Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

costa isijekuwa kama yale ya atletico mwishoni mwa msimu ulioisha,, kama ana majeruhi mi nadhani asicheze ili kumuepusha na uwezekano wa kuumia zaidi. tulinde wachezaji wetu
 
TAARIFA RASMI KUTOKA CHELSEA FC KUHUSU EL NINO FERNANDO TORRRES.

[h=1]Torres loan agreed[/h]
News 13 hours
Chelsea Football Club and AC Milan have agreed terms for the two-year loan deal of Fernando Torres to the Italian club.

The move is now subject to Fernando agreeing personal terms with AC Milan and passing a medical examination.




Leo twaua Ndugu zake fulani fulani. Costa fit.
Torres ndo kapelekwa Milan Mazima kwani kufikia hiyo miaka miwili mkataba wake nao ndo utakuwa waisha
 
Karibu tu uwe mshabiki mwenzeti wa CHELSEA FC mkuu Malafyale, milango iko wazi karibu sana.

CHELSEA FC - FOREVER BLUE.

Over my dead body labda!
Siwezi kuwa shabiki wa team ambayo haina fan base duniani na imetwaa tukombe hata meza haijai!

Liverpool's Manager Boby Pleasey alone collects more trophies than all Chelsea's Managers combined!!
Bill Shanky?
King Daglish?
Benitez?

Liverpool yatosha
 
KWA HIYO UKO LIVERPOOL FC KWA SABABU YA HISTORIA PEKE YAKE?


sawa mkuu...kila la kheri nje ya top 4 this season..:A S-eek:



Over my dead body labda!
Siwezi kuwa shabiki wa team ambayo haina fan base duniani na imetwaa tukombe hata meza haijai!

Liverpool's Manager Boby Pleasey alone collects trophies more than all Chelsea Manager combined!!
Bill Shanky?
King Daglish?
Benitez?

Liverpool yatosha
 
[h=1]Loic Remy set to move across West London and replace Fernando Torres as Chelsea trigger QPR striker's £8m release clause[/h]
  • Chelsea agree to meet Loic Remy's £8million release clause at QPR
  • Chelsea manager Jose Mourinho wants to add another striker to his squad
  • Fernando Torres agreed a two-year deal to move to AC Milan on Friday
  • Mourinho now only has Diego Costa and Didier Drogba as senior strikers
  • Loic Remy is keen to leave QPR for a club playing in the Champions League
  • Remy impressed on loan at Newcastle United last season, scoring 14 goals

source: the daily mail
 
Over my dead body labda!
Siwezi kuwa shabiki wa team ambayo haina fan base duniani na imetwaa tukombe hata meza haijai!

Liverpool's Manager Boby Pleasey alone collects trophies more than all Chelsea Manager combined!!
Bill Shanky?
King Daglish?
Benitez?

Liverpool yatosha

kila la kheri na historia za karne ya 20; but usisahau kwamba sasa tuko karne ya 21.

LIVERPOOL = PAST TENSE.
 
According to the data, inaonekana kama Loic Remy ana some long standing medical issues.

Mwaka 2010 alijiunga na Marseille baada uhamisho kusutasuta kutokana na medical issues.

Kwenye press conference ya kumtambulisha, Marseille walisema wakati akifanyiwa medical, vipimo vilionyesha kuwa kuna uwezekano wa Remy kuwa na tatizo moyo.

Remy alikosa mechi na vipimo zaidi vilichukuliwa ili kujua kama hilo tatizo linaweza kuathiri kazi yake kama footballer.

Hata hivyo, baada ya vipimo zaidi kuchukuliwa, madaktari wa Marseille na maspecialist wa moyo waliokuwa consulted walidhibitisha kuwa Remy alikuwa fit kufanya mazoezi na kucheza soka katika level ya juu kabisa.

July mwaka huu Liverpool walitaka kumsajili Remy lakini waka-pull out baada ya kushindwa kwenye medical. Liverpool hawakusema tatizo lilikuwa nini ni hasa lakini inadaiwa akaa siku nyingi na timu ya madaktari wa Liverpool na kuwa alikutwa na tatizo la moyo. Baada ya majadiliano ya kina, Liverpool waliamua ku-pull out. Kwa hiyo, haijulikani kama Liverpool walikuta tatizo la moyo wake limeongezeka au waliogopa tuu vipimo vya awali vya Marseille.

Hii imenifanya nimkumbuke Ruud van Nestelrooy. Madaktari wa Man Utd walidai kuwa alikuwa na tatizo kwenye goti lake na kwamba lilikuwa hatarini kuvunjika. Na kweli lilivinjika aliporudi Holland. Alifanyiwa operesheni na kujiunga na Mau Utd mwaka mmoja baadae. Lakini tatizo la moyo ni serious zaidi kulinganisha na goti.

Outside of the pitch, alipohamia QPR, Remy alikamatwa mwaka jana pamoja na wanaume wengine wawili maeneo ya London kwa tuhuma za gang rape. Hata hivyo, mwezi February 2014, aliachiwa bila mashtaka.

.....moyo ni issue! #NwankoKanu alibahatika! #ManuelAlmunia imem cost, imebidi sasa astaafu soka!
 
new-deal-for-baker.img.png



Kijana LEWIS BAKER mwenye umri wa miaka 19; kasaini mkataba wa miaka 5 kubakia CHELSEA FC.

kijana huyu tumemkuza wenyewe hapa hapa..sasa naona huyu atakuja kuwa nyota mkubwa sana siku zijazo.
 
kutokana na 'uwezo' wa sasa wa Everton Fc, na kabumbu safi linalopigwa na vijana wetu wa CHELSEA FC.

Leo hii tutawafunga Everton magoli yasiyopungua 2. mark my words..


Mchana mwema wadau: cc. Mentor, viol, Kunguru mjanja, andybird314, EMT na wegeni wetu wote...


ngoja nitafute msosi huku najiandaa na mechi ya kwanza mchana wa leo..mechi ya Man-Urojo.
 
Kwani game saa ngapi wakuu? Maana huku kwetu Tanesco wameshatutenda na mie nilikuwa natagemea auto tune muda ukifika.
Naombeni updates tafadhali
 
Uzaifu wa Chelsea bado hujaonekana ila timu nyingi kubwa zikifungwa game angalau moja au mbili watu ndio wanajifanya wanaona Uzaifu mpaka sasa EPL ni Chelsea tu ndio Uzaifu siuoni japo City imeshinda zote ata Arsenal wanacheza vizuri ila kidogo Kama itatokea timu mapema kuipeleka speed Chelsea Pengine Uzaifu unaweza kuonekana ila kwa sasa siwezi kupingana na ukweli Uzaifu bado sijauona hasa Kipa na Mabeki wake na middle za kuchezesha striker Sema ukitoa Costa nafikiri Hazard anatakiwa ajirekebishe katika kufunga magoli iwe 50/50 kwake Kama anavyo tengeneza magoli naamini Hazard akiweza Kuwa mfungaji Mzuri basi uwezo wa Kuwa PFA player msimu huu anao ila ufungaji magoli ndio Hazard unamuangusha.

Udhaifu wa Chelsea utauona leo pale Goodson Park
 
TEAM NEWS: EVERTON V CHELSEA

Diego Costa has been passed fit and starts but there are changes made by Jose Mourinho to the attacking midfielders behind..
 
Everton XI: Howard, Coleman, Jagielka, Distin, Baines, McCarthy, Barry, Mirallas, Naismith, McGeady, Lukaku. Subs: Robles, Gibson, Eto'o, Besic, Osman, Stones, Alcaraz.

Chelsea: Courtois, Ivanovic, Cahill, Terry, Azpilicueta, Ramires, Matic, Willian, Fabregas, Hazard, Costa. Subs: Cech, Luis, Zouma, Drogba, Mikel, Schurrle, Salah.

Referee: Jon Moss (W Yorkshire)
 
HAHAHA wakuu sitoi updates ngoja nifungue bia kwanza,kitu mwake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom