unavyoandika unajifanya analytical kumbe kanjanja tu...toka lini cahill akacheza ka namba 5 mkuu!?labda ungesema phase yake cahill or both (plus terry)zimeshuka but sio iyo hoja ya namba 5 n 4.... tafakari tena about hili...
ilo la cesar naweza kukusupport kisogo but currently kwa beki za pembeni azpi ni among ka sio wa juu kabisa wanaopewa rating kubwa...wat can be do ni kumrudisha yeye namba 2....felipe aanze 3 n ivanovic asubiri au uchezeshwe namba 4 alongside terry(ii najua u will be happy with it japo unaweza subiri msimu mzima usilione likifanyika)
afu u better start tryn 4rget about cech ka we ni chelsea fan(about startng in first xi...)if u not one then go to hell
Wana wa Darajani!!
Wakuu it has been announced officially that mwaka huu mpinzani wetu mpya ni Man U baada ya kuja Falcao!!
kwa hiyo title race ni Majogoo wa Anfield,Man City na Man U
Nyie mtagombea na Arsenal nafasi ya 4 lkn nawapa nyie chapuo kuchukua nafasi hiyo kwa goal difference
agosti 8 Ntuzu
Wana wa Darajani!!
Wakuu it has been announced officially that mwaka huu mpinzani wetu mpya ni Man U baada ya kuja Falcao!!
kwa hiyo title race ni Majogoo wa Anfield,Man City na Man U
Nyie mtagombea na Arsenal nafasi ya 4 lkn nawapa nyie chapuo kuchukua nafasi hiyo kwa goal difference
agosti 8 Ntuzu
Wana wa Darajani!!
Wakuu it has been announced officially that mwaka huu mpinzani wetu mpya ni Man U baada ya kuja Falcao!!
kwa hiyo title race ni Majogoo wa Anfield,Man City na Man U
Nyie mtagombea na Arsenal nafasi ya 4 lkn nawapa nyie chapuo kuchukua nafasi hiyo kwa goal difference
agosti 8 Ntuzu