Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

article-0-00A7863B000004B0-1000_634x385.jpg


fa cup final 2007..

goli la ushindi la Didier Drogba ndani ya Wembley Stadium



Drogba ndio alifunga goli la kwanza ktk uwanja mpya wa New Wembley
 
Huwezi ukawemo hata kwenye top 4 kwa beki urojo kama hizi!Goli la kwanza beki Chelsea imezidiwa nguvu angani;goli la 2 ndiyo easiest one kwa one-two backline inakodoa macho tu!

Goli la Eto'o hata Yanga wangeokoa kapiga free header!Chelsea ni majanga
 
THANK YOU CHELSEA

KAMA NILIVYOSEMA KWAMBA LEO TUNGESHINDA ZAIDI YA MAGOLI 2 IMETIMIA KABISA.
DIEGO COSTA IS BETTER THAN SANCHEZ OF ARSENAL.

CC.Mentor, Ntuzu, viol, all chelsea fans.



Hahaaaaaa

Mkuu bado unamkumbuka tu yule kikaragosi Sanchez wa Arsenal?


Wewe ukiona mchezaji kasajiliwa na Mourinho fahamu hiyo ni mashine ya chuma cha pua.
 
Huwezi ukawemo hata kwenye top 4 kwa beki urojo kama hizi!Goli la kwanza beki Chelsea imezidiwa nguvu angani;goli la 2 ndiyo easiest one kwa one-two backline inakodoa macho tu!

Goli la Eto'o hata Yanga wangeokoa kapiga free header!Chelsea ni majanga




Hahahaaaaaa

Uliyokua ukiombea hayajatimia sasa umebaki kupiga kekele tu.


Juzi ulipokua Etihad beki zako zilivurunda kabisa za kati na za pembeni mpk mkapigwa goli tatu.


Na bado leo uko na Spurs lazima upigwe nikuache point 6 km mwenzako Man Utd nilivyo muacha point 7 yani tayari mmeshajishusha wenye kabla sijakutana na nyie. Yani hamnipi tabu ktk mbio za kuwania ubingwa mpk sasa

Mi namfiikiria Man City na Arsenal lkn so LFC na Man Utd
 
Hahahaaaaaa

Uliyokua ukiombea hayajatimia sasa umebaki kupiga kekele tu.


Juzi ulipokua Etihad beki zako zilivurunda kabisa za kati na za pembeni mpk mkapigwa goli tatu.


Na bado leo uko na Spurs lazima upigwe nikuache point 6 km mwenzako Man Utd nilivyo muacha point 7 yani tayari mmeshajishusha wenye kabla sijakutana na nyie. Yani hamnipi tabu ktk mbio za kuwania ubingwa mpk.

Mi namfiikiria Man City na Arsenal lkn so LFC na Man Utd

kaka all in all tuna shida kidogo nyuma, Mourinho katengeneza timu vizuri sana attacking midfields na striking force, lakini alijisahau kidogo kuimarisha ukuta kama kawaida yake, kwa mtazamo wangu mimi kila siku naona Cahill na Terry ni mtu mmoja, yaani wote ni wachezaji wa mwisho na hawako compatible kabisa ila uzoefu tu, Chelsea ilipaswa kutafuta beki namba nne ili Libelo awe Terry au Cahill,

Azip ni mzuri lakini pia sio reliable sana kwenye hiyo namba, yeye ni natural fulback right Ok tunacheza vizuri lakini precaution ni muhimu sana

hope next game Petre Czech atachezeshwa
 
Kwa beki hizi Chelsea atakuwa wa 5!

Mkuu hiyo nafasi ya Tano unaiongelea Liverpool au Chelsea hii hii ya Morinho?
Chelsea ni kitu kingine ndugu subiria siku tukikutana uje uonges hapa baada ya Costa kumaliza kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom