhike, nililiongelea hili na Mou kaongea the same, nadhani sasa ndio utaamini,
@Agost 8, Ntuzu
mkuu Ntuzu, nimerudi kwa muda mfupi kabla sijaenda kuangalia mechi ya SPURS v LIVERPOOL naomba jambo moja.
CHELSEA FC THREAD isilale njaa; kwa hali hii ya ushindi wa kishindo jukwaa litaendelea kuchangamka.
Nimefurahi kwamba MOURINHO ananielewa..Oscar na Schurrle wamepumzika lakini mechi ijayo wakirudi watarudi kwa kishindo kizito sana. Mabata wa Swansea watajuta kutujua..
CHELSEA FC timu hii imetimia aisee...:hail:
kaka all in all tuna shida kidogo nyuma, Mourinho katengeneza timu vizuri sana attacking midfields na striking force, lakini alijisahau kidogo kuimarisha ukuta kama kawaida yake, kwa mtazamo wangu mimi kila siku naona Cahill na Terry ni mtu mmoja, yaani wote ni wachezaji wa mwisho na hawako compatible kabisa ila uzoefu tu, Chelsea ilipaswa kutafuta beki namba nne ili Libelo awe Terry au Cahill,
Azip ni mzuri lakini pia sio reliable sana kwenye hiyo namba, yeye ni natural fulback right Ok tunacheza vizuri lakini precaution ni muhimu sana
hope next game Petre Czech atachezeshwa
Hakuna tatizo ktk safu ya ulinzi wa chelsea hasa kwa mfumo wa juzi tulivyocheza.
mkuu Ntuzu kweli beki ni nzuri,ila kwa jinsi magoli yalivyokuwa yanarudishwa ndani ya sekunde mi nafikiri beki ililega kidogo. Na kuhusu azp kucheza kushoto huyo dogo anapiga kazi kushinda hata original left back "respect" ..........
Grand PA
unavyoandika unajifanya analytical kumbe kanjanja tu...toka lini cahill akacheza ka namba 5 mkuu!?labda ungesema phase yake cahill or both (plus terry)zimeshuka but sio iyo hoja ya namba 5 n 4.... tafakari tena about hili...
ilo la cesar naweza kukusupport kisogo but currently kwa beki za pembeni azpi ni among ka sio wa juu kabisa wanaopewa rating kubwa...wat can be do ni kumrudisha yeye namba 2....felipe aanze 3 n ivanovic asubiri au uchezeshwe namba 4 alongside terry(ii najua u will be happy with it japo unaweza subiri msimu mzima usilione likifanyika)
afu u better start tryn 4rget about cech ka we ni chelsea fan(about startng in first xi...)if u not one then go to hell
ukitaka kushambulia muda wote lazima magoli mengine yataponyoka tu mkuu Grand PA, lakin timu yetu ni nzuri sana...
Kaka huwezi kunizuia kuja humu, nilianza kuingia humu kabla yako, na nina uhuru wa kusema ninachokiona, nisiwatafutie Ban wewe na nani?, mkiitaji kukosolewa wewe na nani?,
kupanga majumu ya kuendesha hii thread ndio nini?, mbona una mambo ya kitoto kwenye kitu cha Jumuiya, hivi kweli unaweza kumwambia mtu asiingie humu kwa sababu yuko against na wewe?
Chelsea Mou (Fly Emirates na Samsung) utawajua tu, hakuna mtu wa Darajani hasa mwenye itikadi kama yako
Mkuu hichi kitu nimekisema hapo nyuma kwamba ukiwa unashambulia sn lazima na wewe mazara yakukute. Lkn naona watu hawaelewi.
Kwa game ya juzi tulikua na kusudi la kushambulia sn na ndio yote yaliyotokea hayo.
sijaelewa ajenda ya mkuu Kituko; yeye ni shabiki wa timu hii au yeye ni mkosoaji tu? sielewi hata kidogo lengo lake..
ajabu sana.:A S-eek:
Ktk timu kuna mambo mengi sn. Nitatoa mfano, wiki iliyopita ilijulikana Costa kaumia na atakua nje kwa wiki 6. Lkn juzi kacheza km so mind game ni nini ilikua juu ya Costa? Leo hii Mourinho kuonakena kutokufurahishwa na beki zake ni mind game tu coz mfumo wa chelsea siku zote ni kujilinda kwanza. Mpira una contain mambo mengi sn.