HUYU MDAU ANAYEITWA KITUKO?
hakuna kitu kama hicho hapa CHELSEA FC. wachezaji wetu wanapangwa kulingana na adui..RAMIRES alicheza jana kwa sababu alihitajika kupasua ukuta imara wa kiungo cha EVERTON ..
Kipa alicheza vizuri..Everton ni timu nzuri lakini bado ina pointi 2.
Liverpool pia ina pionti 3.
sasa hizi timu za mji mmoja ukijumlisha pointi zao hazifiki kwa CHELSEA...hata ukiongeza na pointi 2 za MAN - UROJO bado hazifiki.
MAN UTD = POINTI 2.
EVERTON = POINTI 2.
LIVERPOOL=POINTI 3.
TOTAL POINTS = 7.
:A S-eek::A S-eek::A S-eek::A S-eek:
hakuna kitu kama hicho hapa CHELSEA FC. wachezaji wetu wanapangwa kulingana na adui..RAMIRES alicheza jana kwa sababu alihitajika kupasua ukuta imara wa kiungo cha EVERTON ..
Kipa alicheza vizuri..Everton ni timu nzuri lakini bado ina pointi 2.
Liverpool pia ina pionti 3.
sasa hizi timu za mji mmoja ukijumlisha pointi zao hazifiki kwa CHELSEA...hata ukiongeza na pointi 2 za MAN - UROJO bado hazifiki.
MAN UTD = POINTI 2.
EVERTON = POINTI 2.
LIVERPOOL=POINTI 3.
TOTAL POINTS = 7.
:A S-eek::A S-eek::A S-eek::A S-eek:
Nimeona kuna mdau anatoa hoja ya Petr kucheza game ijayo na sion sababu ya kufanya hvyo.