Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,242
- 1,429
Nadhani hapo tutakuwa pia tumetimiza sharti la kupunguza nchezaji mmoja wa kigeni!!!
kwani lilikuwa linatubana hatabaada ya kuondoka V.Moses
Nadhani hapo tutakuwa pia tumetimiza sharti la kupunguza nchezaji mmoja wa kigeni!!!
vigezo vya medical ni kama nini?
Kiukweli timu ambayo mimi km shabiki wa gunners naihofia hakuna kama Chelsea!
Tukifungwa tena 8 bila shaka itakuwa nikutoka timu hii!
......#Mnatusengenya huku ee?!
Nadhani hapo tutakuwa pia tumetimiza sharti la kupunguza nchezaji mmoja wa kigeni!!!
kwani lilikuwa linatubana hatabaada ya kuondoka V.Moses
Nadhani hapo tutakuwa pia tumetimiza sharti la kupunguza nchezaji mmoja wa kigeni!!!
Umesoma wapi hiyo? I thought haturuhusiw kusajili any more out country player na kama sikosei Loic ni French!??
Costa cleared fit to face Everton!!
Mna bahati sana maana team yenu ilivyo depleted angeumia huyu mngekuwa wa 5 May 15
Ndo habari ya mujini hiyo.
If not, watamsajili striker gani ambaye siyo foreigner?
Au strikers watakuwa wawili tuu?
Chelsea open talks with Loic Remy after Fernando Torres agrees to join AC Milan on two-year deal - Telegraph